Kenani Kihongosi awa Katibu Mkuu UVCCM
Teua teua au beua beua?? Hadi miaka mitano inaisha
Actually....naona Kama nchi haitegenezi uchumi tegemezi kwa Sasa badala yake inaleta tozo la Kodi za mitandao tu...utumie buku ukatwe Tsh 5.vocha inapungua hapo....I think it's the time for the country.to stay focused on building the nation lather than..kuteua kila siku watu wapya.
 
Yani Mpaka anawateua Hao Wawili Hakujua Kama Atakuja Kuwapangia Majukumu Mengine Ndani ya Chama Na Huyo Dr. Charles Nae atapangiwa Majukumu Mengine... Huyo Quuen [emoji219] umakini wake unatishia .... Huyo Ni Tatizo
Kwa jicho LA tatu mama anazidiwa na watendaji wake
 
Sijui huwa analetewa tu majina halafu anatia saini yake tu halafu anaenda kucheza na wajukuu zake?

Halafu baadaye anaingia kwenye mitandao anasoma maoni ya watu halafu anarudi kutengua na kuteua tena?...
Msando hakutakiwa kuwa DC Hana maadili na anatabia chafu kwahyo video nchi nadhani hamna vetting, msando kazalilisha familia yake mkewe na watoto pia.
 
Mama anazidi kusambaratisha Wahuni waliowekwa kwenye safu ya Uongozi na Marehemu Ibilisi.
Unajifariji!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bavicha sasa hivi mnajifariji tu ndio kilichobaki!

Sasa hapo aliesambaratishwa ni nani?
 
Pale yuko mlango wa kutoka nje yule heri jemusi.

Muda si mrefu anatenguliwa...
Wivu huu!

Hivi inakuwaje unamuonea mwanaume mwenzio wivu?

Kwani anashindwa kumtoa moja kwa moja na kumuweka pembeni kisha kuteua mwingine? Ya nini sasa migarama yote hiyo si upotevu wa hela kwa nchi?

Ndio uongozi huo?
 
Ubora wa mtu unategemea hisia za mtu mwingne

Hisia zikienda tofauti huwezi kuwa bora

Hivyo tunatarajia kuona hisia nyingi zinazo mpa ubora au ukosoaji zaid
Tumetoka kutawaliwa na Dikteta mbaya sana kwahiyo ni kama tumetolewa kwenye moto na kutiwa kwenye friji
 
Back
Top Bottom