Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 12,340
- 16,383
Labda asinikute,ntamtimulia mbali!!Kuna kila dalili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda asinikute,ntamtimulia mbali!!Kuna kila dalili
Atamaliza lini kupanga maana hauwezi panga na kupangua kila siku. Inatakiwa wanaopangwa wawe focused kwenye kazi kwa ajili ya watanzania. Mimi mawazo yangu ni kwamba kila anayeteuliwa ni kwa ajili ya wananchi.Hiyo inaitwa panga pangua, Mama anapanga safu yake ya Mashambulizi
Pale yuko mlango wa kutoka nje yule heri jemusi.
Vetting au kujuana?Angekuwa empty asingevivuka vizingiti vya VETTING ....
#KaziInaendelea
Mkuu unataka kutuaminisha kuwa hakuna VETTING juu ya viongozi wetu wateule?!!!Vetting au kujuana?
Vetting ipo kujua wasalitiMkuu unataka kutuaminisha kuwa hakuna VETTING juu ya viongozi wetu wateule?!!!
🤣🤣
Huyu mama bana!
Sijui huwa analetewa tu majina halafu anatia saini yake tu halafu anaenda kucheza na wajukuu zake?Hajui atendalo ANADEMKA TU!