Jimbi
JF-Expert Member
- Aug 16, 2010
- 4,444
- 4,967
Rais kwa mujibu wa katiba. Katiba mpya itaufutilia mbali ubabaishaji wa namna hii.Huyu mama hamna kitu. Juzi unamteu mtu, Jana anaapishwa, leo unamtengua unampa nafasi nyingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais kwa mujibu wa katiba. Katiba mpya itaufutilia mbali ubabaishaji wa namna hii.Huyu mama hamna kitu. Juzi unamteu mtu, Jana anaapishwa, leo unamtengua unampa nafasi nyingine
mbona km vile kasikiliza kelele za mtandaoni kua wa Lumumba hawapat teuzi??!!! Sasa kahamia Lumumba kuokotezaTaarifa kamili hii hapaView attachment 1826935
Kkkkk yule bonge unamfahamu? Alikataa shule form two!Atengue na wa Herry James amweke mtoto wa Magufuli yule bonge,Herry empty kichwani
Anawabipu, au siyo!???Yaani mama bado anatengua na kuteua wakuu wa wilaya, mkeka umetoka juzi juzi tu.
Vipi kuna shida gani huko ndani?
Mama Samia tukusaidieje sasa?
Mbona hueleweki?
Ni kama mama anabahatisha hivi.
Ni kwamba huna akili au?
Niliwahi kuandika hapa Jeiefu kwamba Bi Mkubwa anaenda kuacha legacy ya uteuzi tu, na ndicho kitu kimoja alichojifunza kwa JPM, mengine yote ya miradi na uzalendo na uchapakazi, somo halikueleweka (Lirudiwe!!! Lirudiweee!!!),watu wananibishia. Nadhani sasa mmejionea wenyewe.Ndio inaitwa ukurupukaji so mikataba mingapi imeshasiniwa kwa habari kuchelewa kumfikia
Nimeshangaa mnoYani Mpaka anawateua Hao Wawili Hakujua Kama Atakuja Kuwapangia Majukumu Mengine Ndani ya Chama Na Huyo Dr. Charles Nae atapangiwa Majukumu Mengine... Huyo Quuen [emoji219] umakini wake unatishia .... Huyo Ni Tatizo
Kuna kila daliliTunakoelekea Hery James, ataingia upinzani
Acha mama apige kaziYaani mama bado anatengua na kuteua wakuu wa wilaya, mkeka umetoka juzi juzi tu.
Vipi kuna shida gani huko ndani?
Mama Samia tukusaidieje sasa?
Mbona hueleweki?
Ni kama mama anabahatisha hivi.
....Mama anazidi kusambaratisha Wahuni waliowekwa kwenye safu ya Uongozi na Marehemu Ibilisi.
Kateuliwa kuwa katibu mkuu UVCCM .Kihongosi alietuliwa kama fadhila Baada ya kutishia kumuua Zito ushahidi youtube
Ile kahaba ni ya kufukuzia mbali sana!!Bado Albert Msando!!