Kenani Kihongosi awa Katibu Mkuu UVCCM
Kwahy wale waliokuwa wanalia-lia wameanza kula teuzi
 
Yaani mama bado anatengua na kuteua wakuu wa wilaya, mkeka umetoka juzi juzi tu.
Vipi kuna shida gani huko ndani?
Mama Samia tukusaidieje sasa?
Mbona hueleweki?
Ni kama mama anabahatisha hivi.
Anawabipu, au siyo!???
 
Ndio inaitwa ukurupukaji so mikataba mingapi imeshasiniwa kwa habari kuchelewa kumfikia
Niliwahi kuandika hapa Jeiefu kwamba Bi Mkubwa anaenda kuacha legacy ya uteuzi tu, na ndicho kitu kimoja alichojifunza kwa JPM, mengine yote ya miradi na uzalendo na uchapakazi, somo halikueleweka (Lirudiwe!!! Lirudiweee!!!),watu wananibishia. Nadhani sasa mmejionea wenyewe.
 
Yani Mpaka anawateua Hao Wawili Hakujua Kama Atakuja Kuwapangia Majukumu Mengine Ndani ya Chama Na Huyo Dr. Charles Nae atapangiwa Majukumu Mengine... Huyo Quuen [emoji219] umakini wake unatishia .... Huyo Ni Tatizo
Nimeshangaa mno
 
safu ya wakuu wa mikoa nayo aliyumba hivi hivi na hii ya wakuu wa wilaya pia. Mama atulie anaonekana anapenda kucheza na jukwaa
 
Back
Top Bottom