Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Taahira toka chadema limekasirikaMambo ya kofia mbili[emoji28][emoji28].
CCM ni matahira. Kwanini hiyo nafasi asingepewa mtu mwingine?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taahira toka chadema limekasirikaMambo ya kofia mbili[emoji28][emoji28].
CCM ni matahira. Kwanini hiyo nafasi asingepewa mtu mwingine?
Comedian ni msomi ,Mzalendo wa haja na intelligent mno....Duh. Mama anafeli wapi? Anaacha kuwatengua kina Lijuakali na yule comedian.
Amepandishwa kuwa KATIBU MKUU UVCCM....Jamani huyu kenani kateuliwa Leo na kutenguliwa Leo?
#KaziInaendeleaView attachment 1826893Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Suleiman Yusuph Mwenda kuwa Mkuu wa Wilaya ya Iramba
Aidha, Lupakisyo Andrea Kapange ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Bariadi
Angekuwa empty asingevivuka vizingiti vya VETTING ....Atengue na wa Herry James amweke mtoto wa Magufuli yule bonge,Herry empty kichwani
Herry kakalia kuti kavu nafasi ya udiisiiAtengue na wa Herry James amweke mtoto wa Magufuli yule bonge,Herry empty kichwani