Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We unaonaje?Mbona kilichofanyika ni kuondoa pepsi kwenye chupa ya koka na kuweka koka kwenye chupa.ya pepsi
Karibu UVCCMHuyu anafaa sana, ili akawachape fimbo akina Msukuma na yule mbunge anayedai mshahara wa ubunge HAUTOSHI.
We unatakaje?Sijaelewa, yani Mkuu wa Wilaya ameteuliwa kwenda kurithi nafasi iliyoachwa wazi na alieenda kuwa Mkuu wa Wilaya, kweli CCM imeishiwa viongozi.
Nikija utaondolewa uDC Nikki 2. Kula kwanza mm nitakuja baadaye.Karibu UVCCM
Ndio tayari kishafichwa , mara zote UVCCM anayesikika ni Mwenyekiti tuNi Wazi sasa hawa Vijana wamechoka. Kenani Kihongosi DC wa Iramba ateuliwa kuwa Katibu Mkuu UVCCM. Yule Msanii aliyekua Arusha wananchi wakamlalamikia
====
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimemteua Mkuu wa Wilaya ya Iramba, Kenani Kihongosi kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) akichukua nafasi ya Raymond Mwangwala ambaye ameteuliwa kuwa Mkuu wa wilaya ya Ngorongoro
View attachment 1826673
😆😆😆 Nikki wa 2 akiwa ndio huyu itakuwa aibu sana kwakeNikija utaondolewa uDC Nikki 2. Kula kwanza mm nitakuja baadaye.
Ukiwa wewe? Ongeza speed ya uno, Kuna nafasi ya mwenyekiti bawacha[emoji38][emoji38][emoji38] Nikki wa 2 akiwa ndio huyu itakuwa aibu sana kwake
Mwenyekiti akiwa Mzanzibar anaweza asisikike.Ndio tayari kishafichwa , mara zote UVCCM anayesikika ni Mwenyekiti tu
Isimamie vyema ccm Kenani, achana na lopo lopo wachadema, maana kwasasa jambo wanalo weza ni kubweka kama MbwaNi Wazi sasa hawa Vijana wamechoka. Kenani Kihongosi DC wa Iramba ateuliwa kuwa Katibu Mkuu UVCCM. Yule Msanii aliyekua Arusha wananchi wakamlalamikia.
====
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimemteua Mkuu wa Wilaya ya Iramba, Kenani Kihongosi kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) akichukua nafasi ya Raymond Mwangwala ambaye ameteuliwa kuwa Mkuu wa wilaya ya Ngorongoro.
Ajabu iko wapi Mbona ata Mbowe alipokuwa Mbunge bado alibaki kuwa mwenyekiti wa chadema, halafu akaongezewa cheo kingine kiongozi mkuu wa kambi rasmi ya upinzani, kwahiyo ebu tuliaKwaiyo uko UVCCM vijana wakushika hiyo nafasi wameisha mpaka wampe kihongosi tena hiyo nafasi wakati tayali ni DC