Katwangilo
JF-Expert Member
- Jun 10, 2021
- 759
- 738
Nauliza tu, kwenye uteuzi wa juzi na huyu alikumo mkekani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile ni fitna ya Gamble. Huyu kiukweli alitenda hakiWananchi ni noma sana, walikua wanasema wakimpelekea kero zao yeye anawaimbia nyimbo za Diamond [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Paschal Mayala inamhusuIramba nafasi ipo wazi
Kazi iendelee
Alikuwepo nadhani mama alisahau kuwa huyu naye ni mharibifu kama Ole SabayaNauliza tu, kwenye uteuzi wa juzi na huyu alikumo mkekani?
Wakuu naomba kuuliza, Ina maana ile nafasi ya uDC anakuwa ameacha so ndio?Habari wanabodi,
Kutoka hapa dodoma kunakoendelea na Mkutano mkuu wa Halmashauri kuu ya CCM.
Mwenyekiti wa CCM na Rais wa JMT Mhe SAMIA HASSAN SULUHU na kamati kuu tayari wameshatoa jina la katibu huyu wa UVCCM.
Kwa wasiomjua Mhe Kenan huu ni wasifu wake mfupi
1.Amekua mkuu wa wilaya ya Iramba .
2 mkimbiza Mwenge wa kitaifa mwaka 2019.
3.Mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Iringa mwaka 2017.
4.Katibu wa TAHLISO mwaka 2014/15.
Please Mods msifute huu uzi.View attachment 1826751View attachment 1826750
Ndio maana yakeWakuu naomba kuuliza, Ina maana ile nafasi ya uDC anakuwa ameacha so ndio?
Ameacha kaichukue nimekupaWakuu naomba kuuliza, Ina maana ile nafasi ya uDC anakuwa ameacha so ndio?