Mweshimiwa Zitto
Tanzania inafurahisha sana wametuma wabunge kwenda kujifunza Rwanda mambo ya ICT.
ICT ya Rwanda imesimamiwa na Kagame mwenyewe wakati huohuo waliokuwa wanamfundisha Kagame ni wataalamu kutoka Tanzania.
Sasa ambacho sikielewi tunashindwaje kuwatumia hao wataalamu wetu sasa wamefundisha/wamesaidia Rwanda halafu tunaenda kujifunza huko?
KENYAN-TANZANIAN DO YOU HAVE ANY UPDATES MAANA YOUR REPORTS SEEM TO BE INVESTIGATIVE AND ORGANISED PLEASE INFORM US MAANA SIJUI LOLOTE SINCE YOUR LAST POST YA ZILE KURA ZILIZOIBIWA UKAMBANI
Kwa kweli hakuna mpango wowote kwa sasa. Sera ya ICT ambayo iliandikwa na sekta binafsi wakati Mwandosya ni Waziri ni nzuri sana lakini haitekelezwi. Unajua Bunge letu ni la ajabu sana, kuna wabunge hawajui hata kutumia computer. Spika aliwalipia intriductory course, wachache sana walijitokeza. Sasa unapokuwa na Bunge kama hilo ni ngumu sana kuwa na utekelezaji wa sera na IT kukua.
Rwanda ndio inalead katika Afrika now. Wametekeleza E-government na niliambiwa na mmoja wa wabunge wa huko kuwa hata Order paper (mpangilio wa shughuli za Bunge) wabunge hutumiwa by emails midnight na hivyo wabunge wanakuja Bungeni wanajua kazi ya siku hiyo. Sisi huku unajua siku hiyohiyo wakati unaingia Bungeni.
Hata hivyo kuna wabunge kadhaa ambao ni exposed sana, wa pande zote CCM na Upinzani, na ajenda hii tukiijadili vema tunaweza kuiga toka Rwanda. Spika na wabunge wawili akiwemo Mhe. Balozi Kagasheki na Lucy Owenya walienda Rwanda. Ngoja tutacheki ripoti yao.
Mh Zitto (MB),
Mimi kama mwananchi wa njii hii nakuomba sana kwenye hao wachache mnaofahamu ICT,,, nawaombeni muunde chama au mujiite kundi (pia tumieni mbinu mbali mbali kuwafanya wengine waamuke) mfano kwenye majibu yako wakati wa kutoa hoja unaweka reference url mbalimbali... watasumbuka tu watajua kidogo, muwe na mpango wa kueneza umuhimu wa ICT kwa nchi
(Mfano... kwenye website ya CCN... www.cnn/politcs/mtakuja/tanzania_iko_nyuma_ki-ICT) wanasema dada.... Wabunge wenzangu kwa ripoti kamili naomba mufungue hiyo website...)
Wataamka tu!!! Pia mwambie Spika aweke siku/tarehe maalum ambapo shughuli za Bunge kama Ratiba hazitatolewa karatasi,,, mnatumia hela zetu ovyo kwa kuwa na matumizi makubwa ya stationary....
Nchi haiwezi kwenda popote bila hili nakuhakishia kabisa!!! wengine tuko tayari kuwapiga shule,,, hata kwa mshiko wa elfu 5 kwa siku... au bure bora malazi ya hotel ya chini kabisa pale Dodoma... kwangu mimi bila hii inchi imekwisha...
Hivi ni percent gani ya wabunge vijana wanajua ICT? kwa kuwa kwa Mzindakaya and Team,,, wao tunawashukuru hatuna haja ya Kusumbuka nao!!! Hili Mh. Linaniuma sana!!!
Mwisho unadhani ni Wabunge na Mawaziri wangapi (estimate) wanafuatilia hapa!!! maana kama hakuna... natamani ningezaliwa nchi nyingine...
Hakuna kitu rahisi ku-adopt kama ICT... Issue ya ICT inabidi ku-deal nayo kwa hali kama hali ya Janga la Kitaifa!!!
KT,
ODM 97 WATAUNGANA NA NARC ORIGINAL YA NGILU ILIYO NA 3
________________________
SERIKALI
PNU 38
ODM-K 16
KANU 11
SAFINA 5
NARC KENYA 4
SISI KWA SISI 2
PICK 2
YFK 2
FORD KENYA 2
FORD PEOPLE 2
PPK 1
PDP 1
NLP 1
MGP 1
KENDA 1
KADDU 1
WAKUU ZA ASUBUHI?
MIMI NIKO NA NYINYI TU. MSIWE NA WASI WASI.
HIVI SASA MACHO YAKO KICC
THE PRESIDENTIAL RESULTS ZINATANGANZWA WAKATI WOWOTE KUTOKEA SASA
WANANGOJA ECK MAKAMISHENA WAJE
BADO KUNA MAENEO BUNGE 9 HAZIJAHESABIWA
LAKINI INASEMEKANA HII NI UKATUNI TU KWAJILI KIVUITU KASHINDWA MAMLAKA HUKO KWENYE MKUTANO NA HAO MAKAMISHENA WENGINE 9 WAFEDHULI AMBAO NI VIBWEKA WA RAIS NA PNU.
UKIFUATA DALILI ZA MAWINGU HAPA STORI NI KWAMBA KIBAKI ATATANGAZWA MSHINDI NA KUAPISHWA LEO LEO NA JAJI MKUU AMBAYE PIA NI MKIKUYU NA MPAMBE MKUU WA KIBAKI.
MAJESHI WA POLISI AMBAO WAMETANDA NA WANATAMBAA KOTE NAIROBI NA KUIVIRINGA KICC UTANDHANI UKO IRAQ AU AFGHANISTANI....
MWANANCHI AMEIBIWA HAKI YAKE NA MUNGU ALIYE HAI JUU, MBINGU NA DUNIA ZINAILILIA KENYA NA WALIOPIGANA NA UDIKTETA WA MOI. BECAUSE KISIASA SASA TUMERUDI BACK TO SQUARE ONE KULE KULE TULIKOJIKOMBOA 1992...YAANI KWA KIFUPI KUAPISHA KIBAKI NI KUAPISHA MOI AND KANU INDIRECTLY
KIBAKI ATAUNDA SERIKALI YAMUUNGANO YA VYAMA VYOTE VISIVYO ODM. WANATABIRI WENGI, KAMA TU AMEVYOSEMA MH. ZITTO, KWAMBA KIBAKI ATAFANYA MUUNGANO NA ODM-K NA ATAMPATIA KALONZO VICE PRESIDENT. AIBU KUBWA!
HADI SASA VYAMA NA VITI NI:
__________________
UPINZANI
ODM 97 WATAUNGANA NA NARC ORIGINAL YA NGILU ILIYO NA 3
________________________
SERIKALI
PNU 38
ODM-K 16
KANU 11
SAFINA 5
NARC KENYA 4
SISI KWA SISI 2
PICK 2
YFK 2
FORD KENYA 2
FORD PEOPLE 2
PPK 1
PDP 1
NLP 1
MGP 1
KENDA 1
KADDU 1
MSIBANDUKE
NTAWALETEA KILA KITU LIVE
SHAME ON MY MOTHERLAND'S GOVERNMENT
Kenya's knife-edge election count has been halted while the country's electoral commission reviews dozens of disputed constituency results. As rival party agents clashed, paramilitary police had to rush in and restore order.
Mr Kivuitu told politicians: "Nobody can push me, not even you!" He added: "We are Kenyans, not beasts." The BBC's Karen Allen in Nairobi says Mr Kivuitu has outlined a number of electoral irregularities that have dogged the process. These include returning officers vanishing due to intimidation and a case in one constituency of turnout being higher than the number of registered voters.
Mr Kibaki's Party of National Unity said it would wait for the official results, and urged officials to speed up the count.
The European Union's election observer, Alexander Lambsdorff, said there was a massive question mark over the tallying of votes.
As rival party agents clashed, paramilitary police had to rush in and restore order. Mr Kivuitu told politicians: "Nobody can push me, not even you!" He added: "We are Kenyans, not beasts." The BBC's Karen Allen in Nairobi says Mr Kivuitu has outlined a number of electoral irregularities that have dogged the process. These include returning officers vanishing due to intimidation and a case in one constituency of turnout being higher than the number of registered voters.
Mr Kibaki's Party of National Unity said it would wait for the official results, and urged officials to speed up the count.
The European Union's election observer, Alexander Lambsdorff, said there was a massive question mark over the tallying of votes.
Both sides have raised allegations of vote rigging and rioting has broken out in some opposition strongholds. There were also reports of trouble in Kisumu, Bungoma, Busia, Eldoret, Kericho and Kakamega. Police have fired tear gas and gunshots into the air to disperse angry demonstrators who lit bonfires, set up roadblocks and even burned down homes.
Several people have died in the violence, including a man shot dead in a row at a polling station in western Nyanza province, police said. "They want to steal votes. They are counting votes from regions favouring Kibaki and then they want to declare him the winner," said one protester, Peter Oduor.
Ethnic violence
Much of the violence was enacted along ethnic lines, with Luo supporters of Mr Odinga clashing with members of Mr Kibaki's Kikuyu tribe. An Electoral Commission spokesman told the BBC that turnout had perhaps been more than 70%, from an electorate of 14m. Results so far show a majority of MPs have lost their seats. Kenyan parliamentarians gained notoriety in the past five years for arbitrarily increasing their salaries and allowances, while a majority of Kenyans continued to grapple with meagre wages and a high cost of living.
Vice-President Moody Awori was one of about 20 ministers who lost their seats. The vote also saw three sons of retired president Daniel Arap Moi lose their seats in three different constituencies in the Rift Valley province. Mr Moi has helped fund Mr Kibaki's campaign. If he loses, Mr Kibaki, who came to power with a landslide victory in 2002, will be Kenya's first sitting president ousted at the ballot box.
Hii ina maana kuwa ODM na NARC ya Ngilu hawatakuwa na majority Bungeni. Maana kwa hesabu za sasa wanapelea viti 7 kuwa na majority. Vyama vidogo vyote watu wao watapewa Uwaziri au Uwaziri Mdogo. Wote kina Jirongo, aliyekuwa mama Orange na baadae kusaliti, na wengine wengi tu ili kuleta uwiano wa kimkoa.
Katiba mpya haitapita kwani itahitaji 2/3 majority. Kenya inaingia katika kipindi kigumu sana. Hostility kati ya makabila makubwa kama Kalenjin, Luos, Luhyas dhidi ya Kamba(Kalonzo kujiunga na Kibaki) na Kikuyu.
I can see Kalonzo becoming VP, Mutula Kilonzo taking Constitutional Affairs and watu kama Jirongo taking poerful posts.
Kenya inaingia kipindi kigumu sana katika historia yake kwani Upinzani utakuwa na uwezo mkubwa wa kuongoza kwa kuwa na viongozi mahiri na serikali itakuwa na watu wapya wengi wasio na uwezo, wanaoingia Bungeni kwa mara ya kwanza chini ya Rais Mgonjwa asie na hold to Power. I see a power shift to Kalonzo, becoming a very powerful VP and Kenya goes back into dark days.
Jambo la msingi ni kwa ODM kuwa strongly United na Mama Ngilu kuwa stronger kwa Wabunge wake 3. Mudavadi na Ruto ni watu muhimu sana katika wakati huu kwani ndio vinara katika majimbo yao yaani western na Rift Valley. Pia wana future kisiasa. Wasipogombana na kushikamana wataisumbua sana serikali iliyoingia madarakani kwa wizi wa kura. Ni vema pia wareach out kwa vyama vidogo. Hata kama hawana madaraka wajitahidi kuongea na vyama ambavyo kimsingi havina uhusiano na PNU ili kuweka nguvu dhidi ya Kibaki. Kibaki hatamaliza miaka 5. Ninaona kuna nafasi ya mabadiliko ndani ya miaka michache. Or else kutakuwa na compromises ili Katiba ya Bomas ipitishwe na Raila awe Prime Minister kwani chama chake kina wabunge wengi. Lazima kuwe na options kadhaa ili Kenya isiingie katika matatizo ya kumwaga damu.
Uchaguzi huu ni mbaya sana katika ujenzi wa demokrasia barani Afrika.