Mkuu
Ucheleweshaji huu unatupatia experience nyingine miaka ijayo au chaguzi zijazo.
Kumbe kwenye sheria za uchaguzi kunatakiwa kuwepo na kipengere kinachozungumzia muda wa kuhesabu kura pamoja na kutangaza matokeo.
K-T
Wakati tunasubiria final moment kama unaweza kutupa brief summary hadi kufikia sasa. Nakumbuka jana ulisema kulikua na majimbo 18 leo umesema bado 9 ungetupa hali ilikuaje wakati tunajiandaa kunywa wine kwa uchungu au kwa furaha.
Dawa ni kushirikisha vyombo vya habari. Kila wakimaliza kuhesabu kura basi matokeo yanabandikwa na kupigwa picha.
Kama tume wanataka, kuna njia nyingi za kufanya maana sasa technology rahisi, lakini lazima tume ya uchaguzi wawe tayari kukubali technology itumike kuzuia wivi wa kura.
Hivi kwanini Afrika wanatumia boxes nyeusi badala ya transparent boxes?
K-T,
Ina maana sasa bado sina uhakika kuja Nairobi Jan. kunywa Tusker baridi na kusherekea ushindi wa Kibaki?
Well mimi -nitakuja tu hata kama Raila akishinda- nawaombeni wandugu mnipokee tu kama ndugu yenu toka Tz!
Currently Active Users Viewing This Thread: 79 (32 members and 47 guests)
kakindomaster, Jembajemba, mkamap, Halisi, Rwabugiri, kijunjwe, tanzactive, sabasaba, Kitila Mkumbo, COMRADE44, Mnhenwa Ndege, Kenyan-Tanzanian, Verily Verily, mkomboziufisadi, mnyamwezi, Koba, Mtanzania, NakuliliaTanzania, nampula, Kibanga, Invincible, jamco_za, kapinga, semanao, Shiduki, MSAUZI, mfwatiliaji, Mnairobi, wembemkali, green29, ntareyehirungu
.
TVT wanasema je, asipotangazwa Rais itakuaje? maana Kibaki muda wake unaisha leo.... Ulinzi ni mkubwa haijawahi kutokea tokea Uhuru, wanakumbuka jaribio la Mapinduzi ya 1982, unafanana na ulinzi wa jaribio la mapinduzi. Kuna mtu kutoka Nairobi anasema inawezekana hata kuna majeshi kutoka nje ya Kenya