Ingekuwa ccm hapo, matokeo yangetangazwa na kina raila wote sasa hivi wangekuwa ndani, wafuasi wao wangepigwa na jeshi na ffu na wale wengine wanaozidi wangeshapigwa risasi za moto long time.
Rais angeapishwa na mambo yangeendelea long time! inabidi Kikwete na Kingunge wamfundishe Kibaki cha kufanya maana inaonekana the guy hana idea ya namna ya kuiba kura kwa nguvu na kisha kupiga watu wako risasi za moto!
Rais angeapishwa na mambo yangeendelea long time! inabidi Kikwete na Kingunge wamfundishe Kibaki cha kufanya maana inaonekana the guy hana idea ya namna ya kuiba kura kwa nguvu na kisha kupiga watu wako risasi za moto!