Kenya: Godbless Lema aachiwa kutoka kituo cha Polisi Kajiado. Apatiwa hifadhi nchini Kenya

Kenya: Godbless Lema aachiwa kutoka kituo cha Polisi Kajiado. Apatiwa hifadhi nchini Kenya

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini na aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini Mhe. Godblessema ameachiwa muda huu baada ya kukamatwa na polisi Kenya hapo jana.
=======

Mbunge wa zamani wa Arusha Mjini, Godbless Lema aliyekimbia Tanzania na familia yake kuelekea Kenya na kukamatwa na Mamlaka za huko aameachiwa na Polisi katika Kituo cha Kajiado na kupewa hifadhi nchini humo.

Hifadhi ya Lema inakuja wakati Mbunge mwingine wa zamani na Waziri wa Utalii, Lazaro Nyalandu kuzuiliwa na Mamlaka za Tanzania wakati anaelekea Kenya

Pia, soma Amnesty International yaitaka Kenya kumpa hifadhi Godbless Lema kulingana na sheria ya wakimbizi, yasema kumrudisha nchini ni kinyume cha sheria

 
Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini na aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini Mhe. @godbless_lema ameachiwa muda huu baada ya kukamatwa na polisi Kenya hapo jana.
Amnesty International. Ila apewe hifadhi haraka na ajifiche sana. Akae chini akumbuke visa vya wapinzani wa nchi jirani yule rafiki mrefu. Ukiwa uhamishoni na shaba zinakufuata au polonium.
 
Kwa nini? Wamkamate tena, ...
Sio rahisi kama mnavyofikiria Lema yuko kwenye mikono salama ya mashirika ya kimataifa, ulidhani yuko Kisongo.

TANZANIAN EX-MP Godbless Lema released from Kajiado Police Station, allowed to live in Kenya under asylum, his lawyer prof Wajackoyah says.
 
Nimeona Amnesty international waliikoromea Kenya waache Ufala kuingilia ishu za mtu wakati anatafuta hifadhi mana ni haki yake.

Baada ya kutafakari, wameona huu ni ujinga wa kushinikzwa na jirani tu.
Sio kutafakari. Baada ya kutishwa
 
Poleni Watz ila tunawaombea, na ikumbukwe kuna kipindi viongozi wa Kenya walikimbilia Tanzania wakati tulikua tunaishi chini ya manyanyaso ya utawala mbovu, hivyo ningeishangaa serikali yetu kama ingemfurusha huyu mbunge.....

UPDATE Monday, November 9: Former Arusha Urban Constituency MP Godbless Lema was released from Kajiado Police Station

His lawyer George Luchiri Wajackoyah also confirmed that he was also allowed to live in Kenya under asylum.

Lema had been arrested dramatically while fleeing Tanzania in search of assylum claiming that his life was in danger.



UPDATE: Former Arusha Urban Constituency MP Godbless Lema, was arrested after arriving in Kenya through the Namanga Border.

A report Uby The Standard indicated that he was arrested at Ilbissil in Kajiado County after his wife presented documents to immigration officers but were turned down.

The former MP was arrested when he showed up without a passport and explained that his wife was travelling in search of an international school.



 
Nov 9 , 2020

Kenya urged to provide asylum to fleeing TZ opposition leader


Former Arusha urban constituency Member of Parliament in Tanzania Godbless Lema is now seeking political asylum in the country claiming that his life is in danger. The former Tanzania legislator spent a night at Kajiado police station, Kajiado County, after he was intercepted by Kenyan Authority at Ilbisil along Namanga Road. Lema says he is not ready to be deported to his motherland Tanzania terming the country a persecution paradise.
Source : KBC Channel 1
.........................................................................


Hivi ndivyo inavyotakiwa, hongera kwa nchi ya Kenya kusimamia mikataba ya Vienna na Geneva kuhusu kutoa hifadhi au kufungua njia kwa wakimbizi wa kisiasa OHCHR | Convention relating to the Status of Refugees wanaotafuata hifadhi kukimbia watesi katika nchi zao kisa kutetea Uhuru , Haki na Maendeleo ya wau mtambuka ambayo watawala walio madarakani hawataki kuwatimizia raia wa nchi zao na kupelekea kutishia haki ya msingi ya kuishi na kulindwa maisha yao. The 1951 Refugee Convention
Signature of the 1951 Refugee Convention in Geneva, Switzerland /the three seated men (l-r): Mr. John Humphrey, Director of the Human Rights Division; Mr. Knud Larsen (Denmark) President of the Conference; Dr. G.V. van Heuven Goedhart, High Commissioner for Refugees /  copyright Arni / UN Archives / August 1, 1951

© UN Archives
The 1951 Refugee Convention and its 1967 Protocol are the key legal documents that form the basis of our work. With 149 State parties to either or both, they define the term ‘refugee’ and outlines the rights of refugees, as well as the legal obligations of States to protect them
 
Kama walikuwa wanajua polisi inapiga na kuua...mbona walikuwa wanahamasisha raia wasiokuwa na pa kukimbilia washiriki maandamano?!

Hata hivyo Wanaume hawakimbii matatizo bali wanapambana nayo.
Arudi apambanie na yanayomhusu.
 
Back
Top Bottom