Kenya: Godbless Lema aachiwa kutoka kituo cha Polisi Kajiado. Apatiwa hifadhi nchini Kenya

Kenya: Godbless Lema aachiwa kutoka kituo cha Polisi Kajiado. Apatiwa hifadhi nchini Kenya

Hii tactic ya kujifanya wanataka kuuliwa badala ya kubaki na kukuza chama chao ni usaliti kwa wafuasi wao.
Nami nimetafakari hilo ila kwa ninavyomjua Lema na kwa maisha aliyokuwa anaishi inahitaji nguvu ya ziada kuamini kuwa "amejifanya".Kuwa mkimbizi si jambo jema kabisa ukiacha mali na nduguzo.
 
Nyalandu akimbilie ubalozini. Wanaotaka roho yake hawatuacha hadi watimize lengo lao. Ni bora ajisalimishe ubalozini kama Lisu
 
Mnawapiga wenzenu alafu mnaawambia wabaki wakuze chama.
Hii tactic ya kujifanya wanataka kuuliwa badala ya kubaki na kukuza chama chao ni usaliti kwa wafuasi wao.
Screenshot_20201105-192407.jpg
 
Lema ako salama kenya manake mashirika ya kitaifa yatamlinda na serikali ya kenya haina uwezo wowote tofauti manake ikijaribu vinginevyo itajikuta matatani kabisa. Ila hawa wakimbizi kutoka bongo wajichunge magu anaweza geuka kuwa kagame awawinde.
 
Nchi iahakuwa ya hovyo sana ,huwezi kuwa rafiki ya Kagame au Museveni, ukaacha kuwapoteza wapinzani wako.

Tujitafakali sana kama Taifa,tunajenga au tunabomoa.
 
Lema ako salama kenya manake mashirika ya kitaifa yatamlinda na serikali ya kenya haina uwezo wowote tofauti manake ikijaribu vinginevyo itajikuta matatani kabisa. Ila hawa wakimbizi kutoka bongo wajichunge magu anaweza geuka kuwa kagame awawinde.

Ashakuwa Kagame Mkuu,ukishaona Madikteta wanakuja kwenye Sherehe za kuapishwa kama Museveni wewe unategemea nini..

Huyu hafai kuongoza Mkuu,ushindi wake na chama chake cha CCM una makando kando mengi.
 
,
Lema ako salama kenya manake mashirika ya kitaifa yatamlinda na serikali ya kenya haina uwezo wowote tofauti manake ikijaribu vinginevyo itajikuta matatani kabisa. Ila hawa wakimbizi kutoka bongo wajichunge magu anaweza geuka kuwa kagame awawinde.
Hakuna mtu ana shida na lema hata kidogo, hiyo ni aina ya kutafuta maisha baada ya kushindwa uchaguzi.
Walizoea kuishi kwa kutumia siasa wakidhani hayo ndo maisha peke yake,
Waje huku tuzalishe ili nae achangie wengine walipwe
 
Hii tactic ya kujifanya wanataka kuuliwa badala ya kubaki na kukuza chama chao ni usaliti kwa wafuasi wao.
Kama hakuna uhakika na usalama wa Maisha Yao afadhali wakimbie, na hicho chama watakikuzaje wakati manyanyaso kutoka kwa polisi ni Kila kukicha? Wakifanya vikao vya ndani ni shida nje Nako hakuna ruksa
 
mchungaji anaokoa uhai wake kukimbia vita ya kimwili,ambayo kimsingi haipo.
 
Back
Top Bottom