Kenya: Godbless Lema aachiwa kutoka kituo cha Polisi Kajiado. Apatiwa hifadhi nchini Kenya

Kenya: Godbless Lema aachiwa kutoka kituo cha Polisi Kajiado. Apatiwa hifadhi nchini Kenya

Daah hii ni aibu sana kwa serikali ya awamu ya tano, Tz leo inazalisha wakimbizi wa kisiasa, daah tumefika uku
 
Baada ya kukosa kazi ya ubunge wanaona bora wakatafute huruma ya wakenya kwa kisingizio cha kuomba hifadhi....stupid ideas...mbona wamezunguka nchi nzima na hakuna aliyewagusa?
 
Kwa hiyo Tanzania chini ya utawala wa Magufuli imeingia rasmi katika nchi zinazozalisha wakimbizi. Hongereni sana CCM, mko kwenye right track!
Hata Kambona alikuwa mkimbizi!! Naona hata kusoma historia ya nchi yao ni utopolo tupu!
 
Naona giza nene mbele. Anyway kila mmoja akitambua kwamba ahadi za CCM ni movie tu na yule bwana anataka kujiongezea muda wa kukaa madarakani ndo tutaanza kuelewana.
Movie ni za kwenu nchi inapaa 2025 uchumi wa kati wa juu, mtatapika nyongo ya wivu.Zitto kasema hatasepa bado yupo sana
 
Hii tactic ya kujifanya wanataka kuuliwa badala ya kubaki na kukuza chama chao ni usaliti kwa wafuasi wao.
haya yasikie tu kwa mwenzio. mimi na wewe hatujui anajua yeye, Mungu wake na wanaomtishia. tusihukumu. Fikiria pia,wakati Lema "anajifanya" kutaka kuuliwa kuna makumi wameshakufa Zanzibar. huko Tarime kuna makumi wanauguza majeraha makubwa.
 
Hii tactic ya kujifanya wanataka kuuliwa badala ya kubaki na kukuza chama chao ni usaliti kwa wafuasi wao.
Mngetamka tu kwamba kila kitu kitakuwa shwari nadhani ingetosha pia.....bila hivyo wataogopa tu.
 
Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini na aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini Mhe. Godblessema ameachiwa muda huu baada ya kukamatwa na polisi Kenya hapo jana.
=======

Mbunge wa zamani wa Arusha Mjini, Godbless Lema aliyekimbia Tanzania na familia yake kuelekea Kenya na kukamatwa na Mamlaka za huko aameachiwa na Polisi katika Kituo cha Kajiado na kupewa hifadhi nchini humo.

Hifadhi ya Lema inakuja wakati Mbunge mwingine wa zamani na Waziri wa Utalii, Lazaro Nyalandu kuzuiliwa na Mamlaka za Tanzania wakati anaelekea Kenya

Pia, soma Amnesty International yaitaka Kenya kumpa hifadhi Godbless Lema kulingana na sheria ya wakimbizi, yasema kumrudisha nchini ni kinyume cha sheria

Kwanza alitaka wamchangie watu wakagoma...akaona hela hakuna bora akimbie akale bure..siasa za kishoga bana
 
Nimeona Amnesty international waliikoromea Kenya waache Ufala kuingilia ishu za mtu wakati anatafuta hifadhi mana ni haki yake.

Baada ya kutafakari, wameona huu ni ujinga wa kushinikzwa na jirani tu.
anajipendekeza kenya anajua ni wajinga kama wao kina mdee wajinga wajinga???
 
Unawaza tumbo tu.

Ni vigumu sana taifa letu kupata maendeleo yanayohitajika kwa wakati, hasa tukiwa na wajinga wengi sampuli yako.
Mjinga mmoja ni wew abaye umeshikiwa akiri na hao wasanii na majambazi wa usaliti, ikiwezekana hata weqe ungewafuata nyuma tu msaidiane kujificha.
 
Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini na aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini Mhe. Godblessema ameachiwa muda huu baada ya kukamatwa na polisi Kenya hapo jana.
=======

Mbunge wa zamani wa Arusha Mjini, Godbless Lema aliyekimbia Tanzania na familia yake kuelekea Kenya na kukamatwa na Mamlaka za huko aameachiwa na Polisi katika Kituo cha Kajiado na kupewa hifadhi nchini humo.

Hifadhi ya Lema inakuja wakati Mbunge mwingine wa zamani na Waziri wa Utalii, Lazaro Nyalandu kuzuiliwa na Mamlaka za Tanzania wakati anaelekea Kenya

Pia, soma Amnesty International yaitaka Kenya kumpa hifadhi Godbless Lema kulingana na sheria ya wakimbizi, yasema kumrudisha nchini ni kinyume cha sheria

Safi sana Kenya. Mnajitambua. Mna akili sana majirani. Lema angerudi kwa mhutu ni shaba tu.
 
haya yasikie tu kwa mwenzio. mimi na wewe hatujui anajua yeye, Mungu wake na wanaomtishia. tusihukumu. Fikiria pia,wakati Lema "anajifanya" kutaka kuuliwa kuna makumi wameshakufa Zanzibar. huko Tarime kuna makumi wanauguza majeraha makubwa.
Jiulize kwann wanakufa?? Tuanzie hapo??
 
Kwanza alitaka wamchangie watu wakagoma...akaona hela hakuna bora akimbie akale bure..siasa za kishoga bana
Inawezekana alipokuwa kisongo tayari walifumua malinda.
Baada ya kushindwa na sera yao ya kishoga wameamua kuufata ulipo.
 
Inawezekana alipokuwa kisongo tayari walifumua malinda.
Baada ya kushindwa na sera yao ya kishoga wameamua kuufata ulipo.
Hahahaaa kweli kabisa maana mpaka unashangaa hawa jamaa wana nn lakini?? Hivi huyo tobo lisu aliamini anaweza kua Rais?? Au ni kujitekenya huku anacheka?? Yule makengeza mwingine aliamini saccos yake inaweza toa Rais?? Bora tu waondoke wakaolewe huko tutulie sisi tupige kazi
 
Lakini Lema kamaliza deni la benki? Isije ikawa anakimbia deni.
 
Back
Top Bottom