Sister Abigail
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 2,886
- 9,088
Najikuta nacheka at the same time nasikitika.Makasiriko ya jitu juu ya Kenya na Kenyatta yatazidi maradufu! Wakati ule alichoma vifaranga sijui atachoma nini safari hii.
Mungu akulinde Lema pamoja na familia yako.
Jusa naye asikubali kurudi huku jehanamMnawapiga wenzenu alafu mnaawambia wabaki wakuze chama.View attachment 1622940
Uwongo mtupu! Kambona hakuwa na uhaini wowote, rudi kwenye historia za nchi ukajifunze sawaswa, acha kuropoka ropoka. Kwa taarifa yako Nyerere mwenyewe alimruhusu kuondoka kwa kuwa hakuwa tayari kukubaliana na siasa ya Ujamaa Na Kujitegemea.Suala la Kambona lilikuwa uhaini, sio maoni tofauti ya siasa
haya yasikie tu kwa mwenzio. mimi na wewe hatujui anajua yeye, Mungu wake na wanaomtishia. tusihukumu. Fikiria pia,wakati Lema "anajifanya" kutaka kuuliwa kuna makumi wameshakufa Zanzibar. huko Tarime kuna makumi wanauguza majeraha makubwa.
Hasa si waseme tu kwamba tunataka kufanyanyia siasa zetu uhamishoni kwa michango ya wafuasi wetu.Kama hakuna uhakika na usalama wa Maisha Yao afadhali wakimbie, na hicho chama watakikuzaje wakati manyanyaso kutoka kwa polisi ni Kila kukicha? Wakifanya vikao vya ndani ni shida nje Nako hakuna ruksa
Lema ni chalii wa Arusha hawezi kutishwa na msg akimbie Nchi, ni mchongo tu na Kenya yeye siyo mgeni.Nyie ccm mambo ya ukweli mnatia mzaha. Imagine maandamano ya amani mtu unafungwa, halafu unaanza kutumiwa msg ya kijinga
Sisi wafuasi tunawaunga mkono so hayo ni ya kwako wewe kada!Hii tactic ya kujifanya wanataka kuuliwa badala ya kubaki na kukuza chama chao ni usaliti kwa wafuasi wao.
Mkuu, labda wewe unaelewa sana. Hebu nieleweshe, chama chao wanakuzaje?Hii tactic ya kujifanya wanataka kuuliwa badala ya kubaki na kukuza chama chao ni usaliti kwa wafuasi wao.
Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini na aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini Mhe. Godblessema ameachiwa muda huu baada ya kukamatwa na polisi Kenya hapo jana.
=======
Mbunge wa zamani wa Arusha Mjini, Godbless Lema aliyekimbia Tanzania na familia yake kuelekea Kenya na kukamatwa na Mamlaka za huko aameachiwa na Polisi katika Kituo cha Kajiado na kupewa hifadhi nchini humo.
Hifadhi ya Lema inakuja wakati Mbunge mwingine wa zamani na Waziri wa Utalii, Lazaro Nyalandu kuzuiliwa na Mamlaka za Tanzania wakati anaelekea Kenya
Pia, soma Amnesty International yaitaka Kenya kumpa hifadhi Godbless Lema kulingana na sheria ya wakimbizi, yasema kumrudisha nchini ni kinyume cha sheria
Godbless Lema akamatwa Kajiado akitorokea Kenya yeye na familia yake. Kurudishwa nchini kesho Novemba 9, 2020
Gazeti la The Standard la Kenya linaripoti kuwa Lema na familia yake wamekamatwa eneo la Kajiado wakivuka mpaka wa Namanga kwa tax kutorokea Kenya kwa hofu ya kuuawa. Zaidi.... Aliyekuwa mbunge wa Arusha Mjini kupitia CHADEMA, Godbless Lema amekamatwa na Polisi katika Kaunti ya Kajiando nchini...www.jamiiforums.com
Sisi wafuasi tunawaunga mkono so hayo ni ya kwako wewe kada!
Waache njaa na siasa za ruzuku,wabaki nyumbani kupigania katiba ambayo wanadai ndiyo inayotumika kuwakandamiza.Mkuu, labda wewe unaelewa sana. Hebu nieleweshe, chama chao wanakuzaje?
Mikutano ya kisiasa mlishawazuia,
Wakifanya mikutano ya ndani, mnawakamata,
Wakiitisha press conference mnawakamata
Wakishiriki uchaguzi, mnaiba kura, mnalazimisha matokeo, mnajipa ushindi, mnajipa ulinzi
Wakiitisha maandamano mnawakamata, mnawapiga risasa, mnaua wafuasi wao.
Wakiwakosoa mnawatafuta muwapige risasi.
Hebu nifundishe mkuu, wanajengaje vyama vyao?
Usiwapangie,deal na ccm yako!Waache njaa na siasa za ruzuku,wabaki nyumbani kupigania katiba ambayo wanadai ndiyo inayotumika kuwakandamiza.
Tuna vuna aibu sn sababu ya diktetaNimeona Amnesty international waliikoromea Kenya waache Ufala kuingilia ishu za mtu wakati anatafuta hifadhi mana ni haki yake.
Baada ya kutafakari, wameona huu ni ujinga wa kushinikzwa na jirani tu.
Sasa wewe ndio unapasa kusoma historia ujue kilichofanya Kambona kukimbia katika lile genge la Kambona, Chipaka, Kamaliza, Bibi Titi nk. Sintashangaa kama ulikuwa hata hujazaliwa halafu unajifanya fyokofyoko kusemea puani hapa. Kama Nyerere alimruhusu kuondoka kwa nini Kambona aliogopa kurudi wakati Nyerere yupo madarakani? Kwa nini kina Bibi Titi, Chipaka, Kamaliza wakawekwa ndani? Kwa nini alikimbia akaacha familia nyuma? Kwa Kambona atungiwe nyimbo jeshini? Suala la Kambona kwenda Uingereza lilihusiana na mpango wa kumpindua Nyerere, sio kupishana maoni kati ya ujamaa na ubepari kitu ambacho ndio kililetea watake kumpindua yeye na genge lake. Wenzio hata tuliimba jeshiniUwongo mtupu! Kambona hakuwa na uhaini wowote, rudi kwenye historia za nchi ukajifunze sawaswa, acha kuropoka ropoka. Kwa taarifa yako Nyerere mwenyewe alimruhusu kuondoka kwa kuwa hakuwa tayari kukubaliana na siasa ya Ujamaa Na Kujitegemea.
Sasa huo uhaini ni ndoto zako unatuletea au ni facts za kilevi?
Hii tactic ya kujifanya wanataka kuuliwa badala ya kubaki na kukuza chama chao ni usaliti kwa wafuasi wao.
CHADEMA NI WAPUUUUZIII FULANI IVI WASIOJIELEWASijui Tunaenda Wapi?
π€£ππ€£ππ€£π Hahahahaha UPUUUZI MWINGINE WA CHADEMA KWA HIYI LEMA AKIWA KENYA HATAKUFAAIt's not a "political tactic" as you think, but it's a real threat..
And if you don't take it seriously and take proper measures to save your own life, death is inevitable..
The devil never makes a joke with human beings. He is thief and murderer. Whoever stands on his way, he/she is swallowed..
CCM and Magufuli administration are the devils we are talking about here...!!