TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Unadhani kila kesi ya wanandoa waandishi mnaitwa?Mahakama ipi imewahi sema mke na mume wakiachana lazima wagawane mali pasu kwa pasu!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unadhani kila kesi ya wanandoa waandishi mnaitwa?Mahakama ipi imewahi sema mke na mume wakiachana lazima wagawane mali pasu kwa pasu!?
AiseeeKwa sheria hiyo usishangae idafi ya vifo vya wanaume ikazidi kuongezeka. Wanaume watarogwa sana wafe
Haya bwana.Unadhani kila kesi ya wanandoa waandishi mnaitwa?
hakikaMahakama ya juu nchini Kenya imesema kuwa sheria mpya kwa wenzi wa ndoa wanaoachana itawanyima haki ya moja kwa moja ya kugawana asilimia 50 kwa 50 ya sehemu ya mali ya ndoa baada ya talaka, bali hivi sasa kila mtu atapaswa kuondoka na kitu chake alichotafuta kwa jasho lake, hata kwa mali za kugawana kuwe na ushahidi wa kina juu ya mchango wa kila mhusika.
Ni hatua nzuri sana, ndoa za kimkakati zitapungua, Kuna wale wanawake wenye tamaa ya pesa huwa wanaingia kwenye ndoa kwa lengo la kuja kuvuna mali kirahisi kwa mbeleko za pasu kwa pasu, uoga wa kulazimisha ndoa iliyoshindikana kwa kuogopa kugawana mali nako kutapungua. wanawake waliotokea familia masikini wataepukana na ndugu wanaowashawishi wavunje ndoa ili familia ipate pesa.
swali kuntuAmelea vipi familia yote wakati Hana kazi wala biashara?
They can'tHawa viumbe walivyo na tamaaa,watabadilisha style ya wizi tu,walizaliwa majizi kiasilia.
Copy kbs.Hakuna haja ya kulialia hapa, walio sema kataa ndoa walikua sahihi kabisa..🤣
Hivi kwanza mwanaume anaoa ili agundue nini..🙄
Kwa nini wakuvizie sasa? Wanaume wengi wanakufa natural deaths kutokana umri. Unakuta mwanaume amemzidi miaka 9+ mke wake, hapo probability ya mume kutangulia inakuwa kubwa sana.Kweli bwana maana mwanaume unapigana yeye yupo bize kusafishwa kucha bado ndani maugomvi mambo yakienda vizuri anaanza kukuvizia utangulie mbele ya haki ama mgawane, ije tu ili mkitalakiana akaendelee na kucha zake huko, pia swala la 50/50 litakuwa limefanyiwa uvumbuzi kuli sasa.
Mimi naona ni kama wewe ndiyo mpuuzi hivi
Tulichelewa sana kuling'amua hili.Hata partnership zipo hivyo, cha muhimu ni kusaini prenuptial agreement kabla ya ndoa. Ili ukiondoka unaondoka kama ulivyokuja
Hapa ndipo kuna point kubwa sana.Hii iitafanya wanawake wataongeza umakini kulinda ndoa zao , au nao waingie ndoani wakiwa na mali zao siyo kuvizia jasho la wanaume pale ndoa inapovunjika kwa kisingizio cha ndoa
Kumbuka sheria za Tanzania zinasema ukikaa na MTU miezi sita huyo ni mke halali😂😂Cha KUFANYA,
Mchukue binti uku bongo,
Nenda nae kafungie ndoa yako Kenya,
Mkigombana talaka inatolewa na mahakama Za Kenya.
Kenya hamna maswala ya kugawana[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
WoyooooCha KUFANYA,
Mchukue binti uku bongo,
Nenda nae kafungie ndoa yako Kenya,
Mkigombana talaka inatolewa na mahakama Za Kenya.
Kenya hamna maswala ya kugawana[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app