Kenya: Hakuna pasu kwa pasu tena, Mahakama imeamua wanandoa wanaoachana kila moja achukue chake au kuonyesha ushahidi wa mchango wa mali ya kugawana.

Kenya: Hakuna pasu kwa pasu tena, Mahakama imeamua wanandoa wanaoachana kila moja achukue chake au kuonyesha ushahidi wa mchango wa mali ya kugawana.

Mimi kama mwanamke nimefurahia maamuzi haya. Natamani ifike na hapa. Watu wamekalia kuwaza mali hawajaguja jasho hata chembe. Wengine huishia kuua ili warithi. Ingekuja na hapa tu. Tumejawa dana na ubinafsi. Mtu kwao wanachechemea lakini anatka fanya kama fursa kwao. Watu tutafute vyetu kwa jasho aisee...
 
Hakika Sheria ibadilishwe haraka sana

Maana Yuko kwenye kizazi ambacho, Wanawake hawana huruma kabisaa, ni wauaji wa waziwazi.

Hii kitu itafanya

1--Wasiwe na mawazo ya kuua wanaume.
2-Kuhakikisha wanalinda Ndoa zao.
 
Sheria hii ni kandamizi kwetu sisi wanaume, ikizingatiwa kwamba sisi ujipanga ipasavyo kabla ya ndoa kuliko wenza wetu.

Ndoa ikivunjika Kila mtu aondoke na kilicho chake. Tabia ya wanawake kuvizia mali zetu , wengine wakienda mbali hadi kututoa uhai ilimradi wamiliki mali zetu siyo nzuri kabisa.

Kama mwanamke alikuja na begi lake moja basi ndoa ikivunjika abebe begi lake moja hilo hilo hakuna cha kugawana mali pasu.

Na tena athibitishe kwamba ni begi lake kweli na alikuja nalo.

Kama ni mapenzi/upendo tunafaidi wote, yaani tena yule mwanamke ambaye hujazaa naye ukitoa mbususu hakuna anacho offer zaidi ya kunyonya mali zako tu.

Hii itapunguza migogoro ya kifamilia, tamaa za wanawake kuvizia mali za wanaume wao.

Kama mmezaa pamoja, mali zibaki kwa mwanaume na watoto. Ikiwa hamjazaa pamoja, ndoa ikivunjika abebe alichokuja nacho tu na kuondoka zake.

HAKUNA KUVIZIA MALI ZETU, WANAWAKE NA NYIE JITUMENI MMILIKI ZENU KWANZA, KABLA YA KUJILENGASHA NA KUNYEMELEA MALI ZETU WANAUME.

Kenya tayari wamepitisha hii sheria, Tanzania tunasubiri nini?
Hii mbona ipo kisheria?
Mwanamke akikukuta na nyumba au Mali , mkiachana habebi kitu chochote ila kama ulianza naye maisha, kazi unayo, hapo ni pasu Kwa pasu.
 
Cha KUFANYA,
Mchukue binti uku bongo,

Nenda nae kafungie ndoa yako Kenya,

Mkigombana talaka inatolewa na mahakama Za Kenya.

Kenya hamna maswala ya kugawana[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mikono miwili[emoji23]
valentine7.jpg
 
Ubaya wake kila mtu atakuwa anaendeleza kwake.

Mwanaume anajenga na mwanamke anajenga kwake.

Ndani kutakuwa na mgawanyiko wa hiki ni changu na kile ni chako.

Ndoa inaanza kugawanyika siku ya kwanza baada ya kufungwa.
Bora iwe ivo tu
 
Hakuna haja ya kulialia hapa, walio sema kataa ndoa walikua sahihi kabisa..🤣
Hivi kwanza mwanaume anaoa ili agundue nini..🙄
Ninyi "kataa-ndoa" muendelee tu.Hamjakatazwa.Wanaotaka ndoa wataboresha kanuni,sheria na mipango ili waishi kwa amani.
 
Mimi kama mwanamke nimefurahia maamuzi haya. Natamani ifike na hapa. Watu wamekalia kuwaza mali hawajaguja jasho hata chembe. Wengine huishia kuua ili warithi. Ingekuja na hapa tu. Tumejawa dana na ubinafsi. Mtu kwao wanachechemea lakini anatka fanya kama fursa kwao. Watu tutafute vyetu kwa jasho aisee...
Ni kweli wanawake pambaneni mtafute vyenu kwanza.
 
Sheria hii ni kandamizi kwetu sisi wanaume, ikizingatiwa kwamba sisi ujipanga ipasavyo kabla ya ndoa kuliko wenza wetu.

Ndoa ikivunjika Kila mtu aondoke na kilicho chake. Tabia ya wanawake kuvizia mali zetu , wengine wakienda mbali hadi kututoa uhai ilimradi wamiliki mali zetu siyo nzuri kabisa.

Kama mwanamke alikuja na begi lake moja basi ndoa ikivunjika abebe begi lake moja hilo hilo hakuna cha kugawana mali pasu.

Na tena athibitishe kwamba ni begi lake kweli na alikuja nalo.

Kama ni mapenzi/upendo tunafaidi wote, yaani tena yule mwanamke ambaye hujazaa naye ukitoa mbususu hakuna anacho offer zaidi ya kunyonya mali zako tu.

Hii itapunguza migogoro ya kifamilia, tamaa za wanawake kuvizia mali za wanaume wao.

Kama mmezaa pamoja, mali zibaki kwa mwanaume na watoto. Ikiwa hamjazaa pamoja, ndoa ikivunjika abebe alichokuja nacho tu na kuondoka zake.

HAKUNA KUVIZIA MALI ZETU, WANAWAKE NA NYIE JITUMENI MMILIKI ZENU KWANZA, KABLA YA KUJILENGASHA NA KUNYEMELEA MALI ZETU WANAUME.

Kenya tayari wamepitisha hii sheria, Tanzania tunasubiri nini?
"Na tena athibitishe kwamba ni begi lake kweli na alikuja nalo."

🤣🤣🤣🤣
 
Sheria hii ni kandamizi kwetu sisi wanaume, ikizingatiwa kwamba sisi ujipanga ipasavyo kabla ya ndoa kuliko wenza wetu.

Ndoa ikivunjika Kila mtu aondoke na kilicho chake. Tabia ya wanawake kuvizia mali zetu , wengine wakienda mbali hadi kututoa uhai ilimradi wamiliki mali zetu siyo nzuri kabisa.

Kama mwanamke alikuja na begi lake moja basi ndoa ikivunjika abebe begi lake moja hilo hilo hakuna cha kugawana mali pasu.

Na tena athibitishe kwamba ni begi lake kweli na alikuja nalo.

Kama ni mapenzi/upendo tunafaidi wote, yaani tena yule mwanamke ambaye hujazaa naye ukitoa mbususu hakuna anacho offer zaidi ya kunyonya mali zako tu.

Hii itapunguza migogoro ya kifamilia, tamaa za wanawake kuvizia mali za wanaume wao.

Kama mmezaa pamoja, mali zibaki kwa mwanaume na watoto. Ikiwa hamjazaa pamoja, ndoa ikivunjika abebe alichokuja nacho tu na kuondoka zake.

HAKUNA KUVIZIA MALI ZETU, WANAWAKE NA NYIE JITUMENI MMILIKI ZENU KWANZA, KABLA YA KUJILENGASHA NA KUNYEMELEA MALI ZETU WANAUME.

Kenya tayari wamepitisha hii sheria, Tanzania tunasubiri nini?
Umenikumbusha kule iringa jamaa mmoja alichukua demu mmoja ana matako balaa, akaishi nae kama miaka miwili halafu akaamua kumtema, wenzake wakamsanua kuwa akienda mahakamani mnagawana pasu kwa pasu basi jamaa akampanga demu tuuze kila kitu tuhamie dar, nae demu bila kujua akaingia kichwakichwa wakauza kila kitu, halafu jamaa akapotelea kusikojulikana na pesa zote
 
Kwa sheria hiyo usishangae idafi ya vifo vya wanaume ikazidi kuongezeka. Wanaume watarogwa sana wafe
Tumeshalogwa sana ujue.Nenda kwa waganga wa kienyeji wateja wao wakubwa ni kina mama wanakwenda kuloga waume zao.Wangu nilishamuambiaga aende kuniloga niache pombe nitamjengea nyumba kwa kumshukuru
 
Ila Kenya wanajielewa sana. Tatizo bongo wabunge ambao wanatakiwa kuwaza na kubadilisha mambo muhimu kama haya ni wale akina msukuma, kessy, babu tale, maji marefu, jah people and the likes😭😭
 
Back
Top Bottom