Kenya: Hakuna pasu kwa pasu tena, Mahakama imeamua wanandoa wanaoachana kila moja achukue chake au kuonyesha ushahidi wa mchango wa mali ya kugawana.

Mimi kama mwanamke nimefurahia maamuzi haya. Natamani ifike na hapa. Watu wamekalia kuwaza mali hawajaguja jasho hata chembe. Wengine huishia kuua ili warithi. Ingekuja na hapa tu. Tumejawa dana na ubinafsi. Mtu kwao wanachechemea lakini anatka fanya kama fursa kwao. Watu tutafute vyetu kwa jasho aisee...
 
Hakika Sheria ibadilishwe haraka sana

Maana Yuko kwenye kizazi ambacho, Wanawake hawana huruma kabisaa, ni wauaji wa waziwazi.

Hii kitu itafanya

1--Wasiwe na mawazo ya kuua wanaume.
2-Kuhakikisha wanalinda Ndoa zao.
 
Hii mbona ipo kisheria?
Mwanamke akikukuta na nyumba au Mali , mkiachana habebi kitu chochote ila kama ulianza naye maisha, kazi unayo, hapo ni pasu Kwa pasu.
 
Ubaya wake kila mtu atakuwa anaendeleza kwake.

Mwanaume anajenga na mwanamke anajenga kwake.

Ndani kutakuwa na mgawanyiko wa hiki ni changu na kile ni chako.

Ndoa inaanza kugawanyika siku ya kwanza baada ya kufungwa.
Bora iwe ivo tu
 
Hakuna haja ya kulialia hapa, walio sema kataa ndoa walikua sahihi kabisa..🤣
Hivi kwanza mwanaume anaoa ili agundue nini..🙄
Ninyi "kataa-ndoa" muendelee tu.Hamjakatazwa.Wanaotaka ndoa wataboresha kanuni,sheria na mipango ili waishi kwa amani.
 
Ni kweli wanawake pambaneni mtafute vyenu kwanza.
 
"Na tena athibitishe kwamba ni begi lake kweli na alikuja nalo."

🤣🤣🤣🤣
 
Umenikumbusha kule iringa jamaa mmoja alichukua demu mmoja ana matako balaa, akaishi nae kama miaka miwili halafu akaamua kumtema, wenzake wakamsanua kuwa akienda mahakamani mnagawana pasu kwa pasu basi jamaa akampanga demu tuuze kila kitu tuhamie dar, nae demu bila kujua akaingia kichwakichwa wakauza kila kitu, halafu jamaa akapotelea kusikojulikana na pesa zote
 
Kwa sheria hiyo usishangae idafi ya vifo vya wanaume ikazidi kuongezeka. Wanaume watarogwa sana wafe
Tumeshalogwa sana ujue.Nenda kwa waganga wa kienyeji wateja wao wakubwa ni kina mama wanakwenda kuloga waume zao.Wangu nilishamuambiaga aende kuniloga niache pombe nitamjengea nyumba kwa kumshukuru
 
Ila Kenya wanajielewa sana. Tatizo bongo wabunge ambao wanatakiwa kuwaza na kubadilisha mambo muhimu kama haya ni wale akina msukuma, kessy, babu tale, maji marefu, jah people and the likes😭😭
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…