Kenya imecheza sana ujasusi wa kiuchumi dhidi ya Tanzania. Should this necessarily be "quid pro quo"?

Kenya imecheza sana ujasusi wa kiuchumi dhidi ya Tanzania. Should this necessarily be "quid pro quo"?

Kwenye work permit mama asijaribu,huku tayari wakenya wengi sana kwenye mahoteri ya kitalii kuliko watz na sisi hawawezi kutupa ajira huko.
Ni lugha za kisiasa tu.
Wahuni wa Kenya hatuwezi kuwapa free movement hapa kwetu
 
Ndiyo, we’re full of pride, so kwa hivyo wataka tuwe kama nyinyi? Waoga, wanyonge kisha with low self esteem on top of that?

Tazama vile wanajf huongelea kuhusu nchi ndogo kama rwanda na burundi nyinyi mnakuwaga arrogant sana na ni wanafki wakubwa sana.

Kweli nyani haoni kundule.
Shame on you greedy Kenyan
 
Sisi ni watu wa visingizio tu. Na tutabakia hapa hapa na umasikini wetu kama tukiendelea kudhania umasikini wetu unasababishwa na watu wengine na sio sisi wenyewe!

Yaani tunafikiri tukiwazuia Kenya kuendelea ndio sisi tutaendelea? Yaani tulikuwa tayari nafasi ya MD wa Voda apewe mmisri kuliko mkenya! Roho mbaya tu. Tumefaidikaje? Voda kampuni ya UK/SA.....Kenya haina incentive ya kuiua na kwa kweli haiwezi kuiua.....ni service industry..... ikifa Voda wateja hawahamii Safaricom.....sanasana watahamia Tigo, Airtel, TTCL nk. Stupidity at it's best!

Inanikumbusha ile stori ya jamaa aliyeambiwa na "mungu" aombe kitu kimoja kwa sharti kwamba chochote atakachoomba atapewa lakini nduguye atapewa mara mbili yake! Jamaa alivyo na roho mbaya akaomba atobolewe jicho moja.....! (Ili nduguye awe kipofu kabisa).
Hahahhahhaahhaha
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Mwaka juzi wa 2019 Mwezi November, JF Member My Son drink water aliwahi kusema kwamba "Kenya imecheza sana ujasusi wa kiuchumi dhidi ya Tanzania, nashukuru Mungu tena dakika za mwisho TISS walistukia mchezo vinginevyo VodaCom nayo ilikuwa inakufa na ingekuja kufufukia Kenya"
==========
==========
Habari zenu waungwana wa jamiiforums

FRIDAY SEPTEMBER 28, 2018: Vodacom Tanzania said on Friday the government had denied its incoming chief executive officer, a Kenyan, a work permit, and it would have to restart the recruitment process.

In April, Vodacom Tanzania named Sylvia Mulinge, at the time head of business at Kenya's biggest telecoms operator Safaricom to the post. She was meant to take up her position on June 1.
==========
==========
Kwani kama mtu alikuchangia USD 200 katika maandalizi ya harusi yako ni lazima na wewe umpe kiasi hicho hicho cha pesa yeye atakapokuwa anajiandaa kuoa/kuolewa?

Kwani kitendo cha Rais Uhuru Kenyatta kufuta work permits pamoja na Business Visas ni lazima kiwe nipe nikupe (quid pro quo) kwa taifa kubwa la Tanzania? Kuna ulazima wowote wa Tanzania nayo kufuta vibali hivyo kwa raia wa Kenya?
==========
==========
Baada ya Rais Kenyatta kufuta documents kwa wafanyakazi wa Tanzania ndio ninakumbuka maneno yaliyopo humu humu JF ya member mmoja anayetumia jina la My Son drink water kwamba;

"65% ya viwanda vilivyokufa Tanzania vilikuja kufufukia Kenya, tafsiri yake ni kwamba, Usalama wa Taifa wa Kenya, KNIA walifanya yao huku TISS yetu ikiwa imelala, na Kiwanda cha mwisho kuhamia Kenya ni cha General Tyres, yaani ajira zinakufa Tanzania kisha zinawafufukia Wakenya. Kenya imecheza sana ujasusi wa kiuchumi dhidi ya Tanzania, nashukuru Mungu tena dakika za mwisho TISS walistukia mchezo vinginevyo VodaCom nayo ilikuwa inakufa na ingekuja kufufukia Kenya"

SWALI: Tutegemee "Sylvia Mulinge" wa Safaricom kurudi kuwa CEO wa Vodacom endapo Tanzania itafuta work permits pamoja na Business Visas kwa raia wa Kenya?

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Hivi wakati wa mwendazake kwanini Uhuru aliruhusu watanzania na raia wengine wa afrika mashariki kuingia Kenya mpaka Nairobi kufanya biashara? Au mmeshajisahaulisha?


Hii ilikuwa 2017 tunaweza kuendelea...
 
Kwani baada ya kumkataa Sylivia Mulinge kuna mtanzania anayeendesha VodaCom kama CEO au shida ni Mkenya ??

Ziara ya Rais Samia ni kubwa na imechukuliwa kwa ukubwa sana na wakenya ila kwetu sisi,

Muda wote ni wanyonge kazi yetu ni kujishuku shuku muda wote, kujiona wanyonge tutapigwa, hatujiwezi. Aisee

Huu ni ulemavu hakika.

Ningekuwa Rais nchi hii, ningegawa passport kwa kila mtu akazurule huko nje labda unyoronyoro ungetoka.

Mbongo muda wote ni kulalamika na kuhisihisi kujiona anaonewa muda wote.

This is too much.
Unasema haya kwakua unaweza simama mwenyewe au unategemea favour za system na zikibadilika una dondoka!
 
Sisi ni watu wa visingizio tu. Na tutabakia hapa hapa na umasikini wetu kama tukiendelea kudhania umasikini wetu unasababishwa na watu wengine na sio sisi wenyewe!

Yaani tunafikiri tukiwazuia Kenya kuendelea ndio sisi tutaendelea? Yaani tulikuwa tayari nafasi ya MD wa Voda apewe mmisri kuliko mkenya! Roho mbaya tu. Tumefaidikaje? Voda kampuni ya UK/SA.....Kenya haina incentive ya kuiua na kwa kweli haiwezi kuiua.....ni service industry..... ikifa Voda wateja hawahamii Safaricom.....sanasana watahamia Tigo, Airtel, TTCL nk. Stupidity at it's best!

Inanikumbusha ile stori ya jamaa aliyeambiwa na "mungu" aombe kitu kimoja kwa sharti kwamba chochote atakachoomba atapewa lakini nduguye atapewa mara mbili yake! Jamaa alivyo na roho mbaya akaomba atobolewe jicho moja.....! (Ili nduguye awe kipofu kabisa).
Ndivyo tulivyolelewa toka awali.. matajiri waliitwa makabaila, mabwanyenye, wanyonyaji... wakanyang'anywa kila kitu ili tubiendeshe wenyewe mwisho wa siku vyote vilibaki chakavu huku nchi ikiwa taabani kiuchumi!!! Tumejisahaulisha!!!
Roho mbaya na chuki havijawahi kumsaidia mafanikio hasidi yeyote yule...
 
Ndivyo tulivyolelewa toka awali.. matajiri waliitwa makabaila, mabwanyenye, wanyonyaji... wakanyang'anywa kila kitu ili tubiendeshe wenyewe mwisho wa siku vyote vilibaki chakavu huku nchi ikiwa taabani kiuchumi!!! Tumejisahaulisha!!!
Roho mbaya na chuki havijawahi kumsaidia mafanikio hasidi yeyote yule...
Utajiri wa halali ni mzuri ila ule wa kukwepa kodi hakika ni wa kupigwa vita na kila mtu
 
Hahahhahhaahhaha
Yaani ujinga, roho mbaya na 'wivu wa kike' walionao Watanzania ni wa ajabu kabisa. Wako radhi kuendelea kuishi maisha duni kuliko kuruhusu biashara itakayowapa ajira. Hivi Magufuli amepita na kauli mbiyu 'tumeliwa sana' imekuwa nongwa. Sababu kuu ni ujinga, elimu duni na kujifungia au kufungiwa Kilugha usione dunia yaelekea wapi.
Mbona uhuru wa biashara na kuondoa visa upo baina ya Kenya na Rwanda? Tofauti ni kuwa Rwanda wanajiamini kwa vile wana wasomi wengi. Hili tatizo la elimu lisipotatuliwa hakuna matumaini kwa Watanzania kuwa na hali bora ya maisha. Maana hata wakijenga Gas, SGR nk watakaokuja fanya kazi kubwa si Watanzania. Tayari sekta ya hoteli ikifunguliwa leo Mtanzania utakutana naye chooni akifagia tu. Badala ya kuikaba serikali izidishe juhudi na kuweka fedha nyingi katika elimu na training.....wenye maono mafupi wanawalalamikia jirani 'kwa elimu yao'!
 
Yaani ujinga, roho mbaya na 'wivu wa kike' walionao Watanzania ni wa ajabu kabisa. Wako radhi kuendelea kuishi maisha duni kuliko kuruhusu biashara itakayowapa ajira. Hivi Magufuli amepita na kauli mbiyu 'tumeliwa sana' imekuwa nongwa. Sababu kuu ni ujinga, elimu duni na kujifungia au kufungiwa Kilugha usione dunia yaelekea wapi.
Mbona uhuru wa biashara na kuondoa visa upo baina ya Kenya na Rwanda? Tofauti ni kuwa Rwanda wanajiamini kwa vile wana wasomi wengi. Hili tatizo la elimu lisipotatuliwa hakuna matumaini kwa Watanzania kuwa na hali bora ya maisha. Maana hata wakijenga Gas, SGR nk watakaokuja fanya kazi kubwa si Watanzania. Tayari sekta ya hoteli ikifunguliwa leo Mtanzania utakutana naye chooni akifagia tu. Badala ya kuikaba serikali izidishe juhudi na kuweka fedha nyingi katika elimu na training.....wenye maono mafupi wanawalalamikia jirani 'kwa elimu yao'!
Watanzania wanajiamini sana tena ni wasomi kweli kweli.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Ukweli mchungu huu,sasa ni kama tunaanza moja,
Tuliongozwa na wajinga wenye mawazo ya kimasikini,

Walioamini kila mwenye hela ni mwizi, na matatizo /umasikini wao umesababishwa na wenye hela,

Hakika Kama mateso tuliyapata hasa
Waliokuwa na hela walikuwa percent ngapi na wakati huo social services zilikuaje? Unatakakusanya kodi kwa wengi kisha watumiaji wawe kundi la wateule?

Msimpoteze Mh. Rais mnao waimba kila siku ooh sukuma gang etc ndiyo population kubwa Tanzania, ndiyo ambao kweli waki gang up wanaweza sababisha distabilization kwa nchi hii...Tuache uchonganyishi na tuache kupenda kubebwa bebwa ki makundi, kila mtu afanye kazi na ale jasho lake lakini kuwe na fair competition...Msijidanganye, Tanzania haina mwenye hati miliki kila mzaliwa wa Tanzania ana haki hiyo na anaweza akapewa nafasi ukashangaa hayo unayoyatazamia yakafutika kwa siku moja...

Tuipende nchi yetu, tuwapende raia wenzetu na tuheshimu viongozi wetu....Ibaada tumpe Mungu pekee ajuaye kesho ya kila moja...Aweza kumdhili huyu na kumpandisha yule!
 
Tanzania haina mwenye hati miliki kila mzaliwa wa Tanzania ana haki hiyo na anaweza akapewa nafasi ukashangaa hayo unayoyatazamia yakafutika kwa siku moja...

Tuipende nchi yetu, tuwapende raia wenzetu na tuheshimu viongozi wetu....Ibaada tumpe Mungu pekee ajuaye kesho ya kila moja...Aweza kumdhili huyu na kumpandisha yule!
Safi sana mkuu. Hakika kipande hiki kimeugusa moyo wangu.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Waliokuwa na hela walikuwa percent ngapi na wakati huo social services zilikuaje? Unatakakusanya kodi kwa wengi kisha watumiaji wawe kundi la wateule?

Msimpoteze Mh. Rais mnao waimba kila siku ooh sukuma gang etc ndiyo population kubwa Tanzania, ndiyo ambao kweli waki gang up wanaweza sababisha distabilization kwa nchi hii...Tuache uchonganyishi na tuache kupenda kubebwa bebwa ki makundi, kila mtu afanye kazi na ale jasho lake lakini kuwe na fair competition...Msijidanganye, Tanzania haina mwenye hati miliki kila mzaliwa wa Tanzania ana haki hiyo na anaweza akapewa nafasi ukashangaa hayo unayoyatazamia yakafutika kwa siku moja...

Tuipende nchi yetu, tuwapende raia wenzetu na tuheshimu viongozi wetu....Ibaada tumpe Mungu pekee ajuaye kesho ya kila moja...Aweza kumdhili huyu na kumpandisha yule!
Summarize ujumbe wako basi tupate maana
 
..nipe mfano wa " ujasusi wa kiuchumi " uliofanywa na Tz au Watz na unieleze jinsi ulivyotusaidia.
elimu ya uraia hainipi nafasi ya kusema, lkn amini zipo kazi zimefanyika hata wewe unajua
 
Tanzania inaweza kushindana na Kenya Ila watanzania hawawezi kushindana na wakenya
You put it very simple but precisely...Kenya kwa Tanzania lazima inashindwa kwakua serikali ya Tanzania ina nguvu kuliko corrupted and individualistic Kenya...Ila watu wa Kenya wameishi ubepari hivyo wale wenye muscles ndiyo watakao kuwa backed na mifumo ya serikali yao wakiwemo viongozi na makampuni yao ambao bila kuwawekea vizuizi wanaweza sababisha cartel na kuwezesha rushwa kushamiri...Hata hivyo kushirikiana nao siyo dhambi ila the how matters a lot!
 
Back
Top Bottom