Kenya imecheza sana ujasusi wa kiuchumi dhidi ya Tanzania. Should this necessarily be "quid pro quo"?

Kenya imecheza sana ujasusi wa kiuchumi dhidi ya Tanzania. Should this necessarily be "quid pro quo"?

Napenda watu wajifunze kwa uelewa mzuri nina somo linaloitwa 'An Entrpreneur and His silente society' mfanya biashara anayefanya biashara kwenje jamii yenye ukimya (silent society) hawezi kufanikiwa, nasisi tumeiishi
Sawa mkuu. Hongera kwa kuwa na moyo mzuri wa kutoa somo kwa wengine. Vile vile kwa maana sisi watanzania wengi ni wavivu wa kusoma vitabu, ninadhani litakuwa ni jambo la maana sana kama utaandaa na video clips kadhaa kwa watu kama hao.
 
Usihisi hivyo tu ila uwe na uhakika wa hisia zako
Sawa mdogo wangu Mkomavu. Kuna demu naenda kumla mida ya saa 12 jioni maeneo ya Sinza kwa Remi. Ni mke wa mtu lakini. Kajilengesha mwenyewe kwanini nisiloweke eti?
 
Sawa mkuu. Hongera kwa kuwa na moyo mzuri wa kutoa somo kwa wengine. Vile vile kwa maana sisi watanzania wengi ni wavivu wa kusoma vitabu, ninadhani litakuwa ni jambo la maana sana kama utaandaa na video clips kadhaa kwa watu kama hao.
Kitabu changu unasoma unaweka kwapani na kufanya biashara huhitaji kwenda darasani nimekiandika kwa kimombo vya lugha adhimu kwaajili ya uelwea mbalimbali vitakuja baadae kwakushirikiana na serikali . 'A hands-on training guide'
 
Kitabu changu unasoma unaweka kwapani na kufanya biashara huhitaji kwenda darasani nimekiandika kwa kimombo vya lugha adhimu kwaajili ya uelwea mbalimbali vitakuja baadae kwakushirikiana na serikali . 'A hands-on traing guide'
Okay thanks
 
Back
Top Bottom