Kenya imeiacha Tanzania parefu sana kimaendeleo, shida ni nini?

Umenikumbusha mbali sana, nilikuwa naenda chuo nje ya nchi. Niliomba passport mwezi septemba 2021 nimeipata AUGUST 2022.Kisa jina la Babu yangu mzaa mama jina lake limefanana na majina ya BURUNDI aiseeee.
 
shirika lao la ujasusi linafanya kazi Kwa weledi ktk kuboresha uchumi wa nchi yao, wakati sisi Tiss wapo bize na wanasiasa.
TISS walipiga kambi Zanzibar wakati wa uchaguzi na kukiteka kiwanda cha uchapaji cha SMZ huku wakijifungia ndani mwezi mzima wakichapisha kura feki na kuratibu uchaguzi na kulitumia jeshi kuuwa watu ili kumweka kibaraka wao kutoka Mkuranga Mwinyi
 
Uwongo the gap is widening. Miaka ya 90-2000 GDP ya Tanzania na Kenya zilikuwa zafukuzana. Leo uchumi wa Kenya unaelekea kuwa mara mbili ya wa Tanzania kwa GDP
fungua akili yako achana na maisha ya kukariri, nyang'au unabishana na data! Kweli tz tuko karibu kuwapita!
 
Umenikumbusha mbali sana, nilikuwa naenda chuo nje ya nchi. Niliomba passport mwezi septemba 2021 nimeipata AUGUST 2022.Kisa jina la Babu yangu mzaa mama jina lake limefanana na majina ya BURUNDI aiseeee.
Ukiweka cheti cha kuzaliwa na namba ya NIDA , passport unapewa one week tu , ofcourse uwe unamjua mtu pale na uweke na chai kidogo laki mbili! Umepita njia ndeeeeefu kama treni ya kigoma iliyojazwa mabehewa chakavu ya mtumba ya bilioni mbili mbili na treni nzima iliyoondoka Dar kwenda kigoma ina thamani ya trilioni kumi yani thamani ya mabehewa na vichwa viwili vyote mtumba!!
 
Fanya research vizuri mzee,kidata hao wakenya wametuzidi kwenye maziwa ila kiuhalisia tumewazidi miles,kamwe kenya huwezi kukuta maziwa yakiuzwa kiholela kama TZ,kwa mfano huku kimara tu kuna wafugaji zaidi ya 100 na asubuhi mpaka saa 6 ukuti maziwa,huo ni mfano wa sehemu ndogo tu,serikali ikiamua kuingia deep kenya hawatuwezi maana huko kwao ukuti maziwa yakiuzwa mtaani
 

..tuna mengi ya kujifunza toka Kenya kuhusu kilimo na ufugaji wa kisasa.

..tuache ubishi na ujuaji usio na faida kwetu.

..Na Watanzania tusipojizatiti Uganda nao wanakuja kwa kasi sana ktk kilimo.

..Mfano mdogo, Uganda wameshatu-overtake ktk kilimo cha Chikichi ingawa sisi tuliwatangulia ktk kilimo hicho.
 
Bila kusahau maparachichi kutoka Uganda kila siku yanasafirishwa kwenda nchi za uarabuni Dubai,Saudia,Bahrain,Qatar nayashuhudia kwa macho yangu ila ya Tanzania sijawahi kuyaona.
 
Bila kusahau maparachichi kutoka Uganda kila siku yanasafirishwa kwenda nchi za uarabuni Dubai,Saudia,Bahrain,Qatar nayashuhudia kwa macho yangu ila ya Tanzania sijawahi kuyaona.

..Jaribu kumsikiliza mkulima wa parachichi wa kenya.

..sitaki kuongeza yangu. Msikilize halafu utoe tafsiri ya ulichokiona na kukisikia.

 
Duuuh! Idadi kubwa tumekuelewa sana
 
Mtu akikukosoa hivi unamsikiliza na kumpa hata juisi ya sharubati.
 
Exposure kwa huyo wa high school una maanisha nini?
 
Mnabwabwa ujinga tupu.
Nyie ndio mapopoma mnao zungumziwa...wajinga kama wewe ndio mnafanya Tanzania izidi kuwa Maskini.

Mada zenye tija kama hii huwa mnakazana kuzipinga mnataka mada za simba&Yanga, mada za Udini uislamu vs ukristo na wanawake.

Umaskini wa Tanzania sio kiuchumi tu hata kifikra na kiakili kwa raia kama wewe na jopo jingi la wajinga lililopo!!!
 
Kasage chupa umeze na panado we mlalamikaji usiyekuwa na majawabu ya unachokilalamikia! IDIOT!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…