All truth23
JF-Expert Member
- Jul 19, 2022
- 1,215
- 1,401
Sawa mtetezi waoUnaonesha usivyotaka uwepo wa Katiba Mpya, wakati wake ukifika itakuja tuu.
Hujui hata hii Katiba iliyopo inaruhusu uwepo wa haki sawa kwa makundi tofauti ya kijamii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mtetezi waoUnaonesha usivyotaka uwepo wa Katiba Mpya, wakati wake ukifika itakuja tuu.
Hujui hata hii Katiba iliyopo inaruhusu uwepo wa haki sawa kwa makundi tofauti ya kijamii.
Mkuu, hili jambo nilijua tu lazima utaliunga mkono.Hata hapa Tanzania ni suala la muda tu. Mzungu hajawahi kushindwa ktk Jambo lake analolisimamia.
Mlipinga chanjo ya korona lkn mwisho wa siku ikaingia
Mmeanza upuuzi!! Kenya ni nchi ya kibepari miaka mingi so msihusishe katiba mpya ya Tanzania na issue za maadili ya Kenya. Ndio Yale Yale Kila katiba mpya ikidaiwa utasikia "sultan atarudi Zanzibar..... Mara ushoga utaingizwa kwenye katiba'' yaani hofu za kipuuzi as if hamkufuta maoni ya Warioba ndio sembuse msifute maoni ya ushoga/sultan kurudi!!Haya yatakuwa kama vile ni matokeo ya Kenya kuwa na katiba mpya
Kifungu Gani kimesema ushoga ni ruksa? Kwani mtikila alipokua anashinda kesi kuhusu mgombea binafsi ilikuwepo kwenye katiba?Si Kenya waliandika katiba mpya na haya ni matokeo yake au mie sielewi?
.Wewe mbwiga na hii hapa ni Katika Mpya?View attachment 2529768View attachment 2529769
Msiwasingizie mabeberu wakati nyie wenyewe mnapenda kufirana.Msishangae hata kidogo, Hili suala kwa kenya liko kiuchumi zaidi. Wako katika hali mbaya sana kifedha na kiuchumi kwa ujumla. Ndiyo maana kila ngoma inayopigwa na mabeberu, watakuwa wa mwanzo kucheza. Swali langu ni je, unafuu unaotegemewa kutokea utapatikana kwa kupuuza misingi ya utamaduni wenu??
Upo wrong Mbna vitendo hvyo hvina dini wala kabila kwa sasaNamshukuru MUNGU kuniumba muislam
Aisee [emoji35][emoji35]Mashoga ndio wamemuweka madarakani lazima awatii
Anayeweza hii ni museven tuuView attachment 2529895Hawa mahayawani hayawezi kushinda. Serikali ya Kenya inapeleka muswaada mkali bungeni ku criminalize activities zote za mashoga
Anayeweza hii ni museven tuu
Duh.Msiwasingizie mabeberu wakati nyie wenyewe mnapenda kufirana.
MwarabuHivi Juma Lokole ni Mkristo au mnyazi?
ThibitishaHaya mambo ya ushoga huwa naona mnapenda sana kuyafatilia na kutaja taja, mko too obsessed, halafu wengi mnayafanya sana ukanda huo wa kuanzia Tanga, Dar hadi Pemba, huko ambapo dini yenu imetamalaki.
Waarabu si ni wanyazi?Mwarabu