Kenya inaongoza uzalishaji Avocado Afrika. Tusipokuwa makini chini ya CCM kuna siku Kenya itailisha Tanzania

Kenya inaongoza uzalishaji Avocado Afrika. Tusipokuwa makini chini ya CCM kuna siku Kenya itailisha Tanzania

Na sisi tunajitahi jitahidi, tumeanza mdogo mdogo kule Njombe
Ukweli mchungu kuhusu kilimo cha parachichi Tanzania, hizo mbegu bora ni kutoka Kenya, wataamu wa drip irrigation ya parachichi ni kutoka Kenya, kampuni kiongozi wa pembejeo za kilimo cha parachichi ni Balton Tanzania, imeajiri Wakenya watupu!. Hawa ndio wana manage Africado Kyle Sanya Juu na Rugwe!, Why?, ni kwasababu hatuna Watanzania wenye uwezo huo!. Na tutakapofikia kipindi cha free labour movement ya EAC, hata ile biashara ya usiku ya wale dada zetu, utakuwa taken na manzi wa Nairobi!. Tukisema Watanzania tumelogwa!, mnabisha!.
P
Nyie endeleeni kuwekeza watu wawe kama wakina mwijaku,baba levo,manara na tktk zingine
Wakata mauno tu

Ova
 
Sijasema hakuna mazuri tunayoweza kuyatumia hapa, hata kama ni kwa kuyabadili kidogo kulingana na hali yetu ilivyo. Si lazima kubeba tu.
Na hapo hapo pia elewa kuwa kuna mazuri yanayofanyika hapa pia, pamoja na ubovu wa CCM yetu.
Vinginevyo tusingeweza kuwauzia mazao yanayopatikana hapa.
Kuwauzia sio hisani kwao. Ni biashara ambayo tunaiihitaji kuboresha maisha na uchumi wetu. Mbona hujawaza iwapo wakigoma kununua hali itakuwaje kwa wakulima?
 
..Majirani wako makini kwelikweli ktk masuala ya kilimo, na wanazingatia viwango.

..angalia video hizi mbili kuna mengi ya kujifunza kuhusu namna ya kufanya kilimo.




Hawaongozi kwa uzalishaji wa parachichi Afrika. Wao wanachofanya ni kuja kwenye Nchi kama Tanzania wanalangua, halafu wanaweka nembo za kuwa zinazalishwa Kenya.
 
Mkuu upo sahihi juzi kati nilikuwa kwenye wilaya zote za Tabora wanalalamika asali imeshuka bei na wanunuzi wakubwa ni Kenya so tunategemeana
Naam, hiyo ndio hali halisi. Tatizo kuna mentality imeingia miongoni mwa wengi kana kwamba tunafanya hisani kuwauzia mazao. Uchumi ni kutegemeana kati ya nchi na nchi. Wao wanafaidika na sisi vilevile. Juzi tu waliacha kununua mahindi kwa kisingizio ati mahindi yetu yana sumu kuvu, ilikuwa ni mtafutano kwa wakulima mpaka rais Samia na mwenzake wa Kenya waliposawazisha mambo. Wote tuheshimiane kwa kuwa tunategemeana.
 
Wanalangua parachichi Tanzania, wanaenda kuweka label kama zimelimwa Kenya. Nenda Njombe pale wana ofisi za kununua parachichi wanapeleka Kenya. Zikifika Kenya wanasema zinalimwa Tanzania
Uko sawa ,hawa watu wanashindwa kuwa Kenya wanatembelea kwa mgongo wetu mfano,Mlima Kilimanjaro husema ni wa kwao,Mbuga ya Serengeti,kilimo cha mpunga,mahindi,parachichi,ndizi,ng'ombe,mbuzi na hata samaki.
 
Uko sawa ,hawa watu wanashindwa kuwa Kenya wanatembelea kwa mgongo wetu mfano,Mlima Kilimanjaro husema ni wa kwao,Mbuga ya Serengeti,kilimo cha mpunga,mahindi,parachichi,ndizi,ng'ombe,mbuzi na hata samaki.
Ndio wamewazidi akili.
 
Back
Top Bottom