Kenya is the only African country in the top 10 producers of Avocados

Unasafirisha Gallstones? How hebu nieleze maana Gallstone ninayojua mimi inatengenezwa kwa gallbladder! hebu nieleze hata mimi sijui ni nini! Unatumbua watu nn? Unafanya biashara ya human organs nn?
Hii Comments yako hapo umeisahau!
Unauliza kama natumbua Watu! Unauliza kama nafanya Biashara ya Human Organs!

Mbona hukuuliza kama nafanya Biashara ya Mammals Organs.

Means mpaka unaandika hii comments unachojua ni Gallstones zinapatikana kwa Binadamu tu!!!

Sasa kama wewe sio mshamba ni kitu gani!
I dont give a shit kwa watu wajinga wajinga.
 
Inashangaza sana kusema ukweli....
 
Nimeomba maelezo na hamna mahali Nimesema binadamu tu! Nimeeleza nilicho-suspect! Ndo maana ulinyimwa kibali maana uelewa wako ni finyu! Hamna mahali nimesema binadamu tu! Kiufupi biashara yako ni ya kisenge kama ulikuwa una-export gallstones za punda! Umeshiriki kuwafanya punda kuwa-enlist kenye WHS ya endangered species!
 
Tujiuliza kama tunamaabara zenye viwango vya kupima bidhaa za kilimo Ili ziwe na zigezo vya kuuzika kwenye nchi za kimataifa,
 
Kwa taarifa yako Mpaka sasa na export, na sio Gallstones za Punda kama unavyofikiri!

Watu wana Export Mijusi ambayo ipo hai, unashangaa Gallstones za Mnyama!
Wewe si ni Punguani!
 
Mkuu unaongea pumba, sisi tunasafirisha raw product wakenya wanasafirisha finished product.
Yale yale ya Tanzanite ipo Tanzania kenya na south ndio wauzaji wakubwa.
 
Kwa taarifa yako Mpaka sasa na export, na sio Gallstones za Punda kama unavyofikiri!

Watu wana Export Mijusi ambayo ipo hai, unashangaa Gallstones za Mnyama!
Wewe si ni Punguani!
Biashara haramu!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].....so much fanatics here.....
 
Tunaongoza kwa sababu ni makampuni hayo hayo ya nje ndiyo yanafuata mzigo....wafanyabiashara wengi wako katika partnership au agents wa hayo makampuni, nimelima maharage machanga 'green beans' USA river kampuni ambayo ina finance project nzima na kununua mzigo ni kutoka Kenya....kuna dada anasafirisha Mbuzi kwenda Komoro hana hata vibali ila anatumia mgongo wa connection zake serikalini so almost huwa anafanya ki magendo mpaka pale nilipomshauri kuhusu vibali ili tuwe partners na kuongeza value ya mzigo.....all in all serikalini kuna 'byurokrasi' za kijinga sana ni mpaka uwe na u CCM ndiyo unaweza penya penya angalau, katika serious business practice na hutaki kuwa chawa chawa hivi lazima utafute watu wa nje muwe partners ndiyo ufanye biashara, kitu chengine no matter kelele za kina Bashe lakini hawa hit the bulls eye kwenye inshu za cormecial farming coz ni dili zao wenyewe na hawafanyi to the required standard, ukiingia front na wakaona you are just a step to make it wee.....unaweza jikuta puu chini, nikionaga mijinga mijinga ina bwabwaja huwa nashangaa sana kwamba hawa wanaishi Tz ya wapi hawa.....ofcoz we make a living lakini si kirahisi hivyo kwa sababu mfumo unakulazimisha ulambe watu matako kwa hiyo kasi ya kutoboa inakuwa chini sana hivyo ni ujinga kujisifu ilhali katika 10 ni wa 3 ndiyo wanatoboa ukilinganisha na wenzetu ambao hawana hiyo potential
 
SAHIHI. Mchawi wa maendeleo ni serikali ya CCM. Hawa wakifurushwa kama KANU, maendeleo yatapatikana mchana kweupe
 
Mkuu unaongea pumba, sisi tunasafirisha raw product wakenya wanasafirisha finished product.
Yale yale ya Tanzanite ipo Tanzania kenya na south ndio wauzaji wakubwa.
Wacha upuuzi, hizo parachichi hakuna "raw" Wala finished", zinavyosafirishwa ni hivyo hivyo duniani kote.

Tatizo lenu ninyi ni kushindwa kuchangamka kufanya biashara badala yake mnakalia kutoa lawama kwa serikali. Katika kuchangamkia fursa za biashara, wakenya wanatuzidi Sana watanzania, sisi kazi yetu ni kulalamika na kutoa visingizio vya kijinga kila siku.
 
Mkuu unaongea pumba, sisi tunasafirisha raw product wakenya wanasafirisha finished product.
Yale yale ya Tanzanite ipo Tanzania kenya na south ndio wauzaji wakubwa.
hebu list hizo finished products kutoka Kenya! Chai over 99% inasafirishwa kwenye mifuko ya kilo 50! Na inakuwa branded na repacked kwenye boxes za less than 1 kg huko abroad! flowers pia hivyohivyo! Naona ujinga unakusumbua!
 
Wewe ni mpumbavu, ingekuwa hivyo supermarket zingejaa nyanya na maparachichi ya kutoka sokon
 
hebu list hizo finished products kutoka Kenya! Chai over 99% inasafirishwa kwenye mifuko ya kilo 50! Na inakuwa branded na repacked kwenye boxes za less than 1 kg huko abroad! flowers pia hivyohivyo! Naona ujinga unakusumbua!
Wewe ndio unasumbuliwa na utabla lasa ingekuwa hivyo mngeongoza kwa uchimi EAC coz hamna kitu kenya wanawazidi.
 
Wewe ndio unasumbuliwa na utabla lasa ingekuwa hivyo mngeongoza kwa uchimi EAC coz hamna kitu kenya wanawazidi.
leta hiyo list ya finished products toka Ukunyani! Kunyaland main exports r khat, tea and flowers! Juzi huko Lamu port!

 
leta hiyo list ya finished products toka Ukunyani! Kunyaland main exports r tea and flowers! Juzi huko Lamu port!

Kumbe na bishana na taahira, angalia bidhaa anazo safirisha Kenya soko la ulaya na nyie mnaojisifu kusafirisha mpunga, mahindi na other raw material Kenya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…