Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
Zilete hapa nikuumbue! usiwe mpumbavu namna hii!Kumbe na bishana na taahira, angalia bidhaa anazo safirisha Kenya soko la ulaya na nyie mnaojisifu kusafirisha mpunga, mahindi na other raw material Kenya
Angalia GDP yako na ya Kenya ambayo mmeizidi kila kitu kisha jipige pige kifua mara tatu useme hakika wewe ni mwezi mchangaZilete hapa nikuumbue! usiwe mpumbavu namna hii!
umesema wanasafirisha finished products Europe, mimi nimeku-challenge uzilete!Angalia GDP yako na ya Kenya ambayo umeizidi kila kitu kisha jipoge pige kifua mara tatu useme hakika wewe ni mwezi mchanga
Kwani uzi hujausomaumesema wanasafirisha finished products Europe, mimi nimeku-challenge uzilete!
Huna akili wewe, hata sijui Kama ulifika hata darasa la Sana, pumbavu Sana wewe, hivi hujui kwamba Kila eneo Kuna viwango vya ubora wa bidhaa lazima ufikie ili kuuza supermarkets?.Wewe ni mpumbavu, ingekuwa hivyo supermarket zingejaa nyanya na maparachichi ya kutoka sokon
Kwahiyo wewe GDP kwako ndio muhimu kuliko maisha ya wananchi walio wengi nchini kwako?. Sasa GDP inasaidia nini Kama wananchi wanakufa kwa njaa, na zaidi ya nusu ya nchi haikaliki kutokana na "bandits" na ukame?Angalia GDP yako na ya Kenya ambayo mmeizidi kila kitu kisha jipige pige kifua mara tatu useme hakika wewe ni mwezi mchanga
Wewe ni punguani umesema maparachichi haya hitaji processinf yeyote sasa unasema tena bla bla zako.Huna akili wewe, hata sijui Kama ulifika hata darasa la Sana, pumbavu Sana wewe, hivi hujui kwamba Kila eneo Kuna viwango vya ubora wa bidhaa lazima ufikie ili kuuza supermarkets?.
Kwahiyo wewe unataka ukakute nyanya na Embe toka Morogoro kwenye matenga na majani ya mgomba yanauzwa pale Supermarkets?.
Wewe hujui lolote kuhusu biashara, endelea kupiga kelele wakati watu wanafanya biashara na kupiga pesa, huko huko supermarkets.
Mkuu unapofanya argument stick kwenye mjadala.Kwahiyo wewe GDP kwako ndio muhimu kuliko maisha ya wananchi walio wengi nchini kwako?. Sasa GDP inasaidia nini Kama wananchi wanakufa kwa njaa, na zaidi ya nusu ya nchi haikaliki kutokana na "bandits" na ukame?
Hii ni kujaribu kutaka kuhalalisha uzembe wa Kenya, hakuna sababu yoyote Ile kwa Kenya kubaki nyuma katika sector ya kilimo, uvuvi na mifugoHili swali nili raise hata hapa jamii forums tu na nikatoa taakwimu zote ....Tanzania is seriously under performing ukizingatia the resources they have...sisi kule Kenya we are not blessed with anything in particular in terms of natural resources kama arable land with enough rainfall na zingine...we are a market economy kazi yetu ni trading tu alafu pia vijana wamesoma kwa hivyo human resource tuko poa sana....kwa sababu how can u explain Tanzania making less than $40M from Avocado yet hata yule mama ambaye anasimamia the Tanzania Horticultural Association amekuwa aki promote hii sekta for more than 10 years. Na sio parachichi tu, the entire sekta ya Kilimo cha bustani yaani Horticulture.
The reason why some times parachichi inasafirishwa kupita kenya ni kwa sababu the port in Dar es salaam does not have enough traffic for cold storage container ships.
Kwa maoni yangu Tanzania should be where South Africa is.
Na mnaweza kusema mnaongoza kwa sekta zingine za kilimo kama korosho but that is to be expected ,u have the largest arable land in the region ,hakuna excuse hapo
Ila niwapongeze sana they are doing quite well in Fishing they make $200M a year.
Hii fishing ni sekta underated sana...do u know that at 223,000 Square kilometres, Tanzania's offshore ocean territory is almost the same size as the entire landmass of Uganda.
Sent from my SM-G960F using JamiiForums mobile app
Akili zetu zinatufaa wenyewe. Ina maana hatuna masoko ya kuaminika. Hatuna minada inayoeleweka ya mazao tunayolima.Avocado zinatoka Bongo zinauzwa Kenya, Wakenya wanauzq Ulaya.
Mkuu unapofanya argument stick kwenye mjadala.
GDP ya kenya ni kubwa kwa sababu wana export bidhaa nyingi ulaya ambazo ni finished mambo ya kula GDP jadili na mama yako
Jinga kabisa wewe, parachichi 90% duniani kote husafirisha "raw" kwasababu 90% hutumika "raw".Wewe ni punguani umesema maparachichi haya hitaji processinf yeyote sasa unasema tena bla bla zako.
Una ubongo wa kuku wewe
Hujui hata kuna processing, hujui hata kuna standard kuna packaging.Jinga kabisa wewe, parachichi 90% duniani kote husafirisha "raw" kwasababu 90% hutumika "raw".
Ni vizuri umetaja hapo financial capability na ninafikiri umejijibu mwenyewe....hivi wewe unajua kwamba cost of irrigation per acre ni zaidi ya $1,000? Na bado hatujataja cost of building dams hizo ni zaidi ya $200M per dam...ukumbuke kwamba sisi bado ni a developing countryHii ni kujaribu kutaka kuhalalisha uzembe wa Kenya, hakuna sababu yoyote Ile kwa Kenya kubaki nyuma katika sector ya kilimo, uvuvi na mifugo
1)Kama kweli Kenya mko na educated people, iweje mnashindwa kutumia elimu yenu kufanya kilimo Cha umwagiliaji Kama Israel?
2)Kama mko na GDP kubwa kuliko Tanzania, iweje mnashindwa kutumia GDP yenu kubadilisha maisha Kama Singapore
Ili nchi iweze kuendelea kwa Kasi, unahitaji mambo matatu muhimu.
1)The best human resource
2)Financial capital
3)Technology
Taiwan, Singapore, Japan, South Korea, Israel, hazikuendelea kwasababu ya Ardhi kubwa yenye rutuba.
Ninyi wakenyanajisifu kuwa na "better human resource, GDP, vipi mnashindwa kuvitumia badala yake mnasingizia kwamba hamna Ardhi?.
Wacheni visingizio, ninyi ni wazembe.
R these finished goods from Kunyaland u yap about?Mkuu unapofanya argument stick kwenye mjadala.
GDP ya kenya ni kubwa kwa sababu wana export bidhaa nyingi ulaya ambazo ni finished mambo ya kula GDP jadili na mama yako
Mje mchukue Njombe Tanzania 🇹🇿 halafu mjiite top?Avocados have in a recent past become one of Tanzania’s hottest exports with more farmers engaging in what has been christened as the green gold.
However, even with production hitting record levels Tanzania is yet to hit the top 10 global producers with much of the production being dominated by Southern and Central American countries.
According to latest report by World of Statistics, Kenya is the only African country in the top 10 producers of Avocados with 176,045 tones annual production.
The leading producer being Mexico with 1,889,354 tonnes, Dominican Republic with 601,349, Peru 455,394 , Colombia with 309,431 and Indonesia with 304,938 tonnes per annum
Others are Brazil with 195,492, USA 172,630, Chile 137,365 and China 122,942 in the 10th slot.
Tanzania Horticultural Association (TAHA) estimates that the country’s avocado exports reached 11,237 tonnes, or 510 containers worth $33 million in 2021.
This is 12.6 percent more compared to 2020 sales. According to the Tanzania Private Sector Foundation (TPSF), in 2018 Tanzania exported 7,551 tons with a total value of $8.5 million to Europe, Africa, and Asia.
TAHA projects that Tanzania will export 15,000 tonnes in 2023, thus generating $45 million in foreign currency.
Tanzania Avocado Production Avocado is a relatively new crop that Tanzania started exporting in 2009.
Commercial production/export of avocados is dominated by Rungwe Avocado Company Ltd and Africado Ltd, which is based in Siha District, Kilimanjaro region. The two companies jointly produce more than 5,000 tonnes per year.
The rest of the growers are smallholder farmers who own a couple to hundreds of avocado trees around their homesteads and in distant farms. Popular avocado varieties produced in Tanzania are Hass, Fuerte, Pinkerton, and, to some extent, Puebla.
Tanzania’s prominent avocado-producing areas are in the regions of Mbeya, Njombe, Songwe, and Iringa in the southwest, as well as in Kilimanjaro, Arusha, and Tanga in the northeast of the country, where coffee and tea are traditionally grown
Source: The Citizen
hebu leta parachichi Za Kunyaland ZikIwa processed ikawa bread SPREAD/PASTE/SAUCE/SKIN BODY CARE yaani kama siagi au lotion na ikauzwa supermarkets western countries!Hujui hata kuna processing, hujui hata kuna standard kuna packaging.
Sijadili na punguani safirisha na wewe juha wewe
Wewe ni punguani upo hapa kubishana na umeaminishwa uzalendo kwako ni dini ya kuifia.R these finished goods from Kunyaland u yap about?
You have reached your thinking limit let others think.hebu leta parachichi ya Kunyaland imekuwa processed ikawa bread paste yaani kama siagi na ikauzwa supermarkets western countries!