Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
IDF kamasi zinawatoka huko uwanja wa vita hawakujua mambo yangekua magumu kiasi hiki.
Huko wanalipwa kiwango hichohicho na wanapiga kazi kama kawa..Wanaenda training ya masomo sio kuwa manamba
acha woga mkuu...hofu yakoniko wap hapoMtakapoanza kunyanyaswa huko msije kusema hamkuambiwa.
Wenzako wanakimbia wewe unaenda tena mtu mweusi
Waliokimbia ni wajinga ila wewe ndio una akili au siyo?Hebu acha kashfa wakati watu wanahangaika kutafuta ajira.
Hayo ya kusema sijui manamba, unaweza kuyasema wewe mwenye Ajira au unayelamba asali.
Dhana kama zako ndio hufanya watu waendelee kuwa masikini
Hivi mtu akikupa kazi ya kuhudumia shamba huku anakupatia vifaa vyote stahiki kuna tatizo gani?
kwa hesabu rahisi; huo mshahara wa shs 4000,000 ni sawa na malipo ya shs 130,000 kwa siku ambao ni mshara wa mwezi wa hapa nyumbani.
Nafikiri tututmie akili zetu vizuri kwa mambo serious!
Waliokimbia ni wajinga?Kwa msiojua milion 4 ni mshahara wa mkurugenzi mtendaji wa halmashauri hapa tz kwa hiyo mnaoukataa nawapa pole
Mabwana zako wanakufa wewe unamuwaza abunuwas. Bure kabisaSimulizi za abunuasi
Sasa hivi zipo 73 imeongezeka moja ya maria mamake yesu.Wawe makini kwenye vetting, wasije wakapeleka watu waliolishwa sumu kuwa watapata mabikira 72
Mabwana zako wanakufa wewe unamuwaza abunuwas. Bure kabisa
kumbe we jamaa ni muislam?Wadada huko wanakiwa jicho wanapigw
Wanafanyiw unyama wa kila aina
Ova
Wahi basi ukamatie fursaacha woga mkuu...hofu yakoniko wap hapo
Wanatutest tuMkuu ukipajua nijulishe
Ndo sababu nikasema bora Israel kuliko arabuni!!Kote hakuna shida mkuu sema maslah israel kwa kaz za unskilled ni mazuri kulko uarabun
🤣 vipi unataka bwana nipo hapa.Mabwana zako wanafukuliwa kama panya wewe unapanic JF
watupe kaziWanatutest tu
Sheria za vita huzijui ndyo maana unaongea kama mjingaJiandae kwenda kupigana vita dhidi ya hamas hakuna mashamba wala bustani huko. Unalima vipi rocket zinapita kila baada ya dk.1 ?kweli ujinga mzigo.
🤣 vipi unataka bwana nipo hapa.
So wananunua raia wakasaidie kupigana.Hao wanapelekwa vitani wewe hakuna cha mashamba wala bustani wewe unadhani kwanini wathailand na wahindi wamekimbia?