Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Hii issue hata si ya kuwacheka wakenya,serikali yetu nayo ijitose kuwaombea watanzania na wenyewe wapate hiyo ajira,m 4 kwa mwezi kama wanapewa sehemu ya kulala na chakula free itawalipa kimtindo