KENYA: Mahakama yatengua matokeo ya Uchaguzi wa Rais. Kurudiwa upya ndani ya siku Sitini(60)

Sis bado...Bongo bahati mbaya!
 
Hahahahahaa the highest point of hypocrisy
 
muwakilishi wa uhuru kenyatta kwa upande wa JF ndg MK254, pole sana kwa yaliyotokea....ila hakuna namna,mahakama ya upeo(supreme court) imeshaamua.

kutaneni tena kwa debe tarehe 31 october au tarehe 1 november.

twawatakia amani katika kipindi chote cha kuelekea duru ya pili ya uchaguzi.
 
Wakuu Salaam
Kama Afrika naona tunasonga mbele na kuheshimu maamuzi ya vyombo vyetu mzee wetu jecha alionyesha njia kua uchaguzi wenye dosari ufutwe na kenya wameiga sio kukalia kimya kitu chenye dosari.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama Jecha nae ni Shujaa siku hizi basi nina imani BAKITA watakua wametoa tafsiri mpya ya hili neno.
 
mkuu leo utaoga matusi,ngoja bavicha waje
Hao bavicha wa kumtukana mpumbavu nao watakuwa wapumbavu. Mwache mpumbavu katika upumbavu wake ajishibishe nao.

ACHA nikae KIMYA...!
 
Hata ukirudiwa Kenyatta atashinda tu
Hatuna shida hata Uhuru akishinda tena. Maana yake hata mahakama ingeliamua kivingine, tulikuwa tayari na kuendeleza shughuli zetu za kawaida. Ile kitu kama taifa tunadai ni kujenga uwazi kwa kutekeleza majukumu ya kitaifa na kijamii kwa manufaa yetu na kizazi kijacho.
 
Inawezekana endapo tukiuana kwanza
Hapo ndio akili itakuja
Nalo si suluhisho, mbona huko kwenye tume huru na katiba mpya na democracy safi bado watu wameuana. Pamoja na hayo yote bado kuna kelele kila kukicha mkuu..

Kubwa hapa ni kupunguza siasa, tuwekeze kwenye maisha yetu zaidi kwa faida ya watoto wetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu wangu, ina maana uchaguzi utarudiwa tena? gharama za uchaguzi? uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii. Mungu shusha amani yako kwa majirani zetu, kusitokee ghasia yoyote!
kama sipo mbali na mtoa post gharama nasikia ni juu yao sasa sijui inamaanisha nn mwenye kujua atujuze
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…