KENYA: Mahakama yatengua matokeo ya Uchaguzi wa Rais. Kurudiwa upya ndani ya siku Sitini(60)

ni urais tu au na wabunge? kenya imekomaa kidemokrasia
 
Du hao majaji lazima watapelekwa mikono salama ya chatu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
HAPA
NIPO NAFUATILIA HUKU, NGOJA TUONE NANI NI SHUJAA WA GAME HILI
 
Huu ndo UKUDA wa nchi za AFRICA, Vijana hawana AJIRA, Kina mama wanateseka, PESA ZOTE ZINAPELEKWA Kwenye UCHAGUZI Masikini WANATESEKA. Hata huo UCHAGUZI wa MARUDIO hautakuwa PERFECT

ukuda ni kuleta figisu na wizi wangeacha mambo yaende sawa yasingetokea haya
 
Mungu wangu, ina maana uchaguzi utarudiwa tena? gharama za uchaguzi? uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii. Mungu shusha amani yako kwa majirani zetu, kusitokee ghasia yoyote!
mafisadi wa kisiasa wanazungumziaga gharama ili wabaki madarakani kiharamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…