Nachoweza kusema ni kuwa mwaka 2015 walikuwa wapiga debe wakubwa wa Lowassa.
sasa hao majasusi sijui shuleni watakuwa wanafanya ujasusi gani majasusi hupenyezwa kwenye taasisi za ulinzi na si shuleni over
Ivi kuna mambo negative yanatokea tz chini ya utawala makini wa Jiwe? Nafkiri umepotea, kila kitu ni +ve tu mkuuMkuu sijui una maana gani unaposema ''kupenyeza siasa''. Vyovyote iwavyo, lakini sidhani kama ni siri kwani kulikwa na clip kadhaa niliziona zinaonyesha jamaa wakihamasisha watu (nadhani ilikuwa kanisani ila sikumbuki tena) kuwa hata kama wanasema Lowassa ni mgonjwa wasiogope kumchagua kwani wao kuna kipindi walimchagua Mwai Kibaki akiwa kwenye wheel-chair. Na magazeti yao kwa sasa yamekuwa yanaandika sana kuhusu mambo negative yanayotokea hapa kwetu.
Mnaosema mapungufu ya shule za serikali ndiyo chanzo cha kuajiri walimu wa kigeni nadhani nanyi ni wageni! Ktk pitapita yangu nchini, shule zinazofanya vizuri iwe private ama government walimu 100% ni watanzania. Hizo zingine zinaajiri walimu kwa kigezo cha kuongea lugha za kigeni lakini around 50% wanafundisha vitu vya ajabu na 50% wapo vizuri na kati yao 70% to 95% wapo shule zinazotumia mitaala ya nchi zingine. Ubovu wa shule za serikali hautatuliwi kwa kuagiza/kuajiri walimu kutoka nje ya nchi ila ..........!!!!!!
Na pia mleta Uzi huu ni kwamba tunatakiwa kuwajibika kwa umakini mkubwa kila mtumishi. Au RAIA wa Tz kwa nafasi yake na uzalendo.Wewe ni mzalendo kweli kweli walahi
Ao ni wananchi wa kawaida wanatafuta rizk, Wenzetu wametawanyika karibu Nchi nyingi kutafuta rizki ila sisi tumerizika na hapa nyumbani. Kinachotakiwa wawe na vibali vya kazi. Sisi uwalimu tunaukimbia, wao wanautumia kama fursa.Naikumbusha serikali ifwatilie shule za private zinazofundishwa na wakenya na waganda kuna mashushushu wengi sana wanatupeleleza kutokujua kwetu kingereza ni upenyo wa wenzetu kuingiza majasusi hatari kwa usalama wa taifa letu nimewatambua baadhi ninaoishi nao mtaani wana mienendo isiyo ya kawaida tiss kuweni makini
Kwa hiyo na wewe unaunga mkono kwamba hiyo 10% iliyobaki ambayo ni ya wageni ni majasusi?Uko sahihi kuna shule naifaham iko halmadhauri ya tarime vijijin maeneo ya Sirari inafanya vzur kweli na INA watz 90%
Kama umewagundua hao sio mashushushu/secret agents.Naikumbusha serikali ifwatilie shule za private zinazofundishwa na wakenya na waganda kuna mashushushu wengi sana wanatupeleleza kutokujua kwetu kingereza ni upenyo wa wenzetu kuingiza majasusi hatari kwa usalama wa taifa letu nimewatambua baadhi ninaoishi nao mtaani wana mienendo isiyo ya kawaida tiss kuweni makini
Kwanini hukuripoti wakati huo huo wa 2015? Kinachoonekana hapa ni wivu tu hamna lingine. Msitake kuingiza masuala ya siasa kwa majirani zetu. Sisi tunaishi mipakani tunategemeana hata watoto wetu wengi wanasoma upande wa pili hawabaguliwi. Wewe ukiona mwenzako kanunua kipande cha kanga nawe nunua cha kitenge sio unakuja humu kulialia.Oh hujanipa! Inaelekea ''unaelewa'' kwanza ndiyo unasoma baadae.Nimesema hivi: mwka 2015 kulikuwa na wakenya wengi wako Tanzania kwa shughuli za dini n.k halafu wakageuka wapiga debe wa Lowassa. i.e. kumfanyia kampeni wakati wao siyo raia na hawaruhusiwi!
ahsante kwa kutoa taarifa za msingi, nadhani wenye mamlaka na wahusika watafanyia kazi hili suala.Naikumbusha serikali ifwatilie shule za private zinazofundishwa na wakenya na waganda kuna mashushushu wengi sana wanatupeleleza kutokujua kwetu kingereza ni upenyo wa wenzetu kuingiza majasusi hatari kwa usalama wa taifa letu nimewatambua baadhi ninaoishi nao mtaani wana mienendo isiyo ya kawaida tiss kuweni makini
Swala lako nitalifikisha ofisini kwetu leo na tutalishughulikia lkn tutahitaj zaid ushirikiano wako uli kuwabain mienendo yao na kuitathmin hatar yake kwa taifa letu kabla ya kuwachukulia hatuaNaikumbusha serikali ifwatilie shule za private zinazofundishwa na wakenya na waganda kuna mashushushu wengi sana wanatupeleleza kutokujua kwetu kingereza ni upenyo wa wenzetu kuingiza majasusi hatari kwa usalama wa taifa letu nimewatambua baadhi ninaoishi nao mtaani wana mienendo isiyo ya kawaida tiss kuweni makini
Mkuu odhiambo safari ndio ishawadia hiyo,kua mpoleHofu yako ni kuachwa nyuma .
Je waTz walioenda kufundisha kiswahili pote ulimwenguni nao watiwe msukosuko ?!.
Tukubali shule zetu za serikali zima mapungufu kwa kiwango Kikubwa kulinganisha na shule za binafsi.
Mkuu hawa madada poa wa Kinyarwanda wanapatikana wapi nikafanye upembuzi yakinifu. Haaaha haaUmewasahau wanyarwanda, wanaingia wengi sana wanajidai wauza vyombo vya ndani na wengine wanajidai madada poa, tena hawa wanalala sana na viongozi wetu..