Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona jamaa kala kombati na KOBAZI... ha ha ha
Picha za kutengeneza,mnakamata panya road mnadai Alshabab ili kujifarijiWadhani hii ni operation ya kwanza?
Huyo hapo alishikwa huko Lamu miezi kadhaa iliyopita,mkubwa wao. Kundi lake pia kilipata kipigo.
This time round kikosi cha AP kiko ready.
wazee wa nduki [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] si unakimbiaga ukizidiwa humu [emoji23][emoji23][emoji23]
The fight against terror is an ideological war..Picha za kutengeneza,mnakamata panya road mnadai Alshabab ili kujifariji
Kama magaidi wameweza kuvuka mpaka na kuingia msituni,basi Kuna tatizo sehemu,mkifumuliwa msianze kutafuta huruma
KDF ndio waliiba biskut supermarket? Na hao wataiba sukari tuNtakuwa papa hapa kuwajuza kuhusu ndugu zenu.
Alshabaab watatu walipiga jeshi na raia kwa siku mbili mtawaliaKwenu kumechinjwa wangapi😂🐒
By the way you might think we have only 2 categories of special forces but they may be over 5
napenda Sana kujiona eamarekani
Hii nayo tuna iitaje,Mnapenda Sana photoshop
Hahaha. Hawataweza kupigana with those heavy objects on their backs. Naona kila mmoja amebeba bendera hapo nyuma. Bendera ni kazi gani sasa? HahaHii nayo tuna iitaje,View attachment 1682963