GeoMex
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 5,431
- 19,913
Eeeh kama ndo cha muhimu hicho. Manaake kipi nafuu sasa uuze hivyo au yawe yameflood maghalani hadi bei inafika elfu20 guniaCha muhimu tule shea ya pesa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeeh kama ndo cha muhimu hicho. Manaake kipi nafuu sasa uuze hivyo au yawe yameflood maghalani hadi bei inafika elfu20 guniaCha muhimu tule shea ya pesa
Hasara ya pesa na hasara ya roho za watu kipi ni hasara zaidi?, Serikali ya Kenya ilipozuia mahindi toka Uganda na Tanzania na kuacha raia wake wakiendelea kufa kwa njaa ndio unadhani wanabusara zaidi yetu?, Punguza uzezeta.Sasa wewe huoni wakulima wakishindwa kuuza maindi yao kwa muda muafaka na bei nzuri ni hasara hiyo?
Acha kutufanya wabongo tuonekane mambumbumbu..Hizi chochochoko alizozileta mwendazake zilififisha juhudi wa wakulima kujitengenezea kipato..na sio mahindi tu,na kwenye korosho,ufuta n.k.
Siku walizuia uliona nani akifa njaa Kenya wewe fala? tuliwaonyesha hatuwahitaji kama mnavyo dhania ni nyinyi mnatuhitaji zaidi, fukara wenyu waliumia sana, wewe ndio zezeta la mwaka, mwenzako ako sahihi, peleka shabiki zako za kijinga kule vijiweni unako komaa ukidanganya wapumbavu wenzako.,Hasara ya pesa na hasara ya roho za watu kipi ni hasara zaidi?, Serikali ya Kenya ilipozuia mahindi toka Uganda na Tanzania na kuacha raia wake wakiendelea kufa kwa njaa ndio unadhani wanabusara zaidi yetu?, Punguza uzezeta.
Hamuna uwezo wa kupea mtu msaada, ufukara wenyu unawafanya muishi maisha ya hand to mouth, hauna chochote cha ziada, yaani zero savings, lazima muuze mazao ili mnunue ata chupi na chumvi.., mko ovyo, wacha kupiga kifua na wewe binafsi unajua pia hauna uwezo., "...from the abundance of the heart the mouth speaks!..,"., reasoning yako inakuumbua tu.,Tony254 Hatutaki mfe njaa wakati chakula kipo kingi tu.
Lazima nifumanie propaganda na porojo za hawa mifukara kote kote.., wamedanganywa na kudanganyika kama Tanganyika., blind patriotism na inferiority complex ndio maradhi ya wengine wao, kuna wenye wanajielewa even waki reason unaona sense., wengi ni ushabiki wa kitoto tu.,Kweli wewe ndio kiboko cha hawa watu..unawapanga kuwapanga venye inatakikakana..
Mbona hii wivu yote,unajua kwamba Kenya ingeweza kununua Mahindi abroad,Ambayo Ni cheaper kuliko yenu!!!!,Lakini Mbona tuwache yenu ambayo iko karibuHivi ni nchi gani iliyozuia mahindi ya Tanzania na Uganda kuingia Kenya bila sababu za msingi?, ninyi wakenya ni watu wenye kupenda chokochoko na majirani zenu wote, "soon honeymoon" will be over mtaanza kukorofishana na mama Samia Suluhu.
Kuhusu hii biashara ya mahindi, mwenye kufaidika zaidi ni ninyi wakenya kwasababu wakenya wengi walikua wanakufa kwa njaa, hakuna mkulima yeyote wa Tanzania aliyekufa kwa sababu ya kutouza mahindi Kenya.
Hamna haja ya kupeleka hela zetu Brazil, sijui Mexico, wakati tunaye jirani yetu ambaye akaunti yake kwenye benki inasoma sufuri. 😉
Hamna haja ya kupeleka hela zetu Brazil, sijui Mexico, wakati tunaye jirani yetu ambaye akaunti yake kwenye benki inasoma sufuri. 😉
wacha mwanze Chokochoko Tena,tutapiga ban Mahindi na tununuwe Mexico na Brazil,huko wanauza Kama kutupa🤪Angalau Sasa idadi ya wakenya wanaokufa kwa njaa itapungua, sisi ndio tunaoshikilia uhai wa raia wa Kenya, bila chakula toka Tanzania maisha Kenya ni "almost impossible".
Who feeds you, controls you[emoji38][emoji38]
Mwendazake alitaka tuwauzie unga badala ya mahindi. Alikuwa na akili kubwa.
Vv
As long as we are Tanzanians , we won't get along with kunyaz.Nilishasema, asili ya uzanzibari ya huyu mama utafanya tuendane vizuri sana kibiashara na mahusiano, chokochoko zitapungua maana hamna chembe chembe za chuki, majungu wala wivu.
Kwa sasa rais wetu ahakikishe hamna mahindi yanaagizwa kutoka sijui wapi huko Brazil, tununue matani yote kutoka kwa hawa licha ya maugomvi yao.
Hujui mahindi yalikuwa yanunuliwa wapi na nchi ya Kenya muda wote huo wa chokochoko za mwendazake? Yalikuwa yanafika bandarini Mombasa kwa wingi kutoka Brazil, Mexico na S.A. Tena kwa bei nafuu bila gharama zozote za ziada. Ndio kiburi cha aliye na hela mfukoni.Angeweka lockdown huyo unamlaumu hayo mahindi mngeyatoa wapi leo?
sio eti TZ pekee Ndio inauza Mahindi🙈Pia huko majuu wanauza Mahindi Kama kutupa,they feed them to Cows and Horses🤑🤣🤣🤣As long as we are Tanzanians , we won't get along with kunyaz.
Take that grains or u gonna starve to death.
As long as we are Tanzanians , we won't get along with kunyaz.
Take that grains or u gonna starve to death.
Rutto vs Raila, makabila matatu tu ndio yenye nafasi na haki ya kutawala nchi yenu, huko kuteleza unakosema wewe ni nini?, Ni Tanzania pekee ndio kwenye uchaguzi, huko kwenu ni ukabila tuKuna tofauti kati ya kutaka na kutimiza, huyo mwenda zake alikurupuka sana kwenye kila kitu, hakua anatulia na kutafakari, kawawachia miradi mikubwa ambayo kutekelezeka lazima mchunwe sana kwenye tozo za kila aina, mtakaa mlie sana nyie. Aliishia kuibua machokochoko kote, kwa hicho kipindi amekua kiongozi wenu nimejifunza mengi sana, kwamba mkiteleza mnaweza kumpokeza uongozi mtu ambaye atarudisha nchi nyuma sana, naomba sana Kenya tusije kuteleza kwenye uchaguzi ujao, jameni ndugu zangu Wakenya tuwe makini sana kwenye hili.
Povu kamwagika!., ukweli umeingia hadi kwa mishipa., hapo sawa. upuzi peleka mbali.Ninahisi fala ni mama yako mzazi, ama namna gani?
Ukweli kwamba mama yako ndio fala?Povu kamwagika!., ukweli umeingia hadi kwa mishipa., hapo sawa. upuzi peleka mbali.
The buyer is always your boss[emoji1787][emoji1787]Angalau Sasa idadi ya wakenya wanaokufa kwa njaa itapungua, sisi ndio tunaoshikilia uhai wa raia wa Kenya, bila chakula toka Tanzania maisha Kenya ni "almost impossible".
Who feeds you, controls you[emoji38][emoji38]