MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
The buyer is always your boss[emoji1787][emoji1787]
Ukiwa na pesa zinakupa jeuri....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
The buyer is always your boss[emoji1787][emoji1787]
March 2021Hivi ni nchi gani iliyozuia mahindi ya Tanzania na Uganda kuingia Kenya bila sababu za msingi?, ninyi wakenya ni watu wenye kupenda chokochoko na majirani zenu wote, "soon honeymoon" will be over mtaanza kukorofishana na mama Samia Suluhu.
Kuhusu hii biashara ya mahindi, mwenye kufaidika zaidi ni ninyi wakenya kwasababu wakenya wengi walikua wanakufa kwa njaa, hakuna mkulima yeyote wa Tanzania aliyekufa kwa sababu ya kutouza mahindi Kenya.
Jamaa halijielewi hilo, mambo ya wakulima awachie wakulimaUkiwa na pesa zinakupa jeuri....
Jamaa halijielewi hilo, mambo ya wakulima awachie wakulima
Sio nyinyi pekee mnaopanda mahindi duniani.Angalau Sasa idadi ya wakenya wanaokufa kwa njaa itapungua, sisi ndio tunaoshikilia uhai wa raia wa Kenya, bila chakula toka Tanzania maisha Kenya ni "almost impossible".
Who feeds you, controls you[emoji38][emoji38]
Mwenye pesa hafi kwa njaa Wala hapewi food donations, only in failed states this can occurUkiwa na pesa zinakupa jeuri....
Empty stomach can't fight [emoji38][emoji38][emoji38]March 2021
Hatutanunua mahindi kutoka Tanzania kwa sababu yana sumu kuvu hivyo tutaaagiza Mexico ili kulinda afya za wananchi wetu.
August 2021
Tutaaagiza mahindi ya Tanzania mara sita zaidi ya tulivyokuwa tunaagiza mwanzo.
Ila chakula bwana [emoji23][emoji23][emoji23]
Nimesema idadi ya wanaokufa kwa njaa itapungua huko kwenu, hatuwezi kumaliza kabisa tatizo la njaa Kenya, lakini angalau litapungua. Njaa, rushwa, ukabila na slums ni identity yenu, sio rahisi kuvitokomezaSio nyinyi pekee mnaopanda mahindi duniani.
Hamuna uwezo wa kupea mtu msaada, ufukara wenyu unawafanya muishi maisha ya hand to mouth, hauna chochote cha ziada, yaani zero savings, lazima muuze mazao ili mnunue ata chupi na chumvi.., mko ovyo, wacha kupiga kifua na wewe binafsi unajua pia hauna uwezo., "...from the abundance of the heart the mouth speaks!..,"., reasoning yako inakuumbua tu.,
Ndio hapo sasa, eti yeye anapinga km wakulima hapo wame boost-ka..Ndio tatizo la wengi wao, yaani inawauma sana kusikia wakulima wanatoka kwenye umaskini, ujamaa hufanya watu waoneane wivu kwamba kila mtu abaki chini muogelee wote kwenye matope.
Kwhyo mumetupa bure sio[emoji1787][emoji1787]Mwenye pesa hafi kwa njaa Wala hapewi food donations, only in failed states this can occur
Ile siku vyakula madukani kenya vitaisha au kukosa wateja kisa hela unitag[emoji1787][emoji1787]Nimesema idadi ya wanaokufa kwa njaa itapungua huko kwenu, hatuwezi kumaliza kabisa tatizo la njaa Kenya, lakini angalau litapungua. Njaa, rushwa, ukabila na slums ni identity yenu, sio rahisi kuvitokomeza
Hyo hapo ana ngombe mia moja, zikimrudi ataacha kununua bunduki na kujipanga na stock wakati wa kiangazi kuliko kutegemea matunda ya mwituni..Kama umeshiba kama mimi hasira za nini!!?
Anyways, we all know that, the hungry man is the angry.
View attachment 1883928
Tanzania imetoa nini kw hzo donations[emoji1787][emoji1787]Mwenye pesa hafi kwa njaa Wala hapewi food donations, only in failed states this can occur
Mwenye dhiki hanunui hulima[emoji1787][emoji1787]Yani wanakukuruka lkn wapii wanakuja wenyewe, jamaa wanadhiki mnoo, tunawasumbua kweli kweli wakileta jeuri tunaminya kidogoo, haoo wanapiga magoti, who feeds you controls you [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hyo hapo ana ngombe mia moja, zikimrudi ataacha kununua bunduki na kujipanga na stock wakati wa kiangazi kuliko kutegemea matunda ya mwituni..
Alafu waturukana ki networth 90% wamekupiga gepu la kimataifa, bado utabisha[emoji1787][emoji1787]