Asilimia kubwa barabara ni za vumbi miji mingi imechoka sanaKabla ya kujua Kwa kuambiwa muwe mnaangakia takwimu za GDP ndio zinatoa picha halisi ya Nchi.
Hata hivyo Ghana imeendelea zaidi kimiundombinu kushinda Tanzania.
Yaani Barabara nzuri zile za Miji Yao mikubwa kama Accra,Kumasi nk ni zimechoka? Interchanges Kali na nzuri Bongo hakuna.Asilimia kubwa barabara ni za vumbi miji mingi imechoka sana
Unalinganisha shirika ambalo lina miaka zaidi ya 20 ambalo linashare na guant kama klm na shirika linalofuliliwa,linganisha basi kilimo cha cha chakula kati yetu na hao jamaa zakoNakuambia hivi hamna sekita tunao zidi Kenya acha mambo ya miradi tu, nakupa mfano fanya simple comparison btn kenya airways na air Tanzania tu uone.
I beg to differ...mimi siamini katika kujilinganisha ili kushindana but rather katika kuhakikisha malengo yangu niliyoweka nayatimiza na hii ni kwa sababu malengo huwa hayafanani labda kama mtu anafuata mkumbo. Mfano mimi malengo yangu makuu mwanzoni mwa maisha yangu ilikua kuwa na biashara itakayoniwezesha kupata steady income. Kwa kuwa sikuwa na kipato cha kuanza nikasema hata nikiajiriwa lazima nisevu ili kutimiza lengo langu. So wakati marafiki zangu wakianza na malengo ya kununua magari, kujenga nyumba mimi nili focus kwenye lengo langu mpaka likatimia. Hata ilipofika kununua gari bado sikuona kuiga wenzangu kununua magari ya fashion kama Harrier nk but kununua gari multipurpose kwa lengo la kuweza kulitumia kwenye biashara na shughuli zangu zingine...Kujilinganisha ni lazima na muhimu Ili kuona kama unafanya progress au hapama.
Maisha ni mashindano bila hivyo huwezi pata sense ya kupambana utaridhika au fursa zako kuchukuliwa na jirani.
Mkuu air Tanzania ni kongwe kuliko Kenya airways ya miaka ya 2000s, wenyewe wanaufanisi mkubwa sisi uswahili ni mwingi sanaa.Unalinganisha shirika ambalo lina miaka zaidi ya 20 ambalo linashare na guant kama klm na shirika linalofuliliwa,linganisha basi kilimo cha cha chakula kati yetu na hao jamaa zako
Swala la kujilinganisha hususani Kwa Nchi au taasisi shindani haikwepeki bila kujalisha malengo Yako sawa au hapana.I beg to differ...mimi siamini katika kujilinganisha ili kushindana but rather katika kuhakikisha malengo yangu niliyoweka nayatimiza na hii ni kwa sababu malengo huwa hayafanani labda kama mtu anafuata mkumbo. Mfano mimi malengo yangu makuu mwanzoni mwa maisha yangu ilikua kuwa na biashara itakayoniwezesha kupata steady income. Kwa kuwa sikuwa na kipato cha kuanza nikasema hata nikiajiriwa lazima nisevu ili kutimiza lengo langu. So wakati marafiki zangu wakianza na malengo ya kununua magari, kujenga nyumba mimi nili focus kwenye lengo langu mpaka likatimia. Hata ilipofika kununua gari bado sikuona kuiga wenzangu kununua magari ya fashion kama Harrier nk but kununua gari multipurpose kwa lengo la kuweza kulitumia kwenye biashara na shughuli zangu zingine...
sasa hilo ni tatizo lako kutafuta vitu ambavyo tuna struggle na kuringanisha na kenya!!Mkuu air Tanzania ni kongwe kuliko Kenya airways ya miaka ya 2000s, wenyewe wanaufanisi mkubwa sisi uswahili ni mwingi sanaa.
Tuna export nini? Kama tuna import vijiti vya kuchokoa meno na viberiti wakati tunaexport chakula zaidi na mali ghafi ambavyo thamani yake ni ndogo sana naona haina maana yotote. Kama tungekuwa tuna export zaidi kuliko Kenya basi thamani ya pesa yetu ingekuwa inaimarika lakini badala yake tunaona pesa yetu inapromoka zaidi hata dhidi ya shilingi ya Kenya.The Giant of Africa Kenya has no any significant Export among the top ten. On other side the sleeping Giant is waking up to her long sleepy era and she is taking up her place as the East Africa biggest Economy.
Tanzania is exporting more than 3 Billion usd ahead of any nation in East Africa.
CC: Kenya
Kenyan KENY THOMAS Kenyan B0Y
CC:Tanzania
NB: Tz tujitaidi nchi kama Ghana au Co Dβivoire haitakiwi zitupite kabisa
Mkuu ww umekariri halafu hata kenya kwenyrwe hujawahi kufikaMkuu air Tanzania ni kongwe kuliko Kenya airways ya miaka ya 2000s, wenyewe wanaufanisi mkubwa sisi uswahili ni mwingi sanaa.
Hiyo ndo point yako au anaeleza zaidi leta data acha maneno.Mkuu ww umekariri halafu hata kenya kwenyrwe hujawahi kufika
Uko sahihi ni vema haya mafanikio ya reflect upatikanaji wa maji elimu afya na kukua kwa biashara na sekta binafsi kwa ujumlaWell said...ni mentality ya hovyo kufanya maendeleo kwa kujilinganisha na jirani yako badala ya kupambana ili u meet your own realistic economic targets.Huwezi kwa mfano kusema in 5 years to come nataka niwe na nyumba kama jirani but rather nataka niwe na biashara fulani , shamba na niwe na kiwanja eneo fulani.
Mbona ndivyo ilivyo? Umeme Kila Kijiji tayari,Kila kitongoji kazi imeanza.Uko sahihi ni vema haya mafanikio ya reflect upatikanaji wa maji elimu afya na kukua kwa biashara na sekta binafsi kwa ujumla
Sawa mkuu basi tuko vizuriMbona ndivyo ilivyo? Umeme Kila Kijiji tayari,Kila kitongoji kazi imeanza.
Maji Kila Kijiji kazi inaendelea by 2026 Kila Kijiji Kitakuwa na maji ya bomba
Afya na Elimu ndio usiseme
Thamani ya TZS kwa KES imepanda sana katika miaka mitano iliyopita. Ilifuka hadi Shilingi 16 za Tanzania kutoka Shilingi 23 za Tanzania.Tuna export nini? Kama tuna import vijiti vya kuchokoa meno na viberiti wakati tunaexport chakula zaidi na mali ghafi ambavyo thamani yake ni ndogo sana naona haina maana yotote. Kama tungekuwa tuna export zaidi kuliko Kenya basi thamani ya pesa yetu ingekuwa inaimarika lakini badala yake tunaona pesa yetu inapromoka zaidi hata dhidi ya shilingi ya Kenya.
Vv
Huu ni uongo, gharama za ujenzi wa Sgr from dar to dodoma aio trillion 11Hakuna siku Changamoto zitaisha labda zitapungua.
Hamuwezi kushinda Kwa mipango ya kutumia Trilioni 11 kujenga Sgr ya kutoka Dom-Dar ,huku ni kupoteza pesa bila sababu za msingi.
Hizi media unazoweka link ni media za hovyo, hao shamba media wameweka sudan namba moja kwa uzalishaji tumbaku. Sasa Sudan na tumbaku wapi na wapiMimi nimekujibu mbona unakimbilia Kwa wasiojua ππππ
Kwa taarifa Yako tuu Tanzania ndio namba 2 ya ku export Tumbaku nyumba ya Zimbabwe.
Namba 5 wa gold Africa na orodha nyingine ndeeeefu naweza kukuwekea.
View: https://x.com/shambamedia/status/1820751478828535882?t=QNsObEdcCIGECP7aRjADkA&s=19
Umeme kila Kijiji bado hatujafika. Ila tutafika kazi inaendelea na inaridhishaMbona ndivyo ilivyo? Umeme Kila Kijiji tayari,Kila kitongoji kazi imeanza.
Maji Kila Kijiji kazi inaendelea by 2026 Kila Kijiji Kitakuwa na maji ya bomba
Afya na Elimu ndio usiseme