Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Miezi kadhaa iliyopita Rais Samia alisikika akisema Tanzania ipo vizuri kwenye hifadhi ya fedha za kigeni, huku akisema kuna nchi jirani ina hali mbaya ambayo inahitaji msaada
Kenya walielewa kuwa anailenga nchi yao yenye tatizo la fedha za kigeni pia)
Sasa baada ya Tz kutangaza kuwa na uhaba wa dola, Kenya nao wanaikejeli
en
Kenya walielewa kuwa anailenga nchi yao yenye tatizo la fedha za kigeni pia)
Sasa baada ya Tz kutangaza kuwa na uhaba wa dola, Kenya nao wanaikejeli