Jana ilikuwa patashika ktk mitandao yaondioo maana hazina mvuto kabisaaaa
Wewe usituwekee njia
Mada ni hiyo Mitungi ya Chang'aa kuwa treni za kisasa!!!
WACHINA MUNGU ANAWAONA!!!
jambo la kushangaza ni kuwa East Africa nzima ni hawa hawa bongolala wanao chuki, wivu na roho mbaya kwa wakenya...huwezi ukapata mganda ama mrwanda akiwa na tabia hizi za udanganyikaHahahaha... Wadanganyika Mungu aliwabariki na vitu vingi sana lakini kuna nyingine aliwapa double double, WIVU NA KINYONGO... Shikamoo Danganyika
jambo la kushangaza ni kuwa East Africa nzima ni hawa hawa bongolala wanao chuki, wivu na roho mbaya kwa wakenya...huwezi ukapata mganda ama mrwanda akiwa na tabia hizi za udanganyika
Marahaba chizi kutoka KenyaHahahaha... Wadanganyika Mungu aliwabariki na vitu vingi sana lakini kuna nyingine aliwapa double double, WIVU NA KINYONGO... Shikamoo Danganyika
😀😀😀😀😀😀 mitungi ya chang'aa heh ila kwa mtu makini lazima ashtuke tuu kwamba hapa sio kabsaa. Hayo yalishapaki huko china, wamepaka rangi kisha wanatuletea hukuu. labda hiyo reli ndo inaafadhali japo hapa hatuzungumzii reli. Ila hayo makitu me nilivoyaona tuu nafsi yangu imekataa bora hata wangeyeyusha vyuma tuu hakuna usasa hapo.Jana ilikuwa patashika ktk mitandao yao
Wazee wakutafuta sifa jana ilikuwa full kejeli wao kwa wao!!
Wengi waliziponda na kusema kuna mpunga umepigwa hapo
Maana ghalama ni kubwa kuliko Hiyo mitungi eti Treni yakisasa,!!
Serikali yao inajitetea kwakusema watu wanaleta siasa
Siasa nani hana macho kuona kitreni cha 1970 kimepakwa Rangi!!!
Hahaha Treni imekaa kama Mtungi wa Chang'aa!!
Kazi kwelikweli
.... Shikamoo tena Albino devourer kutoka Kwa swissmeMarahaba chizi kutoka Kenya
we enda ukalale una usingizi akilini.... kama hautaki jadili ya watu basi pita kimia kimiaNa mie nikuulize, hayo mataifa kushindwa kununua tren za kisasa kama ulivyoonyesha dhidi yetu vina uhusiano gani na sisi??? jiran kaamua kununua yakwake hiyo, inatuhusu /uhusiano gani na sisi?
Nilicho maanisha kwenye post ya mwanzo, ukiona wenzio wanavaa pensi sio lazima na wewe uvae pensi, na wewe kutokuvaa pensi haimaniish kwamba hutovaa pensi kabisa, kupanga ni kuchagua, [HASHTAG]#UsifosTufanane[/HASHTAG], yakwao yakwao, yakwetu, yakwetu, kila nchi na maisha yake
Hawajanunua ndege in cash, haimaanish kwamba hawawez kufanya hvyo,
NB: Umekimbilia kwenye UCCM na UCHADEMA, sipo kwenye hizo ligi, nilikua naongelea Tz, nakama wewe sio mtanzania, nakukaribisha Tz "nimeona umeandika Mkakope tena"
Unasababu ipi hasa ya kujadili ya watu labda? hata hivyo hii hakuna sehem yeyote iliyo fanywa kama "mada"we enda ukalale una usingizi akilini.... kama hautaki jadili ya watu basi pita kimia kimia
Hio kwa ki mombo inaitwa common sence.... Unajua hizo reli zote za ghana,Naigeria,Ethiopia zimejengwa na loan za kichina.... Tanzania imeshatayarishiwa loan na benki ileile iliowapatia hizo nchi zengine Tanzania gets $7.6 bln loan from China's Exim Bank for railway | ReutersUnasababu ipi hasa ya kujadili ya watu labda? hata hivyo hii hakuna sehem yeyote iliyo fanywa kama "mada"
Nachopingana na wewe, ni pale unapotaka kuaminisha watu kwamba kwasababu Angola, Ethiopia, Nigeria sijui na Kenya wamenunua Fiat zao basi wote tununue Fiat, na sio kwamba tununue FIAT tu, kwa maelezo yako n kwamba hatuna uwezo/uamuzi wa kununua kitu bora zaid ya walichofanya wenzetu, napokuambia yakwao n yakwao simaanishi hilo ulilo elewa wewe, namaanisha, walicho kifanya wao kwasasa, kwao wao wameona kinawafaa, usije ukatuhusisha na sisi kwa namna yeyote na wao, kwao wao hilo ndio wameona bora, wapongezwe kwa hilo, ila sio kuja kusema eti kwasababu wao wamenunua hivyo basi ni ujinga sisi kuwaza kununua tofaut na wao, upuuz mtupu
Hakuna popote nilipo sema nahitaji/tegemea tununue train za aina fulan... Soma maelezo yangu yako very clear na yanajieleza hata mtoto mdogo ataelewa ni wapi napingana na weweHio kwa ki mombo inaitwa common sence.... Unajua hizo reli zote za ghana,Naigeria,Ethiopia zimejengwa na loan za kichina.... Tanzania imeshatayarishiwa loan na benki ileile iliowapatia hizo nchi zengine Tanzania gets $7.6 bln loan from China's Exim Bank for railway | Reuters
Kumbuka hapo, ukitaka treni nzuri zaidi inamaanisha loni kubwa zaidi.....Kulingana na hizo pesa mlizopewa na kilometer zitakazojengwa , ni pesa kidogo sana zitabaki za kununua hizo treni....... kwahivyo kilalaheri ukingojea bullet train
Marahaba govi man.... Shikamoo tena Albino devourer kutoka Kwa swissme
Yani bombardier tayari imeanguka... Great lossHahahaha. Mikebe yetu nafuu kuliko bajaji walai
View attachment 458958
Ww ni chizi labda, baba, yako na mama yako wameshindwa, kukulisahaHalafu nyie mi wana ccm msipende kubeba mawazo yetu wa tz wote,
Jamani Wakenya huku kwetu sehemu kibao zina njaa kali ila rais amewakataza wakuu wa mikoa na wilaya kutangaza kuwa wana njaa, pia kasema serikali haitatoa msaada wa chakula kwa yeyote, maana serikali sio iliyoleta njaa na anasema ni propaganda za wanasiasa na matajiri wamenunua vyombo vya habari ili kumkosoa...
Ila ukweli Tz kuna ukame na sehem kibao wana njaa kali ila viongozi wanamuogopa Rais ambaye mkali kama pilipili..
No freedom of speech hapa Tz , wasijisifu chochote ccm , hata mabehewa waliyonunua badala ya mapya waliuziwa ya zamani tena mabovu na aliyehusika saivi ni waziri wa sheria , hajagilushwa!
tulienda shopping kule uchina tukitafuta diesel enging ya power rating ya 2000... wakatuzungusha kampuni zote za kutengeneza hayo madude...... bei na ufundi ulioturidhisha kulingana na bajeti ilikua ni hizo unazoziona hapo za kubeba mizigo..... walikubali tute ma engeneer wetu wakahakikishe zinazotengenezwa ni mpya wala si 'second hand' ... alafu kumbuka tunataka vichwa zaidi ya hamsini, tano za abiria na 54 za mizigo.... kisha badae tukiweka stima tutataka zengine.......Nyang'au mmekutana na nyang'au mwingine.Yani mmepigwa mchana mchana,mavichwa gani sasa hayo ya tren ata kifaru kinasura nzuri kuliko hayo maboksi yaliyopigwa rangi.