Kenya wazindua treni za kisasa

Kenya wazindua treni za kisasa

ndioo maana hazina mvuto kabisaaaa
Jana ilikuwa patashika ktk mitandao yao
Wazee wakutafuta sifa jana ilikuwa full kejeli wao kwa wao!!
Wengi waliziponda na kusema kuna mpunga umepigwa hapo
Maana ghalama ni kubwa kuliko Hiyo mitungi eti Treni yakisasa,!!

Serikali yao inajitetea kwakusema watu wanaleta siasa
Siasa nani hana macho kuona kitreni cha 1970 kimepakwa Rangi!!!
 
b2ca3454b4aa973b31bcc2e307ecefa5.jpg
781e9fb67f006ce99443c35ea7df926e.jpg
7e5db2467cb37fbb6965697413981005.jpg
2ad6ed44f45cecdb165cf54e45d4dd1a.jpg
e201e410ef0735fe439a59c7997e1bb4.jpg
1c9f9b1ad94f2172a2e8e07d20904e85.jpg
464e6bb261f5078fdc94d3d944914cb3.jpg
9c2f8663386199847402ef2739c17e1f.jpg
50c65ba0ae625df1c75419f583312e9d.jpg

Wewe usituwekee njia
Mada ni hiyo Mitungi ya Chang'aa kuwa treni za kisasa!!!

WACHINA MUNGU ANAWAONA!!!
 
Hahahaha... Wadanganyika Mungu aliwabariki na vitu vingi sana lakini kuna nyingine aliwapa double double, WIVU NA KINYONGO... Shikamoo Danganyika
jambo la kushangaza ni kuwa East Africa nzima ni hawa hawa bongolala wanao chuki, wivu na roho mbaya kwa wakenya...huwezi ukapata mganda ama mrwanda akiwa na tabia hizi za udanganyika
 
Hahahaha... Wadanganyika Mungu aliwabariki na vitu vingi sana lakini kuna nyingine aliwapa double double, WIVU NA KINYONGO... Shikamoo Danganyika
Marahaba chizi kutoka Kenya
 
Jana ilikuwa patashika ktk mitandao yao
Wazee wakutafuta sifa jana ilikuwa full kejeli wao kwa wao!!
Wengi waliziponda na kusema kuna mpunga umepigwa hapo
Maana ghalama ni kubwa kuliko Hiyo mitungi eti Treni yakisasa,!!

Serikali yao inajitetea kwakusema watu wanaleta siasa
Siasa nani hana macho kuona kitreni cha 1970 kimepakwa Rangi!!!
😀😀😀😀😀😀 mitungi ya chang'aa heh ila kwa mtu makini lazima ashtuke tuu kwamba hapa sio kabsaa. Hayo yalishapaki huko china, wamepaka rangi kisha wanatuletea hukuu. labda hiyo reli ndo inaafadhali japo hapa hatuzungumzii reli. Ila hayo makitu me nilivoyaona tuu nafsi yangu imekataa bora hata wangeyeyusha vyuma tuu hakuna usasa hapo.
 
Na mie nikuulize, hayo mataifa kushindwa kununua tren za kisasa kama ulivyoonyesha dhidi yetu vina uhusiano gani na sisi??? jiran kaamua kununua yakwake hiyo, inatuhusu /uhusiano gani na sisi?


Nilicho maanisha kwenye post ya mwanzo, ukiona wenzio wanavaa pensi sio lazima na wewe uvae pensi, na wewe kutokuvaa pensi haimaniish kwamba hutovaa pensi kabisa, kupanga ni kuchagua, [HASHTAG]#UsifosTufanane[/HASHTAG], yakwao yakwao, yakwetu, yakwetu, kila nchi na maisha yake


Hawajanunua ndege in cash, haimaanish kwamba hawawez kufanya hvyo,


NB: Umekimbilia kwenye UCCM na UCHADEMA, sipo kwenye hizo ligi, nilikua naongelea Tz, nakama wewe sio mtanzania, nakukaribisha Tz "nimeona umeandika Mkakope tena"
we enda ukalale una usingizi akilini.... kama hautaki jadili ya watu basi pita kimia kimia
 
we enda ukalale una usingizi akilini.... kama hautaki jadili ya watu basi pita kimia kimia
Unasababu ipi hasa ya kujadili ya watu labda? hata hivyo hii hakuna sehem yeyote iliyo fanywa kama "mada"


Nachopingana na wewe, ni pale unapotaka kuaminisha watu kwamba kwasababu Angola, Ethiopia, Nigeria sijui na Kenya wamenunua Fiat zao basi wote tununue Fiat, na sio kwamba tununue FIAT tu, kwa maelezo yako n kwamba hatuna uwezo/uamuzi wa kununua kitu bora zaid ya walichofanya wenzetu, napokuambia yakwao n yakwao simaanishi hilo ulilo elewa wewe, namaanisha, walicho kifanya wao kwasasa, kwao wao wameona kinawafaa, usije ukatuhusisha na sisi kwa namna yeyote na wao, kwao wao hilo ndio wameona bora, wapongezwe kwa hilo, ila sio kuja kusema eti kwasababu wao wamenunua hivyo basi ni ujinga sisi kuwaza kununua tofaut na wao, upuuz mtupu
 
Unasababu ipi hasa ya kujadili ya watu labda? hata hivyo hii hakuna sehem yeyote iliyo fanywa kama "mada"


Nachopingana na wewe, ni pale unapotaka kuaminisha watu kwamba kwasababu Angola, Ethiopia, Nigeria sijui na Kenya wamenunua Fiat zao basi wote tununue Fiat, na sio kwamba tununue FIAT tu, kwa maelezo yako n kwamba hatuna uwezo/uamuzi wa kununua kitu bora zaid ya walichofanya wenzetu, napokuambia yakwao n yakwao simaanishi hilo ulilo elewa wewe, namaanisha, walicho kifanya wao kwasasa, kwao wao wameona kinawafaa, usije ukatuhusisha na sisi kwa namna yeyote na wao, kwao wao hilo ndio wameona bora, wapongezwe kwa hilo, ila sio kuja kusema eti kwasababu wao wamenunua hivyo basi ni ujinga sisi kuwaza kununua tofaut na wao, upuuz mtupu
Hio kwa ki mombo inaitwa common sence.... Unajua hizo reli zote za ghana,Naigeria,Ethiopia zimejengwa na loan za kichina.... Tanzania imeshatayarishiwa loan na benki ileile iliowapatia hizo nchi zengine Tanzania gets $7.6 bln loan from China's Exim Bank for railway | Reuters
Kumbuka hapo, ukitaka treni nzuri zaidi inamaanisha loni kubwa zaidi.....Kulingana na hizo pesa mlizopewa na kilometer zitakazojengwa , ni pesa kidogo sana zitabaki za kununua hizo treni....... kwahivyo kilalaheri ukingojea bullet train
 
Aise poleni sana majirani zetu. Kwikwikwikwikwi badala ya kupiga hatua moja mbele mmepiga hatua 10 nyuma.
 
Hio kwa ki mombo inaitwa common sence.... Unajua hizo reli zote za ghana,Naigeria,Ethiopia zimejengwa na loan za kichina.... Tanzania imeshatayarishiwa loan na benki ileile iliowapatia hizo nchi zengine Tanzania gets $7.6 bln loan from China's Exim Bank for railway | Reuters
Kumbuka hapo, ukitaka treni nzuri zaidi inamaanisha loni kubwa zaidi.....Kulingana na hizo pesa mlizopewa na kilometer zitakazojengwa , ni pesa kidogo sana zitabaki za kununua hizo treni....... kwahivyo kilalaheri ukingojea bullet train
Hakuna popote nilipo sema nahitaji/tegemea tununue train za aina fulan... Soma maelezo yangu yako very clear na yanajieleza hata mtoto mdogo ataelewa ni wapi napingana na wewe
 
Nyang'au mmekutana na nyang'au mwingine.Yani mmepigwa mchana mchana,mavichwa gani sasa hayo ya tren ata kifaru kinasura nzuri kuliko hayo maboksi yaliyopigwa rangi.
 
Halafu nyie mi wana ccm msipende kubeba mawazo yetu wa tz wote,

Jamani Wakenya huku kwetu sehemu kibao zina njaa kali ila rais amewakataza wakuu wa mikoa na wilaya kutangaza kuwa wana njaa, pia kasema serikali haitatoa msaada wa chakula kwa yeyote, maana serikali sio iliyoleta njaa na anasema ni propaganda za wanasiasa na matajiri wamenunua vyombo vya habari ili kumkosoa...

Ila ukweli Tz kuna ukame na sehem kibao wana njaa kali ila viongozi wanamuogopa Rais ambaye mkali kama pilipili..

No freedom of speech hapa Tz , wasijisifu chochote ccm , hata mabehewa waliyonunua badala ya mapya waliuziwa ya zamani tena mabovu na aliyehusika saivi ni waziri wa sheria , hajagilushwa!
Ww ni chizi labda, baba, yako na mama yako wameshindwa, kukulisaha
Tanzani hatuna njaa mjinga.
Tanzania sio kenya
 
Nyang'au mmekutana na nyang'au mwingine.Yani mmepigwa mchana mchana,mavichwa gani sasa hayo ya tren ata kifaru kinasura nzuri kuliko hayo maboksi yaliyopigwa rangi.
tulienda shopping kule uchina tukitafuta diesel enging ya power rating ya 2000... wakatuzungusha kampuni zote za kutengeneza hayo madude...... bei na ufundi ulioturidhisha kulingana na bajeti ilikua ni hizo unazoziona hapo za kubeba mizigo..... walikubali tute ma engeneer wetu wakahakikishe zinazotengenezwa ni mpya wala si 'second hand' ... alafu kumbuka tunataka vichwa zaidi ya hamsini, tano za abiria na 54 za mizigo.... kisha badae tukiweka stima tutataka zengine.......





nyinyi ambao hamna hata reli mtulie kidogo, sije mkaja tukawacheka hapahapa

walipokua window shopping
0a785842d1965ae62a9e8464b55ef971_XL.jpg


mojawepo ya abiria inafanyiwa final touches uchina

t8QvpwJ.jpg
 
Back
Top Bottom