Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,432
- 25,124
Deni la Kenya ni 67% ya pato la taifa kwa mujibu wa IMF.
Alafu bado unaongelea ukubwa wa GDP kwa hali kama hiyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kama unazalisha sh. 100 alafu sh. 67 unaenda kulip deni unabaki na 33 hiyo ndio ulipe mishahara, ujengee miundombinu, ununue madawa, nkDeni ni deni na GDP ni GDP
Deni halijumlishwi kwenye GDP
GDP ni uzalishaji
Wametuzidi kwenye kuzalisha
Deni ni kitu kingine
Per capita deni letu ni aslimia ngapi ya GDP?
Tunatia huruma sana
Yaani ni debt to GDP ratio of 67%! Aisee umejumuisha deni la juzi la IMF la Rapid Credit facility la $739 mln? Nadhani bado itakuwa around 69%!Deni la Kenya ni 67% ya pato la taifa kwa mujibu wa IMF.
Alafu bado unaongelea ukubwa wa GDP kwa hali kama hiyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakenya mnawaonaga wa maana sana yani,kenya na tz hakuna tofauti kubwa kiivo.kikubwa tuheshimiane kama nchi,wakileta upumbavu tunawafanyia ufala
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu democrasia,mahakama wanazalisha?Kenya are good kwenye uzalishaji zaidi yetu!
Lets agree on that na namba zinahakikisha hili!
Kwa kila tunachofanya cha uzaishaji,Kenya wanafanya mara mbili yake!
Thats a fact!
Kenya imetupita mambo haya kwa ufupi:
1.Judicial System yao inafanya kazi hasa...sio ya kwetu mawe akimpigia simu Jaji mtu anafungwa regardless...Hiyo judicial system au mavi?
2.Democratic System yao ni vibrant...ya kwetu ni mavi,lawama zote ni kwa mawe on this!
3.Katiba Mpya ya Kenya ni next to South Africa and Ghana...Ya kwetu ni mavi,mawe wa kulaumu on this!
Sasa wewe acha kujifunza endelea kuongelea chooni na kutoa laana na chuki za kisenge senge tu!
I
Its only the matter of time! ni wachache wanaoweza kufa na tai shingoni! Soon or later pride will be thrown over board!
[/Q
As I predicted, pride has been thrown over board! No father can withstand the cry of a child for food! This is a good move(refering to the speech of Kenyan envoy to Tanzania) which should be not be despised for our common good! The truth is that we badly need each other!!
Na sisi tunaeza agiza popote duniani.....common sense is not so common to everyone
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu democrasia,mahakama wanazalisha?
Kenya wana vitu vichache tu wanatushinda na sisi vipo vingi tu tunawashinda .lakini baadhi ya watu wakiongelea kenya na tz,wanadhan kila kitu tz inatakiwa ikaige kenya kitu ambacho si kweli
Kenya ni kanchi kenye upuuzi mwingi tu wala hata sio kanchi kakuigwa kiivo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu democrasia,mahakama wanazalisha?
Kenya wana vitu vichache tu wanatushinda na sisi vipo vingi tu tunawashinda .lakini baadhi ya watu wakiongelea kenya na tz,wanadhan kila kitu tz inatakiwa ikaige kenya kitu ambacho si kweli
Kenya ni kanchi kenye upuuzi mwingi tu wala hata sio kanchi kakuigwa kiivo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umemsikia balozi wenu alivyokua analia na bado sindano ndio inaingia bado hatujabonyeza dawa ili iingie vizuriWanamlilia Mtanzania chakula?
Stop these lies!
Kaangalie yale malori yanayopita pale mpakani kwenda uganda toka tanzania yana bidhaa ganiUganda hua hanunui chakula,yeye analima cha kutosha
Uganda sio nchi ya viwanda,ni ya kilimo,nae ana vyakula!
Acheni masihara nyie
kwanza iyo GDP unajua maana yake mkuu hadi udai wao kuwa na GDP kubwa basi uchumi wao imara?Mimi Mtanzania
Umenipa Ukenya,thats cool too,wote Wabantu walewale!
Shida ni kwetu sisi tusiokua na GDP yenye mabavu kama wao!
Wao wana GDP yenye uzito,they can buy any food from anywhere!
Be serious!
Im holding my breath siku inatokea mvua imegoma kunyesha nchini kwa mwaka mmoja,what catastrophe will come out in TZ?
It will be a disaster my nigga!
Ishu hapa tujifunze kuzalisha na kufanya biashara na kuacha upumbavu na utoto huu
Acha kuzunguka zunguka,sema kenya wanazalisha nini kuliko tz.Topic ya Democray and Development hukusoma Form II?
Hilo swali ulifaulu vipi Form Four?
Democracy ni topic iliyopo masomo 3 O’Level!
History,Civics na Agriculture,Geography,etc.....
Democracy ALevel ya nchi hii unaisoma kwenye General Studies
Democracy ni topic unaisoma Chuo Kikuu kwenye somo la DS (Development Studies)
Na swali la Democracy ni lazima utalifanya ngazi yeyote nchi ya Tanzania
Leo hii hujui maana ya Democracy and Development???Huu unafiki ni wa kiwango cha mavi!
Mahakama ndio mhimili wa sheria,judicial system!
Makampuni yakiibiana yanapelekana mahakamani,mtu akiiba patent ya kampuni ingine anapata haki yake mahakamani!
Serikali ikionea mtu au kampuni yeyote haki inapatikana mahakamani...Halafu leo Microsoft au Morgan&Stanley ije ifungue headquarters Dar es Salaam halafu Waziri fulani sababu anakichaa kichwani mwake aionee halafu wakaenda Mahakamani then mawe apige simu wafungwe sababu kaamua yeye kama yeye....mfumo wa mavi namna hii hakuna mtu anakuja hapa!
Wote wataenda Nairobi penye systems that work na sio kima mmoja anaamua nani afungwe na nani aachwe na nani afilisiwe na nani asifilisiwe...What a jungle full of monkeys!
Wee kenge unalopoka tu subir ukuni ukuingie vizur Nani kakwambia hakuna viwanda Tz au unaongea shobo tu . Tuliza kichwa hicho ona viongoz wenu wanavyohaha kuomba poo Wanajua watakavyoumia kiuchumi pimbi weeTanzania kuna viwanda?
Nikae hapa nasikiliza mawe anasema eti TZ kuna viwanda?Fvck it!
Cherehani eti nayo kiwanda!
Read this,TZ hakuna viwanda!!!
Muulize mpiga domo Mwijage akuambie,ni propaganda tupu!
Kadanganyeni watoto huko!
Mlimaji mahindi nae anajifanya ana control soko?Fo what hasa?
Chakula ambacho hawajui kuhifadhi,hawana teknolojia wala nini,uozo mtupu!
Msimu huu ukipita brother we are in deep shit!
Plus hawa wafanyabishara wanaofanya hizi kazi wamechoka,mmewanyanyasa,na sasa hivi watanyamaza hakuna kuuza chochote popote!
Eti tunauza,unauza wewe kama nani?CCM ilishalima chochote dunia hii?
Achana naye huyo hajui kitu . Yaan nitoe mahind katavi kuja kuwauzia hao manyang'au wa kibera . Wakenya wengi ni masikin tu kenge haoTatizo lako wewe mawazo yako yote yametawaliwa na neno "Kenya" sijui kwanini, jaribu kuzungusha ubongo wako nyuzi 360.
Huyo jamaa aliyekua na magari ya Summry, hajawahi kuhuza hata gunia moja la mahindi kwa nchi ya Kenya, yeye yupo Sumbawanga, ni zaidi ya Kilometa 2000 hadi Nairobi, gharama ya kusafirisha mahindi toka Sumbawanga ni kubwa sana.
Summry na mikoa yote ya kusini mwa Tanzania, masoko yao yapo DRC, Zambia, Malawi, Zimbabwe na Msumbiji. Nchi ilipiga marufuku kuuza chakula nje ya nchi, ndio sababu wakulima walilalamika, wewe unageuza unasema walizuia kwenda Kenya pekee, wacha kufikiria Kenya kama nchi pekee, Solo la Kenya kwa chakula cha Tanzania, halizidi 10%, DRC ni soko kubwa kwetu kuliko Kenya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umemsikia balozi wenu alivyokua analia na bado sindano ndio inaingia bado hatujabonyeza dawa ili iingie vizuri
kwanza iyo GDP unajua maana yake mkuu hadi udai wao kuwa na GDP kubwa basi uchumi wao imara?
Acha kuzunguka zunguka,sema kenya wanazalisha nini kuliko tz.
Democracy ni mfumo wa kuendesha nchi na si mfumo wa uzalishaji
Mahakama sio mfumo wa uzalishaji
Weka bayana wanachozalisha Kenya .
Kwa jinsi unavyojizungusha kwenye mahakama na demo kama uzalishaji hata dini utasema ni uzalishaji.
Narudia tena kenya ni kanchi kama tz,amna tofauti kati yake .uendeshaji wa mahakama unaendana tu.
Mahakama hizi ndio zilikuepo wakati wa jk,mtu mmoja asitufanye tuichukulie poa nchi yetu na kushadadia tu inchi tuingine
Sent using Jamii Forums mobile app
Wee kenge unalopoka tu subir ukuni ukuingie vizur Nani kakwambia hakuna viwanda Tz au unaongea shobo tu . Tuliza kichwa hicho ona viongoz wenu wanavyohaha kuomba poo Wanajua watakavyoumia kiuchumi pimbi wee
Sent using Jamii Forums mobile app