Kenya yapata upenyo: Tanzania yajisalimisha tena mikononi mwa Kenya

Nonsense!

We chawa bado unaomboleza ee?

Mwache mama akuonyeshe jinsi nchi inavyotakiwa kuongozwa.
 
nabishana na mbumbumbu. Hutaki kutoa statistic unaimba ma propaganda ya Magufuli ambayo mwisho wa siku hata msaidizi wake wa karibu alikuja kumuumbua juzi.
, GDP inabadilika ila ninapoposema final namaanisha final mwisho wa mwaka husika, GDP kipindi cha Magufuli haiukuwahi kuvuka 63 B, sasa 63 B haiwezi kuwa aproximated to 70 B.
 
Mama anakosea, na amekwisha kosea...hakika ni kazi gani iendelee.
 
Mama anakosea, na amekwisha kosea...hakika ni kazi gani iendelee.
 
Kumbe nabishana na mbumbumbu. Hutaki kutoa statistic unaimba ma propaganda ya Magufuli ambayo mwisho wa siku hata msaidizi wake wa karibu alikuja kumuumbua juzi.
, GDP inabadilika ila ninapoposema final namaanisha final mwisho wa mwaka husika, GDP kipindi cha Magufuli haiukuwahi kuvuka 63 B, sasa 63 B haiwezi kuwa aproximated to 70 B. Magufuli ange maintain ile rate ya ukuaji ya uchumi ya Mkapa na Kikwete leo hii uchumi wetu ulitakiwa uwe kwenye 80B ikikaribia 90B . ila alihbaribu uchumi akawa anatoa takwimu feki na kupitisha sheria za kulinda hizo takwimu fake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…