Masamila
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 6,490
- 7,422
DRC yenyewe huwa inanunua mahindi yetu kama tuu ya Zambia yameisha
Kule hawalimi kienyeji na hawahifadhi kipuuzi kama Bongo na Zambia ndio wameharibu soko la mahindi la Tzn
Soko wametuharibia hawa wanasiasa washamba wanaopenda kuendekeza migogoro na majirani migogoro ya kitoto