Kenya: Zifahamu jamii mbili zenye nguvu nchini Kenya

Kenya: Zifahamu jamii mbili zenye nguvu nchini Kenya

Leke twabe tuneo wathani neguo tuthie nambele guthodeka bololi
Wah umetisha aisee kikuyu chako kiko freshi sana! Lakini hapo kwa l zote weka r, hamna l kwa alphabet ya kikuyu! Ulicho'quote' hapo juu si kikikuyu lakini, ni kimeru jombaa!
 
Hahahahaaa,umenikumbusha jana Balile kwenye press conference anamtolea mfano eti mtoto wake anaingia chuo kikuu sijui kamuuliza nini eti,wahaya kwa kujisifu bwana.Ndo itakuwa wahaya unawafananisha na wajaluo.
yaani wahaya kujisifu ni instinct ambayo ipo kwenye damu yao....mda mwingine hujikuta tu wakijisifia au wakisifia issues zao zinazowahusu bila hata wao kujua kuwa wamejisifia.

kuna mmoja nipo nae ofisi moja,ni rafiki yangu.
nikiwa naye maeneo ya kula bata, najua nitakunywa bia nyingi sana.

mda wote hupenda kunitambulisha kwa jamaa zake kuwa mimi ni mfanyakazi wake eti yeye ndio boss.

kwakuwa najua udhaifu wake,naishia tu kucheka,basi hapo zitashuka bia za kumwaga.
[emoji23] [emoji23]
 
Kwa nini wakenya karibia wote ni weusi tukiacha wale wa pwani Mombasa.
sio wakenya peke yao,karibia watu wote ambao kiasili wanatokea katika usawa wa mstari wa ikweta,ni weusi zaidi kuzidi wale ambao hawatokei usawa huo.wapo baadhi ya waganda ni weusi sana.

nadhani ni suala la kisayansi zaidi ambalo linahusiana na masuala ya tabianchi katika usawa wa mstari wa ikweta.sina hakika sana na hili.
 
Kwa nini wakenya karibia wote ni weusi tukiacha wale wa pwani Mombasa.
sio wakenya peke yao,karibia watu wote ambao kiasili wanatokea katika usawa wa mstari wa ikweta,ni weusi zaidi kuzidi wale ambao hawatokei usawa huo.wapo baadhi ya waganda ni weusi sana.

nadhani ni suala la kisayansi zaidi ambalo linahusiana na masuala ya tabianchi katika usawa wa mstari wa ikweta.sina hakika sana na hili.
 
Naatia mukuru? Muuga? Keke! Naatia ukuthithia eeh? Uriuga vionthe hadharani mukuru?Aiii!
Nikwega muno my cousin .Ati vionthe hadharani? Well ,one thing i like about you guys is the challenge,the inspiration and the odd pressure you put on us to also improve ourselves so my bro there's nothing to be ashamed of.Kina muguku farms ,Chris Kirubi ,Joram Kamau wa Tuskys and Mwangi wa Equity are very very inspirational folks and you should be proud of them.
 
Aaaahh ,nini wewe kuharibu lugha hivi?. Even as a Meru i can tell you the correct Kikuyu words are "Reke twambe" and the last one is "bururi" and not your incorrect jargon "bololi"
wewe ni shemeji ysngu aisee...wameru ni mashemeji zangu...niliwahi ku-date na binti wa kimeru.....[emoji23]
 
Afu mnaongelea wanaume tu,au vipi? Wanawake wa kijaluo huwa nawaogopa,kwenye ugomvi wa nyumbani wao ni ving'ora aisee! Wanaitaga wapita njia hadi na majirani wote kwanza, afu ndo wanaanza zao, na kile kiswahili chao! ''Hii ndo manaume buure! Osiepna,huyu ni buuure kabisa, ang'oa! Manaume wanakula omena na ugali kilo mbili na avocado tatu na uji na hawashibi! Uuuuwi, alafu usiku wanachukua nyonyo yangu wanamaliza chakula wote wa matoto yangu Omoss! Hadi Omoss wameshikwa na marassmass! Uuuwi okethoree'' Hehe😀😀😀
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
wewe ni shemeji ysngu aisee...wameru ni mashemeji zangu...niliwahi ku-date na binti wa kimeru.....[emoji23]
Lakini sisi ni waMeru wa upande wa mlima Kenya sio wale Meru wa Tz. I hope unaelewa hapo .
 
sio wakenya peke yao,karibia watu wote ambao kiasili wanatokea katika usawa wa mstari wa ikweta,ni weusi zaidi kuzidi wale ambao hawatokei usawa huo.wapo baadhi ya waganda ni weusi sana.

nadhani ni suala la kisayansi zaidi ambalo linahusiana na masuala ya tabianchi katika usawa wa mstari wa ikweta.sina hakika sana na hili.

Sababu ni hii,
Dunia ni hemisphere, mzunguko wake ni mkubwa zaidi Equator, eneo hilo la ikweta lipo karibu zaidi na Jua ikilinganishwa na maeneo mengine (ndio maana kwenye ncha za dunia (earth poles) kuna baridi sana ukilinganisha na equator.
Kwa maana hiyo tunategemea mionzi hatari ya Jua (ultraviolet radiations) kuwa mikali zaidi eneo la equator kutokana na kupungua kwa umbali kati ya Dunia na Jua (wave frequency varies inversely to Wavelength)

Mionzi hii ya Jua huweza kusababisha matatizo ya ngozi ikiwemo skin cancer..
Kutokana na theories za Evolution (adaptive evolution), kiumbe hubadilika kutokana na mazingira aliyopo ili kuendana na mazingira aliyopo.
Ili kuepuka matatizo ya ngozi yanayoweza kusababishwa na mionzi ya Jua ikiwemo skin cancer watu wa eneo hili wame undergo intensive skin pigmentation kuepuka matatizo ya ngozi yanayoweza kusababishwa na mionzi mikali ya ultraviolet ikiwemo skin cancer ..
Na hapa ndio tunapata Dark skin. Sehemu zenye Jua Kali kama South Sudan watu ni Weusi sana ukilinganisha na sehemu zenye mionzi hafifu ya Jua.
(Naruhusu kurekebishwa)
 
wewe ni shemeji ysngu aisee...wameru ni mashemeji zangu...niliwahi ku-date na binti wa kimeru.....[emoji23]
Aisee nilipataga mtoto mmeru, ajabu juzikati hapa nikaskia mtoto ameolewa,
Nilisikitika sana aisee.. Amepata mtoto wa kike mzuri kama yeye, though bado ananipenda .
Waswahili tunasema fimbo ya mbali haiui nyoka.
 
Swala la utanashati kwa wajaluo... hapana braza mi napinga...

Majammaaaa ni wachafu kupita maelezo... *****... afu wana katabia cha udokozi...

Na ndio asilimia kubwa wenye mikono ya sweeta

Sent from "La -Vista"
 
Lakini sisi ni waMeru wa upande wa mlima Kenya sio wale Meru wa Tz. I hope unaelewa hapo .
namainisha wameru wakenya...niliwahi date na binti mmoja toka ukoo wa kagweria...kagweria ni jina common among merus of mount kenya.
 
ongeza na wasomali hapo..japo wanasifika sana kwa ugaidi ila upande mwingine kibiashara wako vizuri
Aisee umenikumbusha kuna wasomali fighters kweli kweli, Siku moja nilisema niingie kenya kupitia border ya sirari, na kwa kuwa ilikuwa mara yangu ya kwanza kupitia mpaka huu ilibidi nichukue mda kidogo pale mpakani!

Upande wa kenya 90% ya wafanya biashara pale ni wasomali, tena wanaongea kiswahili kimenyooka kweli kweli!
 
Sababu ni hii,
Dunia ni hemisphere, mzunguko wake ni mkubwa zaidi Equator, eneo hilo la ikweta lipo karibu zaidi na Jua ikilinganishwa na maeneo mengine (ndio maana kwenye ncha za dunia (earth poles) kuna baridi sana ukilinganisha na equator.
Kwa maana hiyo tunategemea mionzi hatari ya Jua (ultraviolet radiations) kuwa mikali zaidi eneo la equator kutokana na kupungua kwa umbali kati ya Dunia na Jua (wave frequency varies inversely to Wavelength)

Mionzi hii ya Jua huweza kusababisha matatizo ya ngozi ikiwemo skin cancer..
Kutokana na theories za Evolution (adaptive evolution), kiumbe hubadilika kutokana na mazingira aliyopo ili kuendana na mazingira aliyopo.
Ili kuepuka matatizo ya ngozi yanayoweza kusababishwa na mionzi ya Jua ikiwemo skin cancer watu wa eneo hili wame undergo intensive skin pigmentation kuepuka matatizo ya ngozi yanayoweza kusababishwa na mionzi mikali ya ultraviolet ikiwemo skin cancer ..
Na hapa ndio tunapata Dark skin. Sehemu zenye Jua Kali kama South Sudan watu ni Weusi sana ukilinganisha na sehemu zenye mionzi hafifu ya Jua.
(Naruhusu kurekebishwa)
Game Over katika ubora wako.tisha sana mzazi.

umefafanua vizuri sana na kwa kiswahili chepesi kiasi kwamba hata yule ambaye alikwepa somo la jiographia sekondari ni nahisi kuelewa.

sasa nimegundua sababu anayofanya nibabuke ngozi na kuwa mweusi kila ninapotembelea kenya na kuishi nairobi angalau kwa mwezi mmoja.

wakati naishi kenya,kila nilipokuwa narejea dar,familia yangu ilikuwa inaniambia nimekuwa mweusi.kumbe ni issues za kisayansi.[emoji23]

bila shaka MK254 alipokuwa anarudi kwao Kenya kutoka dar,familia yake ilimshangaa kwa kutakata ngozi.hali ya hewa ya dar haimtupi mtu bhana.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Aisee nilipataga mtoto mmeru, ajabu juzikati hapa nikaskia mtoto ameolewa,
Nilisikitika sana aisee.. Amepata mtoto wa kike mzuri kama yeye, though bado ananipenda .
Waswahili tunasema fimbo ya mbali haiui nyoka.
tatizo lao ni kwamba wengi wametahiriwa....kwenye kale kamchezo inabidi mpini uwe ngangari kweli kweli ili afike kwenye kilele cha mount kenya.

na akigundua kuwa unamudu kumfikisha kwenye kilele cha mlima kenya,hakuachi.atakuganda sana.

akigundua unam-cheat ni vita inayoweza sababisha hata maafa.
 
Back
Top Bottom