denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Nachoona hapa ni uoga wa wanasiasa wetu kuwaambia ukweli wafuasi wao, hasa kuhusu masuala yenye ukakasi kama hili la ushoga.
Wanaogopa kupoteza wafuasi kwasababu jamii yetu kwa asilimia kubwa bado iko gizani, tunaishi kwa kujidanganya tunampenda Mungu kumbe ni unafiki tu wa kuficha madhaifu yetu mengine, kama vile dhambi iko moja ya ushoga pekee.
Wanajua wakigusa hapo kwenye ushoga watashambuliwa toka kila upande, hapa ndipo namkumbuka Fatma Karume anavyokuwa wembe kule twitter kusimamia kile anachoamini, bila kujali upinzani anaoupata toka kwa wajuaji.
Naamini ule uthubutu na upeo Fatma ameupata kwasababu ya kuishi kwake nje ya nchi kwa muda, najua leo tunamshangaa kwa msimamo wake kwa sababu ya ushamba wetu, ila iko siku ataonekana shujaa, ni suala la muda tu.
Wanaogopa kupoteza wafuasi kwasababu jamii yetu kwa asilimia kubwa bado iko gizani, tunaishi kwa kujidanganya tunampenda Mungu kumbe ni unafiki tu wa kuficha madhaifu yetu mengine, kama vile dhambi iko moja ya ushoga pekee.
Wanajua wakigusa hapo kwenye ushoga watashambuliwa toka kila upande, hapa ndipo namkumbuka Fatma Karume anavyokuwa wembe kule twitter kusimamia kile anachoamini, bila kujali upinzani anaoupata toka kwa wajuaji.
Naamini ule uthubutu na upeo Fatma ameupata kwasababu ya kuishi kwake nje ya nchi kwa muda, najua leo tunamshangaa kwa msimamo wake kwa sababu ya ushamba wetu, ila iko siku ataonekana shujaa, ni suala la muda tu.