Yani Kenyata aulizwe na wamarekani mambo ya tz?
Ya kenya anaulizwa nani?
Hayo ni mawazo mfilisi, wewe unapo sema kuwa haha alikwa kwa sababu ni mwanamke si kweli kabisa, huko huko ndo walio mtaka kuwa miongoni mwa Marais wenye hekima duniani.
Rais wetu chapa kazi endelea kuturejeshia Heshima yeti iliyo kuwa imepotea.
Dunia inaona kazi unayo ifanya na watanzania wenye hekima tunaona.
..Ndio.
..umesahau Kikwete alivyokuwa akiulizwa masuala ya Kenya wakati ule wana mgogoro wa kisiasa?
..Na Annan, Mkapa, na Machel, waliposhindwa kuwasuluhisha si Kikwete ndiye aliye-intervene akiwa na ultimatum toka kwa Wamarekani?
Ukisha alikwa faida yake nini?Wenzetu Kenya wamealikwa White House sisi ndiyo kama hivi.
Biden, Kenya President Kenyatta to hold White House meeting
Hatuna cha kujifunza kweli?
Yaonesha rais mwanamke siyo dili, ila demokrasia!
Mwenye macho haambiwi tazama.
Uvccm watakwambia ni kuendekeza ubeberu wakati chanzo zao wanachanjwa kwa kasi na mikopo wanapokeaWenzetu Kenya wamealikwa White House sisi ndiyo kama hivi.
Biden, Kenya President Kenyatta to hold White House meeting
Hatuna cha kujifunza kweli?
Yaonesha rais mwanamke siyo dili, ila demokrasia!
Mwenye macho haambiwi tazama.
Wakati wa Kikwete Alikua ndio anaalikwa White House halafu anakuja EA kuwapa maagizo akina Uhuuru na akina museveni.Wenzetu Kenya wamealikwa White House sisi ndiyo kama hivi.
Biden, Kenya President Kenyatta to hold White House meeting
Hatuna cha kujifunza kweli?
Yaonesha rais mwanamke siyo dili, ila demokrasia!
Mwenye macho haambiwi tazama.
Indeed...does it make any difference, whether am a pedestrian or official in oneof the beuracratic system in Tanzania?
The truth of the matter is, we tend to focus with great zeal, unimportant things. The important ones, we leave the fate to take care of. What a miserable approach 😂😂😂😂😂
Mama kamualika yule Muingereza Tony Blair nongwa zimewajaa wabongo, mnamsema Mama kama vile kaua mchana kweupe.
Jo anakaribisha Watu.Wenzetu Kenya wamealikwa White House sisi ndiyo kama hivi.
Biden, Kenya President Kenyatta to hold White House meeting
Hatuna cha kujifunza kweli?
Yaonesha rais mwanamke siyo dili, ila demokrasia!
Mwenye macho haambiwi tazama.
Uvccm watakwambia ni kuendekeza ubeberu wakati chanzo zao wanachanjwa kwa kasi na mikopo wanapokea
Si Dk Gwajima nae anaenda Urusi. Ngoma droo
Angealikwa usingeponda hivi ungesifia ukiwa umeshupaza shingo na faida zake ungezitaja tenashara. Jifunze kujifunza sio dhambiObama alikuja mpka hapa Tz!
Ulifaidika kitu gani?
Enzi za demokrasia na diplomasia nchini zimepita.Wenzetu Kenya wamealikwa White House sisi ndiyo kama hivi.
Biden, Kenya President Kenyatta to hold White House meeting
Hatuna cha kujifunza kweli?
Yaonesha rais mwanamke siyo dili, ila demokrasia!
Mwenye macho haambiwi tazama.
Yaan ulichoandika ndugu yangu kinafikirisha sana na kunitia wasiwasi sana kuhusu uimara wa ubongo wetu wa Tanzania. Kwa hiyo wakenya wakialikwa huko white house ,ndio qualifications ya uchumi?Mbona Kikwete alialikwa white house,ikaishia Obama kutuletea kampuni fake ya umeme ya symbion?Ndugu wa Tanzania ,hasa vijana tujipime uwezo wetu wa kifikiri na kudadavua mambo.Nina wasiwasi elimu tunayopata inatupeleka kuwategemea wazungu zaidi.Hatuwezi kuwa na elimu ya kuwa wabunifu ,wachapa kazi na tuzalishe bidhaa ambazo tutauza duniani na watu watugombee.Tusibaki kufikiria kukaribishwa White house.Usipokaribishwa haufai kuwa Rais wa Tz.Wenzetu Kenya wamealikwa White House sisi ndiyo kama hivi.
Biden, Kenya President Kenyatta to hold White House meeting
Hatuna cha kujifunza kweli?
Yaonesha rais mwanamke siyo dili, ila demokrasia!
Mwenye macho haambiwi tazama.
Aliwaonyesha attitude mbaya wakati afya yake inawategemea hao hao wazungu. Akashindwa kwenda kutibiwa kwao akafa akijiona...tukubali kwamba taswira na heshma ya Tz ktk diplomasia ilitetereka ktk awamu ya 5.
..hatukutakiwa kutumia lugha mbaya dhidi ya mataifa ya nje, haswa ya magharibi, au kutoheshimu maazimio ya jumuiya za kimataifa.
..uongozi wa awamu ya 6 una kibarua cha kurekebisha hali hiyo.
..Hatua za mwanzo zilikuwa ni Raisi kutembelea nchi majirani na kuhudhuria UNGA.
..Na utachukua muda mpaka turudi pale Kikwete alipoicha nchi kidiplomasia.
Yaan ulichoandika ndugu yangu kinafikirisha sana na kunitia wasiwasi sana kuhusu uimara wa ubongo wetu wa Tanzania. Kwa hiyo wakenya wakialikwa huko white house ,ndio qualifications ya uchumi?Mbona Kikwete alialikwa white house,ikaishia Obama kutuletea kampuni fake ya umeme ya symbion?Ndugu wa Tanzania ,hasa vijana tujipime uwezo wetu wa kifikiri na kudadavua mambo.Nina wasiwasi elimu tunayopata inatupeleka kuwategemea wazungu zaidi.Hatuwezi kuwa na elimu ya kuwa wabunifu ,wachapa kazi na tuzalishe bidhaa ambazo tutauza duniani na watu watugombee.Tusibaki kufikiria kukaribishwa White house.Usipokaribishwa haufai kuwa Rais wa Tz.