Lamentations
JF-Expert Member
- Mar 12, 2023
- 285
- 848
Kweli we ni mzee wa kupambania naona unajipa assist halafu unaikuta kwa mbele mkuu salute.Wengine unawafundisha kwa vitendo kabisa, ila wengine wako shapu kuelewa ukianza wewe kumkiss vizuri passionately hata kama mwanzoni alikuwa anakosea anabadilika anakuiga kukiss
Ijapokuwa sio kazi rahisi, ila nashukuru wengi waliopitia kwangu hata kama tumeachana wameondoka na ujuzi wa kukiss
shehe unamiliki kitalu cha vitunguu au😁Nielimishe kidogo huenda mwenzenu natoa harufu ya vitunguu
Fanya km watoa hewa nje wakati huo mkono/ kiganja kipo kinataka kuidaka hiyo hewa.. utaipata vyema kabisa, so hapo utajua ni uchill ama ukapige mswaki 😃Nielimishe kidogo huenda mwenzenu natoa harufu ya vitunguu
😁😁😁Mimi ni mgalatia ww, Sema masheikh ndo wanakuaga na harufu ya vitunguus
shehe unamiliki kitalu cha vitunguu au😁
Ni nyingi mno ila hizi sitazisahau maishani mwangu:Haya twende kazi
- Mmetoka zenu matembezini uko mnaingia kunako 6*6 mtu anang'ang'aniza mparamiane hivihivi na majasho mwilini bila hata kuosha mwili kwanza.
- Anapenda kula denda ila sasa hiyo harufu inayotoka mdomoni mwake ni changamoto, mungu mwenyewe tu ndo anayejua.
- Mmekubaliana fresh leo 'mtapumzika' pamoja kwa muda fulani. Cha ajabu mkifunga mlango tu kauli imebadilika unaambiwa "fanya chapu nataka nkasuke mwenzio hlf leo si unajua leo tuna kikoba"
- Mrefu kiasi nyuma amebinuka ile kiuchokozi. Mwenyewe unasema, Yes, Hapa full mbuzi kagoma! Laah salaleh, mwenzio hataki mambo hayo anang'ang'ania full kifo cha mende🤣🤣
🙄🙄Harufu inaweza kusababishwa na kuoza kwa meno, ulimi & changamoto huko tumboni. Ambayo unaweza kuijua kirahisi ni ya kuoza meno na ulimi ila hii inayotoka tumboni mara nyingi wahusika wanakua hawajui chochote.....umeelewa binti njiroFanya km watoa hewa nje wakati huo mkono/ kiganja kipo kinataka kuidaka hiyo hewa.. utaipata vyema kabisa, so hapo utajua ni uchill ama ukapige mswaki 😃
Je hiyo ya kutoka tumboni inatibika??[emoji849][emoji849]Harufu inaweza kusababishwa na kuoza kwa meno, ulimi & changamoto huko tumboni. Ambayo unaweza kuijua kirahisi ni ya kuoza meno na ulimi ila hii inayotoka tumboni mara nyingi wahusika wanakua hawajui chochote.....umeelewa binti njiro
Mkuu haya mambo hivi hua mnajifunzia wapi?Wanawake wengi wa kibongo hawajui jinsi ya kula denda (french kiss)
Unakuta pisi kali sana lakini she ain't a good kisser
Huwa wanainjoi sana ukiwapa darasa 🤣kiongozi kumbe unatoa darsa ya mambo haya kwa wadada?🤣
Ile harufu siyo tatizo mama, njia pekee ni kutibu tatizo 🤔🤔harufu ni kiasharia Cha uwepo wa tatizoJe hiyo ya kutoka tumboni inatibika??
HayaIle harufu siyo tatizo mama, njia pekee ni kutibu tatizo 🤔🤔harufu ni kiasharia Cha uwepo wa tatizo
Watu wajitahidi kunywa maji mengiIle harufu siyo tatizo mama, njia pekee ni kutibu tatizo [emoji848][emoji848]harufu ni kiasharia Cha uwepo wa tatizo
Ukweli wa harufu ya mdoma , Watanzania wengi wanakosa package nzuri za kusafisha meno tofauti na wenzetu.🙄🙄Harufu inaweza kusababishwa na kuoza kwa meno, ulimi & changamoto huko tumboni. Ambayo unaweza kuijua kirahisi ni ya kuoza meno na ulimi ila hii inayotoka tumboni mara nyingi wahusika wanakua hawajui chochote.....umeelewa binti njiro
Nyinyi vijana wa siku hizi ndio mna balaa kutuzidi kaka zenu 😅Mkuu haya mambo hivi hua mnajifunzia wapi?
Kujazana na kunyweshana mimate tyuuh.Wanawake wengi wa kibongo hawajui jinsi ya kula denda (french kiss)
Unakuta pisi kali sana lakini she ain't a good kisser
Hapaa uko sahihi.Ukweli wa harufu ya mdoma , Watanzania wengi wanakosa package nzuri za kusafisha meno tofauti na wenzetu.
Yaani mswaki tu basi mbona mtu akioga bado anapaka mafuata ,lotion , deodorant na perfume.
Hata kupigwa mswaki bado panahitaji vitu vingine kama mouthwash ,refreshner kibao la sivyo ni patapotea .
Sikupingi, bora umekuja mwanangu cocastic tia nyama somo lielewekeKujazana na kunyweshana mimate tyuuh.
Inakeraaa, hata wanaume pia hawawezi.
Kwenye 1 na 2 sio? 🤔😅Kweli we ni mzee wa kupambania naona unajipa assist halafu unaikuta kwa mbele mkuu salute.