Kero gani umekutana nazo katika faragha na mwenza/rafiki?

Kero gani umekutana nazo katika faragha na mwenza/rafiki?

Wengine unawafundisha kwa vitendo kabisa, ila wengine wako shapu kuelewa ukianza wewe kumkiss vizuri passionately hata kama mwanzoni alikuwa anakosea anabadilika anakuiga kukiss

Ijapokuwa sio kazi rahisi, ila nashukuru wengi waliopitia kwangu hata kama tumeachana wameondoka na ujuzi wa kukiss
Kweli we ni mzee wa kupambania naona unajipa assist halafu unaikuta kwa mbele mkuu salute.
 
Haya twende kazi

- Mmetoka zenu matembezini uko mnaingia kunako 6*6 mtu anang'ang'aniza mparamiane hivihivi na majasho mwilini bila hata kuosha mwili kwanza.

- Anapenda kula denda ila sasa hiyo harufu inayotoka mdomoni mwake ni changamoto, mungu mwenyewe tu ndo anayejua.

- Mmekubaliana fresh leo 'mtapumzika' pamoja kwa muda fulani. Cha ajabu mkifunga mlango tu kauli imebadilika unaambiwa "fanya chapu nataka nkasuke mwenzio hlf leo si unajua leo tuna kikoba"

- Mrefu kiasi nyuma amebinuka ile kiuchokozi. Mwenyewe unasema, Yes, Hapa full mbuzi kagoma! Laah salaleh, mwenzio hataki mambo hayo anang'ang'ania full kifo cha mende🤣🤣
Ni nyingi mno ila hizi sitazisahau maishani mwangu:
1. Kunuka papuchi kama mtu asiyewahi kuoga maishani
2. Kukuta viashiria vya madawa ya kichawi kifuani na maziwa (kujipaka unga kwenye chuchu na kifuani), kuvaa shanga kiunoni zilizofungwa na hirizi
3. Kuwa na mavuzi makwapani na kuwa na ndevu japo ni demu
4. Kula kupitiliza, unakuta demu anakula utadhani hajala miaka kadhaa
5. Kunuka mdomo na makwapa japo kavaa vizuri na kuonekana sopu sopu
6. Kulazimisha kuhamia kwangu
 
Fanya km watoa hewa nje wakati huo mkono/ kiganja kipo kinataka kuidaka hiyo hewa.. utaipata vyema kabisa, so hapo utajua ni uchill ama ukapige mswaki 😃
🙄🙄Harufu inaweza kusababishwa na kuoza kwa meno, ulimi & changamoto huko tumboni. Ambayo unaweza kuijua kirahisi ni ya kuoza meno na ulimi ila hii inayotoka tumboni mara nyingi wahusika wanakua hawajui chochote.....umeelewa binti njiro
 
VideoCapture_20231009-185643.jpg
 
🙄🙄Harufu inaweza kusababishwa na kuoza kwa meno, ulimi & changamoto huko tumboni. Ambayo unaweza kuijua kirahisi ni ya kuoza meno na ulimi ila hii inayotoka tumboni mara nyingi wahusika wanakua hawajui chochote.....umeelewa binti njiro
Ukweli wa harufu ya mdoma , Watanzania wengi wanakosa package nzuri za kusafisha meno tofauti na wenzetu.

Yaani mswaki tu basi mbona mtu akioga bado anapaka mafuata ,lotion , deodorant na perfume.

Hata kupigwa mswaki bado panahitaji vitu vingine kama mouthwash ,refreshner kibao la sivyo ni patapotea .
 
Ukweli wa harufu ya mdoma , Watanzania wengi wanakosa package nzuri za kusafisha meno tofauti na wenzetu.

Yaani mswaki tu basi mbona mtu akioga bado anapaka mafuata ,lotion , deodorant na perfume.

Hata kupigwa mswaki bado panahitaji vitu vingine kama mouthwash ,refreshner kibao la sivyo ni patapotea .
Hapaa uko sahihi.
 
Back
Top Bottom