Kero hii ya kutofikishwa kileleni

Kukimbilia sa hakumsaidii.Akirudi swala la vyeti feki bado atalikuta mezani,la msingi atangaze kujiuzulu u-rc huko huko,akirudi aende moja kwa moja koromije.
Siyo kolomije, bali aongoze moja kwa moja gereza la Ukonga akisubiri kufungwa miaka saba.
 


Una akili sana Bw. mshana jr kwa haya uliyo andika humu, ngoja nimwambie Bwana Makonda akufikishe kileleni.
 
[emoji115] [emoji817] [emoji111] [emoji120]


Wengine tulikuwa tunaogopa kuomba kufikishwa kileleni ila kwa kuwa umeanza wewe kuomba naona hata Mh. rais atamlazimisha mkuu wetu wa mkoa afanye hivyo. Kufikishwa kileleni kuna raha sana, utatusimulia tu.
 
Wengine tulikuwa tunaogopa kuomba kufikishwa kileleni ila kwa kuwa umeanza wewe kuomba naona hata Mh. rais atamlazimisha mkuu wetu wa mkoa afanye hivyo. Kufikishwa kileleni kuna raha sana, utatusimulia tu.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji111] [emoji817] [emoji115]
 
Kuna tofauti kubwa kati ya Kiongozi wa Publicity na Kiongozi Mtekelezaji....Kiongozi wa Publicity ni sawasawa na yule mwanaume anayejamiana na wananawake wengi kwa wakati tofauti ila hawafikishi kileleni...
 
nimekuja mbio na kuondoka mbio nawewe hujanifikisha kileleni hujasema tumfanye nini huyu bwana bashite
 
nimekuja mbio na kuondoka mbio nawewe hujanifikisha kileleni hujasema tumfanye nini huyu bwana bashite
[emoji23] [emoji23] mlete ama nionyeshe alipo takuambia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…