Kero hii ya kutofikishwa kileleni

Bashite Kuanzia anazaliwa alikuwa kashindwa zaidi ni ni sifa na kujipendekeza, na ndio maana amefikia hapa alipo kila anachoshika anafail....
 
Tayari ilikuwa ime erect Kumbe haha Bashite, Umetisha kwa heading ya hii thread
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23]


mshana jr usilie, utatuliza wengi....kwani ulikuwa hujuwi kuwa yule waziri ni dege la jeshi na msambazaji unga? Uliza watu hapa mjini watakupa habari zake. Unaambiwa "Only in Tanzania" waziri ana ngoma na anasambaza unga ila anachekewa tu na hakamatwi. Sambaza ngoma wewe ama unga, ukione.
 
[emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Kwanza nilivyoona tu heading nikadindisha ndio kukimbilia humu kumkuta bashite na mashetwani yake.... Mshana unakesi namimi
 
Kwanza nilivyoona tu heading nikadindisha ndio kukimbilia humu kumkuta bashite na mashetwani yake.... Mshana unakesi namimi
[emoji15] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Nilikuwa najiuliza hivi ww mshana uliwaza nin leo khaaaa au vyeti vyake yule kijana aliye kwenda kusali makanisa ma 5 kwa cku moja vyeti vyake kavipata??
 
Umebakwa na gwajima, tangu lini anayebaka akukufikisha kileleni? Na kuwa umezoea kubakwa unajipeleka mwenyewe kila jumapili. Na anawabaka wengi lakini hamuwezi hata kukimbia. Na mimi nasema hakuna namna mubakwe tu. Rc hajabaka mtu yeyote. Wenyewe mnajitekenya halafu mnataka mchezo mcheze nae! Mnakata viuno anawacheki tu! Hana umalaya huo. Amelelewa akafundishika anajijua ni mwanadamu kuna wakati anabadili mbinu ya vita anapoona mbinu ya awali haitalea matokeo chanya. Anatumia kanuni ya don't argue with the reality! Ukikuta kuna mto usilazimishe kuvuka, kwani utasombwa na maji.
 
Dah kilichonileta na nilichokikuta ni tofaut [emoji33][emoji33][emoji33][emoji33][emoji33]
 
Kaka Mshana na wana Jamii kwa ujumla, mmetetea sana kwamba kutokufikishwa kileleni ni kubaya sikatai. lakini hebu tujiulize wenyewe Je, kuna hata siku moja mtoa bikra alishawahi kumfikisha mwenza wake kileleni? kutolewa bikra sio kitu cha mchezo lazima ugomvi utokee kitandani ndo mambo yalivyo hv sasa. Makonda anania ya kutufkisha kileleni lakini sisi hatutoi ushirikiano.
 
Kukimbilia sa hakumsaidii.Akirudi swala la vyeti feki bado atalikuta mezani,la msingi atangaze kujiuzulu u-rc huko huko,akirudi aende moja kwa moja koromije.
Wana Jamii mbona tunakuwa wavivu kufikiri? kwani ni ajabu mtu kusoma akitumia jina Bashite na kuja kufanya kazi kwa kutumia jina Makonda? Makonda hana taaluma wala ujuzi juu ya vyeti, mkaguzi wa vyeti feki ni baraza la mitihani(NECTA). baraza watutolee ukakasi huu ni nani mmiliki halali wa cheti chenye jina la Paul Makonda? na je, jina Daudi Bashite kwenye system yao lipo? watuwekee na picha za wamiliki wa vyeti hivyo kwani nina amini pasiport size za wenye vyeti hivyo wanazo kwenye vyombo vya habari."TUSISIKILIZE YA WATU NA KUYAAMINI BILA UTHIBITISHO WA WATAALAM HUSIKA, ELIMU HAITAKUWA NA FAIDA KWETU"
 
daaha hapo kwa mwanaume kakaa jela siku 100 katoka na tabasamu ,lakini jombii ya daslam kuombwa vyeti kalia kweli,nadhani tunatakiwa ku assess uanume wa huyu mkuu wa mkoa wa daslam maana ujinga anao ufanya ni tofauti na maisha aliyopitia nilitegemea angekuwa strong maana kama manyanyaso na masimango ameyapitia sana maana kalelewa sana na watu baki katika maisha yake..!!binasfi na mashaka na uanume wake
 
Huyu ni msanii underground anayetafuta single ya kutokea, kila Mara anatupia singles bahati mbaya hizo single zinashindwa Ku hit
lakini anazilengeshea kwa wenye maamuzi ya kukurupuka, wanampaisha unafikiri kafikaje hapo alipo na kushuka inakuwa ngumu kidogo. Single ina hit ikipwaya yeye kesha paa, anatafuta single ingine maisha yanaenda. Hivi karibuni tutegemee single ingine
 
Mkuu mshana jr issue ya vitambukisho vya walimu hili naamini akifika kileleni kwa sababu mpaka Leo asubuhi nimeshuhudia walimu wawili wakitoa vitambulisho ndani ya daladala. Hili anastahiki pongezi Ndugu Bashite.

Ila hayo mengine ndio maana tunaomba vyeti kwa sababu tunakosa imani kwa nini kila jambo Anataka yeye ndio awe mbele ina maana hawana watu wa kuwapa maelekezo kisha wakafuata amri yake.

Vyeti kwanza mengine Baadae.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…