Pascal Ndege
JF-Expert Member
- Nov 24, 2012
- 2,977
- 1,897
- Thread starter
-
- #241
Mkishikana mikono tu ameloaNdiyo maana hata kipindi cha Yesu wanaume na wanawake walikuwa hawachangamani.
Mwanamke ameolewa, mumewe yupo masomoni Cuba mwaka wa tatu na hamna mawasiliano, mnashikana mikono kwa maagizo ya mtumishi-ananza kupata hisia maana kwa miaka 3 hajawahi kupata tulizo la moyo, hapo unategemea nini kama si uzinzi?
Tatizo sio kanisa wala utaratibu wa kanisa ni kile kilichoko ndani ya Moyo wako , kama Moyo wako umeweka uzinzi hata kama uko wapi utawaza Tu uzinzi, weka ndani yako neno la Mungu uone kama utapata hayo matatizo, kumshika MTU mikono nk haikupi uhalali wakuingia katika Matendo ya dhambi kuna nchi hapa duniani wanawaka hawaruhusiwi hata kutembea peke Yao barabarani lakini bado nchonhigo hiyo unaskia wanabakwa na kufanyiwa ukatili ? Kwa hiyo ni tabia ya mtuMimi ni muumini wa kanisa la KKKT, sasa Kuna Shida Moja inanisumbuaga Kanisani ni pale Mchungaji anakuwa anahubiri mara ghafla anakwambia mgeukie mwenzako au Mshike mkono Mwenzako.
Yaani unageuka unakutana na mdada mzuri mweupee ana shepu pale pale unahama Kanisani. Tena akiwa na yeye yupo interested mnahama wote Kanisani mnabadilishana number mnaanza kuchat.
Nimeliongea hapa kama Kuna ufumbuzi basi ufanyike wadada wakae siti zao.
Chupu niingie kwenye mahusiano ya mke wa mtu. Maana huyu mwanamke kanisave mchungaji wananipigia hadi usiku akiwa na mumewe mke wangu anapokea. Mke wangu hanielewi anadhani nimetembea naye. But sijatembea naye nilichokifanya siendi tena kanisani maana chat zetu zimefikia hatua ya mahusiano wakati mimi na mke wangu tuna majukumu mengi sana ya familia nikiingiza mahusiano mapya na mwanamke yule mrembo na mwenye pesa lazima mke wangu mpenzi na familia itasambaratika.
Kama Kuna mamlaka yoyote ikae ijadili hili jambo. Kwanini mchungaji asihubiri tu bila hii kitu au kama anataka attention basi atusimamishe tukae au Tupige magoti?
Jamani kuna viungo vingine havijui kuokoka hapo ni kosa kubwa kkkt wafanye marekebisho. Pia kuwe na ibada watu wakubwa na watoto na wazee.Tatizo sio kanisa wala utaratibu wa kanisa ni kile kilichoko ndani ya Moyo wako , kama Moyo wako umeweka uzinzi hata kama uko wapi utawaza Tu uzinzi, weka ndani yako neno la Mungu uone kama utapata hayo matatizo, kumshika MTU mikono nk haikupi uhalali wakuingia katika Matendo ya dhambi kuna nchi hapa duniani wanawaka hawaruhusiwi hata kutembea peke Yao barabarani lakini bado nchonhigo hiyo unaskia wanabakwa na kufanyiwa ukatili ? Kwa hiyo ni tabia ya mtu
Soma hapa
Zaburi 119:9,11
[9]Jinsi gani kijana aisafishe njia yake?
Kwa kutii, akilifuata neno lako.
[11]Moyoni mwangu nimeliweka neno lako,
Nisije nikakutenda dhambi.
Pitia hapa
Roho ya uzinzi haishindwi kwa Sheria za Mwili za kutokugusana au kushikana Bali kwa Sheria ya Rohoni
Wakolosai 2:23
[23]Mambo hayo yanaonekana kana kwamba yana hekima, katika namna ya ibada mliyojitungia wenyewe, na katika kunyenyekea, na katika kuutawala mwili kwa ukali; lakini hayafai kitu kwa kuzizuia tamaa za mwili.
Soma habari za Yusufu ,hapa ..
Mwanzo 39:9Hakuna mkuu katika nyumba hii kuliko mimi, wala hakunizuilia kitu cho chote ila wewe, kwa kuwa wewe u mkewe. Nifanyeje ubaya huu mkubwa nikamkose Mungu?
Usije kumkosa Mungu Kwa sababu ya weupe au shepu ya MTU , uzuri ni ubatili Leo upo kesho haupo tulia kwenye ndoa yako hakuna MTu Mbaya duniani ni maamuzi ya nafsi yako Tu , ndio yanaweza kusema Huyu mzuri au Mbaya , hata Bibi alikuwa binti na Mungu akusaidie
[emoji23][emoji23]Mimi ni muumini wa kanisa la KKKT, sasa Kuna Shida Moja inanisumbuaga Kanisani ni pale Mchungaji anakuwa anahubiri mara ghafla anakwambia mgeukie mwenzako au Mshike mkono Mwenzako.
Yaani unageuka unakutana na mdada mzuri mweupee ana shepu pale pale unahama Kanisani. Tena akiwa na yeye yupo interested mnahama wote Kanisani mnabadilishana number mnaanza kuchat.
Nimeliongea hapa kama Kuna ufumbuzi basi ufanyike wadada wakae siti zao.
Chupu niingie kwenye mahusiano ya mke wa mtu. Maana huyu mwanamke kanisave mchungaji wananipigia hadi usiku akiwa na mumewe mke wangu anapokea. Mke wangu hanielewi anadhani nimetembea naye. But sijatembea naye nilichokifanya siendi tena kanisani maana chat zetu zimefikia hatua ya mahusiano wakati mimi na mke wangu tuna majukumu mengi sana ya familia nikiingiza mahusiano mapya na mwanamke yule mrembo na mwenye pesa lazima mke wangu mpenzi na familia itasambaratika.
Kama Kuna mamlaka yoyote ikae ijadili hili jambo. Kwanini mchungaji asihubiri tu bila hii kitu au kama anataka attention basi atusimamishe tukae au Tupige magoti?
Hakuna Kanisa lililokuwa na HESHIMA hapa nchini kama Kanisa Katoliki kwani mpangilio wake wa ukaaji ni pande mbili kwa maana wa KIUME na KIKE.Tatizo la KKKT Tanzania mmeiga mifumo ya ibada za kilokole, ambazo hazipo ki litrujia na zimejaa usanii
Kutenganisha watu kwa jinsia zao kanisani au nyumba yoyote ya ibada ni ujuha, uzamani na ulimbukeni uliopitwa na wakati. Kuna watu wamejenga ukuta kwenye nyumba zao za ibada kati ya wanawake na wanaume lakini uadherati na tamaa zipo palepale. Na wakristu tunavyochanganyika haimaanishi tunaeaza ngono muda wote. Wapuuzi wachache wapo Kila idara. Kama umesoma shule za co education na wale wanaosoma zisizo na mchanganyiko utawaona ukubwaniHakuna Kanisa lililokuwa na HESHIMA hapa nchini kama Kanisa Katoliki kwani mpangilio wake wa ukaaji ni pande mbili kwa maana wa KIUME na KIKE.
Sasa hivi hasa makanisa ya mjini ni kama kumbi za sinema ukaaji. Utamkuta mtu wa jinsia nyingine bila haya akimsukuma mtu kutaka kukaa ilhali upande wake wa kijinsia una nafasi.
Sent from my LLD-AL00 using JamiiForums mobile app
Litrujia ndio nini?ipo kwenye biblia?Tatizo la KKKT Tanzania mmeiga mifumo ya ibada za kilokole, ambazo hazipo ki litrujia na zimejaa usanii
Walipandika biblia ndio waliotumga litrujia. Kasome historia za akina Thomas of acquinas na St. Augustine bishop of hippoLitrujia ndio nini?ipo kwenye biblia?
Logic Bro..Ingekuwa Jambo la maana Kama ungekuwa unaambatana na familia yako Kila siku ya ibada na mkae sehemu moja ili mchungaji akisema msalimie wa pembeni yako ukutane na mkeo.
Hakuna katoliki wanaotenganisha wanaume na wanawake upande wao. Hiyo huwa inatokea tu. Kwamba jinsia flani wamekaa upande huu na nyingine upande huu. Lakini hulazimishwi kwamba kwasababu we ni mwanaume kaa hapa au kule no.Hakuna Kanisa lililokuwa na HESHIMA hapa nchini kama Kanisa Katoliki kwani mpangilio wake wa ukaaji ni pande mbili kwa maana wa KIUME na KIKE.
Sasa hivi hasa makanisa ya mjini ni kama kumbi za sinema ukaaji. Utamkuta mtu wa jinsia nyingine bila haya akimsukuma mtu kutaka kukaa ilhali upande wake wa kijinsia una nafasi.
Sent from my LLD-AL00 using JamiiForums mobile app
Unaingia kanisani tena Katoliki unakuta upande wa wanawake bado kuna nafasi ziko wazi lakini wanawake wamejazana upande wa wanaume. Hii inaonyesha wazi kuwa mwanamke anajisikia kuwa na amani akikaa karibu na mwanaume.
[/QUOTE mi mwenyewe huwa nashangaa
Hivi kwa nini huwa nakupenda sana?!Ingetokea siku ukanipa ningekut*mba hadi uwashe feni ya kupooshea🚶🚶🚶Mara pap unakutata na njemba kama Ushimen
Daaaaa maajabu haya ujue. Huwa nahisi unanichukia sana, hii ni mara ya pili nakwambia.Hivi kwa nini huwa nakupenda sana?!Ingetokea siku ukanipa ningekut*mba hadi uwashe feni ya kupooshea🚶🚶🚶
Mimi nataka nikutombe kwa sababu ya kukupendaDaaaaa maajabi haya ujue. Huwa nahisi unanichukia sana, hii ni mara ya pili nakwambia.
Anyway...kama unamaanisha Thanks kwa upendo, ila wapo wanaotombana hata hawapendani ni nyege tu zinawasumbua😀
Ni wewe kweli unaandika haya leo? Ha haa are you okay? Hufananii hata😅Mimi nataka nikutombe kwa sababu ya kukupenda
🏃🏃🏃Ni wewe kweli unaandika haya leo? Ha haa are you okay? Hufananii hata😅