KERO: Masanja Mkandamizaji kutumia Ulokole kinyume na maadili ya Kipentekoste

Yaani kuna ujinga fulani hivi kwny akili za watu!
Kwamba mlokole asivae vzr,yy ni nguo za marinda,km mwanamke,na suruali za upanga/celebration kwa mwanaume na mashati ya rangi!

Yaani kwamba ulokole usitembelee maeneo ya ufukwe ,usitoke na iwe na familia nk kwenda ku refresh nk!
Ulokole usijichanganye

No ,huyo sio Mungu,kila kitu kimeumbwa na Mungu,biblia inasema dhahabu na fedha ni mali ya Bwana! Mungu hakutuleta tuteseke,no...hayo ni ya shetani!
Ndo maana Yesu alisema "duniani mnayo dhiki lkn jipeni moyo mimi nimeushonda ulimwengu"

Cha mhim kuwa makini sio kila fashen ni salama
 
Labda ungemshauri aache kabisa sanaa, maana usanii unamfanya avae, asuke au kunyoa kulingana na sanaa yake iliyomtambulisha hadi ukamfahamu!!
 
Utu si mavazi na wokovu si mavazi,hata kama akitembea uchi kama roho yake ni safi haina shida,msikimbilie kusafisha vikombe nje wakati ndani vimejaa ukoko
 
Tusiifananie dunia kwa mwenendo,matendo wala mavazi,maana hayo humwakilisha tunayemtumikia,Mungu ana mavazi YAKE,shetani nae ana mavazi YAKE,itategemea wewe unamwakilisha nani

Sent from my itel it1703 using JamiiForums mobile app
 
Huyu mwizi tu kama wezi wengine tuache kupepesa macho na imani kabisa dini kivuli huyu bwana
 
Gwajima je siasa kanisani?
Siasa kanisani ni sawa tu. Dini inajishughulisha na maisha ya watu na siasa nayo hivyo hivyo. Kiongizi yoyote wa Dini anejiepusha na siasa hajui wajibu wake.
 
bila shaka na wewe, ni mvaaji wa mavazi yasiyo na maadili ya kipentekoste,
 
Real . Haishi katika maadili yakiroho.
 
Real . Haishi katika maadili yakiroho.
Na hii inaleta ukakasi sana, hata watu ukiwashuhudia wanakupiga maswali tena wakimhusisha massanja yaani mpaka unachoka!
 
Na hii inaleta ukakasi sana, hata watu ukiwashuhudia wanakupiga maswali tena wakimhusisha massanja yaani mpaka unachoka!
Yaani hata kama kaamua awe mpiga hela bac naajifiche angalau asisababishe ukristo wote kudharaulika
 
Kuna siku niliona post yake kavaa t shirt ina li nembo la pyramid kama za ma freemasonry nikaona jamaa kajificha tu kwenye neno ila ndo wale wale
Ulokole ni kombinenga kuanzia kuvaa,kuongea,kutenda nk mtu akikuona tu hatii shaka na ww kama unachembechembe ya kiibilisi haijifichi kamwe
 
Sio kweli kuhusu Ngada.Walimsingiziaaaaà
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…