Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Yaani kuna ujinga fulani hivi kwny akili za watu!
Kwamba mlokole asivae vzr,yy ni nguo za marinda,km mwanamke,na suruali za upanga/celebration kwa mwanaume na mashati ya rangi!
Yaani kwamba ulokole usitembelee maeneo ya ufukwe ,usitoke na iwe na familia nk kwenda ku refresh nk!
Ulokole usijichanganye
No ,huyo sio Mungu,kila kitu kimeumbwa na Mungu,biblia inasema dhahabu na fedha ni mali ya Bwana! Mungu hakutuleta tuteseke,no...hayo ni ya shetani!
Ndo maana Yesu alisema "duniani mnayo dhiki lkn jipeni moyo mimi nimeushonda ulimwengu"
Cha mhim kuwa makini sio kila fashen ni salama
Kwamba mlokole asivae vzr,yy ni nguo za marinda,km mwanamke,na suruali za upanga/celebration kwa mwanaume na mashati ya rangi!
Yaani kwamba ulokole usitembelee maeneo ya ufukwe ,usitoke na iwe na familia nk kwenda ku refresh nk!
Ulokole usijichanganye
No ,huyo sio Mungu,kila kitu kimeumbwa na Mungu,biblia inasema dhahabu na fedha ni mali ya Bwana! Mungu hakutuleta tuteseke,no...hayo ni ya shetani!
Ndo maana Yesu alisema "duniani mnayo dhiki lkn jipeni moyo mimi nimeushonda ulimwengu"
Cha mhim kuwa makini sio kila fashen ni salama