Kero: Tabia ya ajabu Mbeya kuchangisha pesa za misiba imezidi mno

Kero: Tabia ya ajabu Mbeya kuchangisha pesa za misiba imezidi mno

Chadema imewekeza zaidi kwa vibaka, wanywa viloba, wanywa gongo, mateja nk. Na hayo makundi hapo juu wengi wao huwa hawapigi kura.
Ni huna akili au ushabiki?nimeuliza kama mbeya ni ngome ya chadema kama ulivyodai mbona alishinda Tulia!weka sawa akili yako au kama vipi insta kunakufaa zaidi kuliko huku.
 
Natoka mbeya ni kweli huu uhuni upo sana mbaya zaid wanafosi balaa alafu wanaokusanya hizo pesa walio wengi ni wavuta bangi ,nenda uyole ,Isanga ,makunguru ,Ilemi darajani ,kabwe yaan ni balaa .

Ifike mahali Hawa viongoz wakemee huu ujinga unalichafua jiji letu ,Mambo yanayofanyika ni ya kizaman sana ,mbaya zaid Kuna viongoz wa mitaa ,kwann hili swala lisiwe la kivitongoji? Au Kama ni mfanyabiashara wa sehem fulan wahusika wa huko ndio wachangishwe na sio kuzinguka kubana bana watu.

Mm naamin hii ni miladi ya watu na washafanya Kama sehem ya kupatia kipato ,uhuni huu haukubalik ,Kama Kuna mkuu wa mkoa hapa jf alifanyie kaz hili apige marufuku maana lishakuwa tatizo sugu nasema Tena hii ni miladi ya wahuni kujipatia pesa kirahis rahis na hata wakikusanya hizo pesa hazifiki zote kwenye tukio wanakuwa na daftar mbili ,baada ya makusanyo wanakaa Tena upya kuandika idad ya majina wanayoona inafaa kuwasilishwa kwenye msiba huku wakitoa Chao Kwanza.

Pia Hilo swala wanalifanya sana wasafwa sema kwavile wanyakyusa ni kabila kubwa basi wanabeba hizi lawama ila ukweli ni kwamba wanaofanya huu upumbavu ni wasafwa
 
wanakuwa na daftar mbili ,baada ya makusanyo wanakaa Tena upya kuandika idad ya majina wanayoona inafaa kuwasilishwa kwenye msiba
yani umeongea aisee, hawa jamaa wahuni sana
Pia Hilo swala wanalifanya sana wasafwa sema kwavile wanyakyusa ni kabila kubwa basi wanabeba hizi lawama ila ukweli ni kwamba wanaofanya huu upumbavu ni wasafwa
ni wote tu mkuu,
 
Dukani jamaa kaandika
HATUPOKEI KADI ZA MICHANGO YA SHEREHE.
MCHANGO WA MSIBA NITATOA KWA MFIWA HUKOHUKO MSIBANI.

Mambo ya kizamani sana,mtu anachangia 2000
Halafu anakula chakula cha 5000 msibani.
Hapo umempa pole mfiwa au umemuongezea gharama.

Tukutane makaburini,pole mrushie Mpesa
 
Back
Top Bottom