Jana umeme umekata kuanzia saa 12 jioni mpaka leo 3/3 saa 3 asubuhi.
Umerudi saa 3 umekaa mpaka saa 8 mchana umekata tena wakarudisha saa 1.
Mpaka saa tatu umeshitua karibia mara 4.
Shida ni nini?
TANESCO naombi mnijibu
Hii hali itaendelea mpaka lini?
Wiki ijayo naagiza generator kutoka China.
No way out!
Sasa liluku likikata itakuwaje?Huku nilipo umeme upo labda liluku tu ndiyo likate
Huu ndio ukweli.Ukipita kwenye ofisi za tanesco ndo utagundua kuwa Tanzania tatizo la umeme haliwezi kwisha maana wale jamaa wanatengeneza matatizo maksudi ukiwakuta pale nje asubuh walivyo wengi bila kukata umeme wengi watakosa kazi za kufanya kiufupi wanatengeneza matatizo ili wapate hela za maintenance.